Ngorongoro hatarini kupoteza uhai na umaarufu wake kutokana na kukithiri kwa shughuli za binadamu

Ngorongoro hatarini kupoteza uhai na umaarufu wake kutokana na kukithiri kwa shughuli za binadamu

Umaarifu wa Hifadhi hiyo ni kwa sababu ya mfumo wa maisha Jumuishi (Wanyamapori na Jamii). Ukiondoa jamii pale, maana yake umeiondolea sifa Hifadhi yake ya multiple Land na umaarufu. Haitakuwa tofauti na Hifadhi ya Manyara na Tarangire. Haitakuwa tena moja ya maajabu ya Dunia.

Niliwahi kuona mkataba wao na serikali ya mkoloni muingereza wakati wanapisha kuanzishwa Hifadhi ya Serengeti, hivyo kisheria ni haki yao kuwepo pale. Babu zao kukubali kuachia Serengeti ni jambo kubwa walilofanya, hii ndiyo Hifadhi Bora Afrika kwa sasa.

Tanzania tunajivunia kuwa na maeneo mengi ya Hifadhi lakini ukijaribu kuangalia yalikuwa maeneo ya wafugaji zaidi wakiwa wamasai, kwa maandiki hiyo wanastahili kuheshimiwa na kudhaminiwa. Nina Imani ingekuwa makabila mengine hakika tusingekuwa na wanyama/hifadhi hao/hizo wengine tunakula mpaka konokono.

Shida nyingine huenda wahifadhi wa mle hawana mipango mizuri ya kuendeleza mfumo ule wa matumizi Jumuishi kama sheria inavyotaka, wakae na jamii wakubaliane watafute majawabu ya changamoto kwa pamoja, lakini pia ushirikishwaji na elimu uimarishwe. Serikali itazame hili huenda na wahifadhi wanashindwa majukumu yao ikiwezekana ibadilishwe mfumo wa usimamizi wa eneo hilo.
 
Umaarifu wa Hifadhi hiyo ni kwa sababu ya mfumo wa maisha Jumuishi (Wanyamapori na Jamii). Ukiondoa jamii pale, maana yake umeiondolea sifa Hifadhi yake ya multiple Land na umaarufu. Haitakuwa tofauti na Hifadhi ya Manyara na Tarangire. Haitakuwa tena moja ya maajabu ya Dunia.

Niliwahi kuona mkataba wao na serikali ya mkoloni muingereza wakati wanapisha kuanzishwa Hifadhi ya Serengeti, hivyo kisheria ni haki yao kuwepo pale. Babu zao kukubali kuachia Serengeti ni jambo kubwa walilofanya, hii ndiyo Hifadhi Bora Afrika kwa sasa.

Tanzania tunajivunia kuwa na maeneo mengi ya Hifadhi lakini ukijaribu kuangalia yalikuwa maeneo ya wafugaji zaidi wakiwa wamasai, kwa maandiki hiyo wanastahili kuheshimiwa na kudhaminiwa. Nina Imani ingekuwa makabila mengine hakika tusingekuwa na wanyama/hifadhi hao/hizo wengine tunakula mpaka konokono.

Shida nyingine huenda wahifadhi wa mle hawana mipango mizuri ya kuendeleza mfumo ule wa matumizi Jumuishi kama sheria inavyotaka, wakae na jamii wakubaliane watafute majawabu ya changamoto kwa pamoja, lakini pia ushirikishwaji na elimu uimarishwe. Serikali itazame hili huenda na wahifadhi wanashindwa majukumu yao ikiwezekana ibadilishwe mfumo wa usimamizi wa eneo hilo.
Asante kwa kuongea ukweli. Kuna watu wamelipwa posho kuongea hovyo bila kuangalia uhalisia na namna ya kutatua changamoto.
Wale pesa lkn waongee ukweli.
Ukiwaondoa wamasai pale hakuna NCAA na utakuwa tu umewaonea watu ambao hawadhuru wanyama.
Ingekuwa makabla yao, si wangeshamaliza kila kitu?
Hakuna ulazima wa kulazimisha NCA kuwa kama Mikumi au Serengeti. NCA ibaki na huo upekee wake.
 
