Ngorongoro hatarini kupoteza uhai na umaarufu wake kutokana na kukithiri kwa shughuli za binadamu

Ngorongoro hatarini kupoteza uhai na umaarufu wake kutokana na kukithiri kwa shughuli za binadamu

Sina hakika kama ameshawahi kuwa sober
Nenda ukapambanie kilimo cha kahawa kama roho haitaki kuona mifugo imechanganyika na wanyamapori.
Sisi tumezoea. Na hata waliopo nje ya hifadhi kama Kiteto, Longido, bado wanyamapori ni wengi na huchanganyika na mifugo.
Umewahi kusikia wanyamapori wameangamia kwa sababu ya kuchangayika na mifugo?
Madai yenu sio fact. Ni umbeya baada ya kulipwa hela.
 
Yaani sisi Watalii wa ndani twende Ngorongoro kuangalia Mbuzi na Kondoo? si bora nikatalii Vingunguti kwenye soko la Mbuzi.

Serengeti ndio kila kitu.....huko kwa wachunga mbuzi na akina ng'ombe na vimbwa koko hapana
 
Jitihada za pamoja zinahitajika
Jitihada Kati ya nani na nani. Mimi sihusiki kwa kweli na Sina mamlaka ya kumuhamisha yeyote. Bali Kuna mamlaka inayomiliki ardhi, inaweza kubatilisha matumizi ya ardhi mda wowote na hao watu wakahamishwa mbugani wakapelekwa kwingine.
Unakumbuka waliohamishwa jangwani na kupewa viwanja mabwepande? Unakumbuka waliobomolewa Morogoro road ili barabara ya kimara-kibaha ipanuliwe mita 120? Hiyo ndiyo nguvu ya mamlaka. Hiyo mamlaka isipofanya kazi yake Mimi nifanyeje?
 
Jitihada Kati ya nani na nani. Mimi sihusiki kwa kweli na Sina mamlaka ya kumuhamisha yeyote. Bali Kuna mamlaka inayomiliki ardhi, inaweza kubatilisha matumizi ya ardhi mda wowote na hao watu wakahamishwa mbugani wakapelekwa kwingine.
Unakumbuka waliohamishwa jangwani na kupewa viwanja mabwepande? Unakumbuka waliobomolewa Morogoro road ili barabara ya kimara-kibaha ipanuliwe mita 120? Hiyo ndiyo nguvu ya mamlaka. Hiyo mamlaka isipofanya kazi yake Mimi nifanyeje?
Wewe ni nani?
 
Nenda ukapambanie kilimo cha kahawa kama roho haitaki kuona mifugo imechanganyika na wanyamapori.
Sisi tumezoea. Na hata waliopo nje ya hifadhi kama Kiteto, Longido, bado wanyamapori ni wengi na huchanganyika na mifugo.
Umewahi kusikia wanyamapori wameangamia kwa sababu ya kuchangayika na mifugo?
Madai yenu sio fact. Ni umbeya baada ya kulipwa hela.
Nadhani leo umeanza kuwa sober...
Kinabishaniwa hapa actually siyo mifugo kuchanganyika na binadamu na wanyamapori. HAPANA!
Rejea vizuri ili ujielekeze vyema!
Tatizo ni kukithiri shughuli za kibinadamu ambazo ni tofauti kabisa na malengo ya msingi kabisa ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA).
Wahamiaji wanaokuja na mifugo yao kutoka maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.
Inajulikana wazi kuwa wenyeji pamoja na watumishi wa NCAA wapo wenye maslahi binafsi hapa.

Kitu ambacho hamkijui ni kuwa asilimia kubwa ya wageni wanaotembelea Hifadhi zetu wanalalamikia sana hali za hizo Hifadhi.
Na ni nadra sana kurudia kufanya safari zao unless wawe na nia ya kuwekeza!
 
Watawala hakuna wanachoweza kufanya, akilizao zimefubaa kwa mawazo ya kupiga pesa kila eneo na kuhakikisha wanabaki madarakani, .....Uzalendo ZERO, Ubunifu ZERO, Kujituma ZERO, Upendo ZERO, Mapenzi kwa Taifa ZERO.
Kinachonishangaza ni kwamba mamlaka ya ngorongoro ina wahifadhi na wataalam wengi tu wa masuala hayo pamoja na TANAPA na wao wapo huko wanajionea vizuri na kufahamu hali hiyo sasa ni kwa nini wasiishauri serikali ni nini hasa kinatakiwa kufanyika kuokoa hali hii..
 
