Ngono ndio chanzo cha umasikini wetu wanaume

Ngono ndio chanzo cha umasikini wetu wanaume

Pombe haileti umaskini

Zinaa ndio inaleta umaskini

Ingekuwa pombe inaleta umaskini wachaga wangekuwa nyuma sana.

Wanaume wa kichaga karibu wote huwa wanakunywa pombe kila siku.

Ila bado hawawi maskini

Kila mtaa unaokaa lazima awepo baba wa kichaga anaeenda bar kila siku jioni.

Ila ukimshindanisha maendeleo yake na majirani ambao hawanywi pombe bado unakuta huyo baba wa kichaga ndie ana maendeleo mazuri
 
Wasalaam wakuu!

Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.

Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!

Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.

Shikamoo uteleziii[emoji119]
acha ujinga, ni sawa na kusema kula kunaleta umasikini
 
Wasalaam wakuu!

Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.

Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!

Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.

Shikamoo uteleziii[emoji119]
That's true. Hata demu wangu nilishawahi kumwambia, "mwanamke akiwa ombaomba sana atatumika sana kingono, mwanaume mpenda ngono awe tayari kupoteza sana pesa."
Kuna mshkaji wangu alianza kujitegemea kutafuta pesa zake mwenyewe tangu ana miaka 20, hadi sasa ana 33 hana chochote zaidi ya watoto kibao kisa kuendekeza ngono.
 
Mimi mtu bahil sana.
Kuna kitoto kimoja kikali cheupe cha kimeru nikakijaza ndani ya 18 kesho nikakipige miti, kimwanafunzi cha DIT.
Nikapiga hesabu za haraka haraka chumba nauli vinywaji nikaona kama 80k, bado invoice ya huduma. Nikachek mambo mengine ya msingi nikaona mbona hii 80k ina solve fresh tu, nikaghairi.
Yan kutiana tu kuniingize gharama yote hii??
Aaaahhh sio kwel
Kwani hela tunatafuta za nini ww jamaa! Si za kupigia miti. Au ww unatafuta hela za kulia Maandazi!?

Tutafute pesa kwa wingi ili tukidhi mahitaji yetu jameni.

Ss huyu masikini ameshindwa kutmb kisa hana pesa!
 
Back
Top Bottom