Pombe haileti umaskini
Zinaa ndio inaleta umaskini
Ingekuwa pombe inaleta umaskini wachaga wangekuwa nyuma sana.
Wanaume wa kichaga karibu wote huwa wanakunywa pombe kila siku.
Ila bado hawawi maskini
Kila mtaa unaokaa lazima awepo baba wa kichaga anaeenda bar kila siku jioni.
Ila ukimshindanisha maendeleo yake na majirani ambao hawanywi pombe bado unakuta huyo baba wa kichaga ndie ana maendeleo mazuri
Zinaa ndio inaleta umaskini
Ingekuwa pombe inaleta umaskini wachaga wangekuwa nyuma sana.
Wanaume wa kichaga karibu wote huwa wanakunywa pombe kila siku.
Ila bado hawawi maskini
Kila mtaa unaokaa lazima awepo baba wa kichaga anaeenda bar kila siku jioni.
Ila ukimshindanisha maendeleo yake na majirani ambao hawanywi pombe bado unakuta huyo baba wa kichaga ndie ana maendeleo mazuri