Nadhani leo umeanza kuwa sober...
Kinabishaniwa hapa actually siyo mifugo kuchanganyika na binadamu na wanyamapori. HAPANA!
Rejea vizuri ili ujielekeze vyema!
Tatizo ni kukithiri shughuli za kibinadamu ambazo ni tofauti kabisa na malengo ya msingi kabisa ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA).
Wahamiaji wanaokuja na mifugo yao kutoka maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.
Inajulikana wazi kuwa wenyeji pamoja na watumishi wa NCAA wapo wenye maslahi binafsi hapa.

Kitu ambacho hamkijui ni kuwa asilimia kubwa ya wageni wanaotembelea Hifadhi zetu wanalalamikia sana hali za hizo Hifadhi.
Na ni nadra sana kurudia kufanya safari zao unless wawe na nia ya kuwekeza!
Wahamiaji kutoka wapi?
 
Mkuu Midimay ina maana hujui kuwa mle ndani NCAA kuna ng'ombe kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania na Kenya??
Ina maana hujui kuwa wanawalipa wenyeji kuwahifadhia hao ng'ombe??
Hayo ni maneno matupu kama ya kwenye kanga. Ng'ombe wanapita wapi hadi wafike kwa wenyeji kinyume na utaratibu?
Na kwanini lengo lisiwe kupambana na wenye nia ovu?
Kwanini nguvu zielekezwe kwa jamii nzima?
Hakunaga mahali ambapo jamii nzima hutenda vitendo vya jinai kama hiyo ya kupokea ng'ombe kutoka nje.
 
Nenda ukapambanie kilimo cha kahawa kama roho haitaki kuona mifugo imechanganyika na wanyamapori.
Sisi tumezoea. Na hata waliopo nje ya hifadhi kama Kiteto, Longido, bado wanyamapori ni wengi na huchanganyika na mifugo.
Umewahi kusikia wanyamapori wameangamia kwa sababu ya kuchangayika na mifugo?
Madai yenu sio fact. Ni umbeya baada ya kulipwa hela.
Unataka kusema nini kwa mfano mkuu?
 
Hayo ni maneno matupu kama ya kwenye kanga. Ng'ombe wanapita wapi hadi wafike kwa wenyeji kinyume na utaratibu?
Na kwanini lengo lisiwe kupambana na wenye nia ovu?
Kwanini nguvu zielekezwe kwa jamii nzima?
Hakunaga mahali ambapo jamii nzima hutenda vitendo vya jinai kama hiyo ya kupokea ng'ombe kutoka nje.
Sidhani kama kuna mtu mwenye mpango wa kupambana na jamii nzima
 
Hayo ni maneno matupu kama ya kwenye kanga. Ng'ombe wanapita wapi hadi wafike kwa wenyeji kinyume na utaratibu?
Na kwanini lengo lisiwe kupambana na wenye nia ovu?
Kwanini nguvu zielekezwe kwa jamii nzima?
Hakunaga mahali ambapo jamii nzima hutenda vitendo vya jinai kama hiyo ya kupokea ng'ombe kutoka nje.
Nimekoma kujibizana na wewe... Nahisi upo shimoni au matopeni au majalalani. Unajua hujui!
 
Nimekoma kujibizana na wewe... Nahisi upo shimoni au matopeni au majalalani. Unajua hujui!
Huna content ndio maana unakimbia. Mtu mwenye content hakomi kujibu.
Si mnasema hii nchi ina maeneo mengi ya wazi, wamaasai wa Ngorongoro wapelekwe huko. Sasa nini maana ya kauli hiyo? Yaani tuihangaishe jamii ambayo haijawa threat kwa wanyama kwenye hifadhi ili tu muendelee kuwa waongoza watalii(tour guide)? Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imeungana na Ngorongoro. It is an ecological system ya malaki ya hekta. Wamaasai wapo asilimia ngapi ya eneo? Acheni ujinga bana.
 
Back
Top Bottom