Ngono ni ibada na madhabahu

Tunawezaje kutoka huko
 
Mimi kila siku nabishana na watu kuhusu hili naona watu taratibu wanaanza kupata akili kuhusu ulimwengu
Ukitaka kuelewa ulimwengu achana na stori za zamani ishi kulingana na wakati utagundua mengi ila kiufupi umeongea jambo zuri ila ulipomtaja Shetani tuu hapo umenisikitisha
 
Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?

Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
🀣🀣🀣
 
[emoji1545][emoji1] but sorry Iblis Bin Shetan
 
Kuna demu flani nilishakuta kwenye self yake ya bafuni kuna chumvi ya magadi, hii inamanisha nini??
Anaitumia kujitakasa kiroho, kuleta mvuto na kinga kwa mambo hasi bila kusahau kuondoa mapooza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…