Wanaopaharibu Ngorongoro ni hawa wawekezaji hasa wa kihindi wanaojenga mahoteli na pia hawa Ant-porchers yaani askari wa wanyama pori.
 
Basi eneo lipangwe
Ijulikane tu mipaka ya kuishi Masai ni wapi over

Pori libaki intact
Kuchunga sio ishu sn
 
Kwa akili tu za kawaida iko wazi kua hiyo hifadhi baada ya miaka kadhaa mbele haitakua tena hifadhi.na hilo kosa lilifanywa na serikali yenyewe kuendekeza siasa zaidi badala yakuweka sera na mikakati madhubuti kwaajili ya rasilimali za nchi.

kama serikali haitafanya maamuzi magumu yakunusuru ilo eneo hali itakua mbaya zaidi uko mbele,hili lakutaka kushikilia vyote kwa pamoja nikitu ambacho kamwe hakitawezekana.

Ningekua mimi ndiye rais wa nchi ningefanya maamuzi magumu yafuatayo,(1)Ningetafuta eneo jingine la malisho la hao wananchi waliopo ndani ya hifadhi kwasababu hii nchi bado ni kubwa na bado kuna maeneo mengi sana(2)Ningetenga pesa za fidia kwa wananchi hao(3)

Ningetoa muda wawao kuhamia eneo jipya kwa utaratibu wa serikali baada ya hapo ningepitisha operesheni yakijeshi yakusafisha eneo lote la hifadhi(4)Ningevunja mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro na kuiunganisha na TANAPA na eneo la hifadhi ningeliunganisha na hifadhi ya serengeti nakutengeneza hifadhi moja matata sana duniani.ningehakikisha inakua hifadhi moja yakisasa ambayo dunia nzima ingehamia kuja kuitembelea.Ningehakikisha kwa kipindi cha miaka mitano pesa ambayo ningekusanya hapo ingekua haielezeki.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Endelea kuota... Kwanza umesomea nini wewe?
 
Umaarifu wa Hifadhi hiyo ni kwa sababu ya mfumo wa maisha Jumuishi (Wanyamapori na Jamii). Ukiondoa jamii pale, maana yake umeiondolea sifa Hifadhi yake ya multiple Land na umaarufu. Haitakuwa tofauti na Hifadhi ya Manyara na Tarangire. Haitakuwa tena moja ya maajabu ya Dunia.

Niliwahi kuona mkataba wao na serikali ya mkoloni muingereza wakati wanapisha kuanzishwa Hifadhi ya Serengeti, hivyo kisheria ni haki yao kuwepo pale. Babu zao kukubali kuachia Serengeti ni jambo kubwa walilofanya, hii ndiyo Hifadhi Bora Afrika kwa sasa.

Tanzania tunajivunia kuwa na maeneo mengi ya Hifadhi lakini ukijaribu kuangalia yalikuwa maeneo ya wafugaji zaidi wakiwa wamasai, kwa maandiki hiyo wanastahili kuheshimiwa na kudhaminiwa. Nina Imani ingekuwa makabila mengine hakika tusingekuwa na wanyama/hifadhi hao/hizo wengine tunakula mpaka konokono.

