Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaJamii moja ya Masai inapatikana katika Wilaya tajwa ziunganishwe kuwaletea maendeleo kwa haraka
Haya maeneo uliyoyataja unayafahamu au umeandika tu kama kuandika?Jamii moja ya Masai inapatikana katika Wilaya tajwa ziunganishwe kuwaletea maendeleo kwa haraka
Kwenye kura ni watu muhimu baada ya hapo maza anageukia waarabuMiaka Sitini mmeshindwa kazi ni kuwavalisha Tisheti wakati wa Kampeni tu.
Kila Mmasai anatembea na Silaha ya Jadi hao Waarabu wasubiri Mvua ya Mikuki na Mishale.Kwenye kura ni watu muhimu baada ya hapo maza anageukia waarabu
Eneo lote la Maasailand ni kame ajabuHaya maeneo uliyoyataja unayafahamu au umeandika tu kama kuandika?
Kisha tuwape Waarabu, wale ni Ndugu zetu kabisa wa imani!Jamii moja ya Masai inapatikana katika Wilaya tajwa ziunganishwe kuwaletea maendeleo kwa haraka
Waarabu watawekewa kambi ya jeshiKila Mmasai anatembea na Silaha ya Jadi hao Waarabu wasubiri Mvua ya Mikuki na Mishale.
Sijui kama unaelewa unachokiandika? Karabu na Ngorongoro ukame upo sehemu gani pale?Eneo lots la Maasailand ni kame ajabu
Mikuku na mishale ikitumiwa dhidi ya wengine pasi na sheria ni jinai....Kila Mmasai anatembea na Silaha ya Jadi hao Waarabu wasubiri Mvua ya Mikuki na Mishale.
Wamasai pia ni Jeshi hujaona system yao ya Morani.Waarabu watawekewa kambi ya jeshi
Kufanya vita na nani? Kwa sababu gani?Masai wanataka kufanya vita?washughulikiwe bila woga
Dini ama ?!!Kisha tuwape Waarabu, wale ni Ndugu zetu kabisa wa imani!
Hawatafanya kituWamasai pia ni Jeshi hujaona system yao ya Morani.
Kulinda ARDHI ya ASILI ni SABABU hata Wakiasi na kudai kujitenga na kujiunga na Kenya wana Haki.Mikuku ni mishale ikitumiwa dhidi ya wengine pasi na sheria ni jinai....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app