Ngono ni ibada na madhabahu

Ngono ni ibada na madhabahu

Yote hayo yanategemea na nyota ya uyo unayepiga,
ndo maana usishangae Wengine wanatumia gharama Kubwa kufanya ngono na flani, Tena kwa ushindan mkubwa sn.

Jicho la tatu lishaona, Ukipiga pale unatoboa.

Ngono inaweza kua Njia ya mafanikio/mikosi[emoji4]
Simba anatumia Sana hii njia,
 
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?

Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine.

Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako!
Mimi nilishtukia hili chap nikaacha ngono Faster sikupoteza muda. Nikitapata muda taeleza why niliacha
 
Ngono sio ngono tu; usiwaache wakudanganye.

Unaweza kuondoka, lakini nguvu zao zimefungwa kwako. Mawazo yao, mitetemo yao, na nafsi hufungamana na yako. Ikiwa una uhusiano wa kingono na watu kadhaa kwa wakati mmoja, basi unachukua nguvu kadhaa. Ndio maana kuna wakati unajihisi kuchanganyikiwa, huzuni, uchovu, hasira, furaha, au mfadhaiko. Huishi peke yako tena; una nguvu zao hasi na chanya mchanganyiko.
Kwahyo tusiishi na wake zetu au tufanyeje sasa Mshana Jr
 
Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?

Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Mwanaume yeyote ukilala na mwanamke unampa nguvu zako...

Hata biblia imesema usimpe malaya nguvu zako....

Kadiri unavyolala hovyo na wanawake kuna nguvu kubwa ya kiroho unaigawa kwao.
 
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?

Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine.

Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako!
Ni muhimu mtu kuyatafakari haya na ndio maana tunashauriwa kusomana vyema na kuwa tayari kwa matokeo ya mpenzi au mwenza uliyenaye.
 
Beba hii umebeba maroho mangapi?
20230208_215052.jpg
 
Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?

Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Daah! Kuna Mwanamke wangu huyo yaani nikianza kuchat naye tuu,,, tukiwa tunataniana juu ya kukutana apo apo kama nilikuwa Sina hata pesa ya lodge muamala unaita chaap.
 
Daah! Kuna Mwanamke wangu huyo yaani nikianza kuchat naye tuu,,, tukiwa tunataniana juu ya kukutana apo apo kama nilikuwa Sina hata pesa ya lodge muamala unaita chaap.
I had the same gal
 
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?

Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine.

Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako!
Nimeona kichwa cha uzi nikaja mbio nipate madini,
lakini nimekuta maswali badala ya ufafanuzi🤔
 
Mshana tatzo unatumia filosofi Sana kufafanua mawazo yako, utadhan wahenga[emoji1787]

Be simple,
Ebu tumia lugha nyepesi basi,
Kama vile tuko kijiweni tunapiga story.

Dah!
Yaan comment yako Ni ngumu ngumu sn[emoji4]
Kweli kbs Mshana Jr tunaomba uongee kwa kiswahili kbs
 
Back
Top Bottom