Hapa ukitongoza tu unaanza kulala na njaaππππKwako inakuwaje mkuu? Hapa mjini tunaqngalia fursa tu[emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha....anakuzingua huyo,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi tena, hapa ni kupakimbia kama Usain Bolt anavyokimbia 100m. DeepPond yeye ana mamaJ hana shida mambo yake yamenyooka...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii kaliHapa ukitongoza tu unaanza kulala na njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii kali
Tunawezaje kutoka hukoNgono sio ngono tu; usiwaache wakudanganye.
Unaweza kuondoka, lakini nguvu zao zimefungwa kwako. Mawazo yao, mitetemo yao, na nafsi hufungamana na yako. Ikiwa una uhusiano wa kingono na watu kadhaa kwa wakati mmoja, basi unachukua nguvu kadhaa. Ndio maana kuna wakati unajihisi kuchanganyikiwa, huzuni, uchovu, hasira, furaha, au mfadhaiko. Huishi peke yako tena; una nguvu zao hasi na chanya mchanganyiko.
π€£π€£π€£Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?
Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Weweeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna demu flani nilishakuta kwenye self yake ya bafuni kuna chumvi ya magadi, hii inamanisha nini??Nakuelewa vizuri sana
Uongo nimekataa nimekataaππHa ha ha....anakuzingua huyo,
Nyota yake Kali Sana, Kuna ex wake Namjua. Yuko vizur kinyama[emoji12]
[emoji1545][emoji1] but sorry Iblis Bin ShetanMimi kila siku nabishana na watu kuhusu hili naona watu taratibu wanaanza kupata akili kuhusu ulimwengu
Ukitaka kuelewa ulimwengu achana na stori za zamani ishi kulingana na wakati utagundua mengi ila kiufupi umeongea jambo zuri ila ulipomtaja Shetani tuu hapo umenisikitisha