Simba anatumia Sana hii njia,Yote hayo yanategemea na nyota ya uyo unayepiga,
ndo maana usishangae Wengine wanatumia gharama Kubwa kufanya ngono na flani, Tena kwa ushindan mkubwa sn.
Jicho la tatu lishaona, Ukipiga pale unatoboa.
Ngono inaweza kua Njia ya mafanikio/mikosi[emoji4]
Ni ujinga tu huwa tunalishana. Na utakavyoyabeba yatakuwa hivyo hivyoHii ni kweli, kuna baadhi wanabeba baraka,mikosi,nuksi n.k
Mimi nilishtukia hili chap nikaacha ngono Faster sikupoteza muda. Nikitapata muda taeleza why niliachaMwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?
Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine.
Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako!
nyinyi ni mashetani wenu wenyewe 😀 😀 😀 😀Na sisi wapiga punyeto je
Kwahyo tusiishi na wake zetu au tufanyeje sasa Mshana JrNgono sio ngono tu; usiwaache wakudanganye.
Unaweza kuondoka, lakini nguvu zao zimefungwa kwako. Mawazo yao, mitetemo yao, na nafsi hufungamana na yako. Ikiwa una uhusiano wa kingono na watu kadhaa kwa wakati mmoja, basi unachukua nguvu kadhaa. Ndio maana kuna wakati unajihisi kuchanganyikiwa, huzuni, uchovu, hasira, furaha, au mfadhaiko. Huishi peke yako tena; una nguvu zao hasi na chanya mchanganyiko.
Mwanaume yeyote ukilala na mwanamke unampa nguvu zako...Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?
Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Share kitabu kaka kama inawezekanaKuna kitabu nakisoma sahivi kinaitwa Semen rentation miracle.
Umo kuna mazaga zaga yote kuhusu mwanaume ambavyo anatakiwa kuzitunza shahawa zake. (Shahawa za Mwanaume ndio nguvu zake kiroho)
Ni muhimu mtu kuyatafakari haya na ndio maana tunashauriwa kusomana vyema na kuwa tayari kwa matokeo ya mpenzi au mwenza uliyenaye.Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?
Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine.
Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako!
Ohh my love
Namna ya kushare apa sasa ndo mtihani ila kipo pdfShare kitabu kaka kama inawezekana
Ngoja niki_downloadNamna ya kushare apa sasa ndo mtihani ila kipo pdf
Daah! Kuna Mwanamke wangu huyo yaani nikianza kuchat naye tuu,,, tukiwa tunataniana juu ya kukutana apo apo kama nilikuwa Sina hata pesa ya lodge muamala unaita chaap.Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?
Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Nimeona kichwa cha uzi nikaja mbio nipate madini,Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?
Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine.
Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako!
Kweli kbs Mshana Jr tunaomba uongee kwa kiswahili kbsMshana tatzo unatumia filosofi Sana kufafanua mawazo yako, utadhan wahenga[emoji1787]
Be simple,
Ebu tumia lugha nyepesi basi,
Kama vile tuko kijiweni tunapiga story.
Dah!
Yaan comment yako Ni ngumu ngumu sn[emoji4]