Shida nyingine huenda wahifadhi wa mle hawana mipango mizuri ya kuendeleza mfumo ule wa matumizi Jumuishi kama sheria inavyotaka, wakae na jamii wakubaliane watafute majawabu ya changamoto kwa pamoja, lakini pia ushirikishwaji na elimu uimarishwe. Serikali itazame hili huenda na wahifadhi wanashindwa majukumu yao ikiwezekana ibadilishwe mfumo wa usimamizi wa eneo hilo.
Iwafikie wagagagigikoko
 
Soon konde boy ataenda kupiga show hii si sawaa panakua kama mji sasa si mbuga
 
Nadhani Rais SSH kwa msaada na nguvu ya ushawishi ya Dr. Edward Lowassa (Dr wa siasa za Tanzania kwa miongo miwili) wanalivutia kasi suluhisho. Iliwezekana wamachinga watoke Dar barabarani na kuchomwa masoko yajengwe kwa upya, hata Ngorongoro wataweza na tunaitia serikali shime ifanye hivyo.

Pengine kabla ya kukabidhi mifugo iwe chakula majeshini au kuweka kambi ya jeshi kuwaondoa watu, pengine pia serikali ije na package kwa wanaotakiwa kuondoka kwenda Morogoro au Kiteto nk mfano kila boma wawe wanalipwa mshahara wa laki 5 maisha yao yote na kusomeshewa watoto mpaka chuo ikiwa watakubali kutoka hapo.

Au / na kutoruhusiwa mtu yoyote katika maeneo flani au ya ukubwa flani kuwa na mifugo zaidi ya idadi flani nk nk. Wakiachwa tatizo litakua na kupanuka beyond reach.

Tufanye sasa vinginevyo watakuja wale marais matapeli na wezi waseme hapa ndio kwenu nyie wanyonge na wapiga kura wangu mtu asiwaguse! Huo ndio ushauri.
Kuna kitu kinaitwa Afforestation

Halafu kingine kinaitwa Deforestation

Hilo liko kwenye maendeleo ya Ma zingira lakini kwenye sekta ya MISITU.

HALAFU Kuna OVERSTOCKING

HALAFU TENA KUNA DE-STOKING.

Overstoking iko kwenye sekta ya Mifugo.

Suala la kufuga wanyama wengi zaidi ya inavyoshauriwa katika eneo stahiki-ni OVERSTOKING.

Na madhara yake ni makubwa sana.

Hilo haliko Ngorongoro peke yake.


Liko Nchi Nzima.

Hatuna data.

Hatuna Mfumo.

Hatuwezi kufikiri tu kwamba Mifugo ni mingi kumbe pengine hata siyo ya kwetu.

Au pengine haitoshi.

Hatua ya kwanza tuwatambue Wafugaji.

Tutambue uwezo wao.

Tukae chini tuelimishane.

Kisha tupange pamoja.

Kama kuna shida ya Sheria-Tutafsiri sheria.


Hiyo ndo namna Bora ya kudeal na tatizo.
 
Kuna kitu kinaitwa Afforestation

Halafu kingine kinaitwa Deforestation

Hilo liko kwenye maendeleo ya Ma zingira lakini kwenye sekta ya MISITU.

HALAFU Kuna OVERSTOCKING

HALAFU TENA KUNA DE-STOKING.

Overstoking iko kwenye sekta ya Mifugo.

Suala la kufuga wanyama wengi zaidi ya inavyoshauriwa katika eneo stahiki-ni OVERSTOKING.

Na madhara yake ni makubwa sana.

Hilo haliko Ngorongoro peke yake.


Liko Nchi Nzima.

Hatuna data.

Hatuna Mfumo.

Hatuwezi kufikiri tu kwamba Mifugo ni mingi kumbe pengine hata siyo ya kwetu.

Au pengine haitoshi.

Hatua ya kwanza tuwatambue Wafugaji.

Tutambue uwezo wao.

Tukae chini tuelimishane.

Kisha tupange pamoja.

Kama kuna shida ya Sheria-Tutafsiri sheria.


Hiyo ndo namna Bora ya kudeal na tatizo.
Umefikiria sana, nchi hii tukipata watu wachache kama wewe tutasonga mbele. Kwa hii umebarikiwa.
 
hii nchi ilinifaa mie na tata nyarusare ti
 
Back
Top Bottom