imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mandela alikuwa hana hata fimbo.Resistance na fimbo? Mkidhibitiwa hamchelewi kulia lia. Nendeni Msomera pale Ngorongoro pahifadhiwe kwa manufaa ya Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandela alikuwa hana hata fimbo.Resistance na fimbo? Mkidhibitiwa hamchelewi kulia lia. Nendeni Msomera pale Ngorongoro pahifadhiwe kwa manufaa ya Taifa
Siku zote ukitafakari,ukaona huwezi,ndo chanzo cha wasioweza kufanikisha mambo yao kupitia wewe.Mwarabu ni nani ?!!
Mwekezaji akija anaangaliwa kwa "ethnicity" yake ?!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndugu ake mazaMwarabu ni nani ?!!
Mwekezaji akija anaangaliwa kwa "ethnicity" yake ?!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna raia anayemiliki ardhi Tanzania. Ardhi ni ya nchi nzima chini ya Rais. Ikipatikana ardhi yenye maslahi kwa taifa unahamishwa kwa kupewa fidia kama wamasai walivyopewa Msomera. Ukikaidi unaondolewa kinguvu na ikibidi utapigwa tu. Hao masai wanavutiwa tu pumzi muda ukifika ndo watajua dola haina utani.Mkuu kugawa maeneo yao ya asili kwa ujanja ujanja sio makosa? This is going to backfire somewhere along the way, in the very near future.
n
Kuna mambo ni ya kuyaacha. Kujaribu kuyabadili yataleta shida. nashauri hilo neno kudekezwa liondolewe kwenye namna ya kufanyia kazi hii issue
Hakuna raia anayemiliki ardhi Tanzania. Ardhi ni ya nchi nzima chini ya Rais. Ikipatikana ardhi yenye maslahi kwa taifa unahamishwa kwa kupewa fidia kama wamasai walivyopewa Msomera. Ukikaidi unaondolewa kinguvu na ikibidi utapigwa tu. Hao masai wanavutiwa tu pumzi muda ukifika ndo watajua dola haina utani.
HakikaHakuna raia anayemiliki ardhi Tanzania. Ardhi ni ya nchi nzima chini ya Rais. Ikipatikana ardhi yenye maslahi kwa taifa unahamishwa kwa kupewa fidia kama wamasai walivyopewa Msomera. Ukikaidi unaondolewa kinguvu na ikibidi utapigwa tu. Hao masai wanavutiwa tu pumzi muda ukifika ndo watajua dola haina utani.
Sitoi maoni ili kufurahisha mtu. Jipe muda utaona kitakachowapata hao masai wakiendelea kukaidi.Kuna siku nyingine sio lazima kuandika kama huna hoja. Ardhi kuwa ya Rais sio mali binafsi ya Rais. Na Rais ana haki ya matumizi ya ardhi kwa mambo yenye tija na muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.
Wamasai kama wamekuwa wengi, wakitolewa asipewe mtu mwingine kwa vigezo anawekeza. Ngorongoro ipo for ages. Anakuja kuwekeza nini? Tunajuaje kama anakuja kuiba na sio kuwekeza?
Ngorongoro kuna wahuni wananufaika na uwepo wa wamasai. Kuna NGOs nyingi kwa ajili ya wamasai laki moja tu. Ni uhuni mtupu. NCAA huwa inatumia pesa nyingi sana kuhudumia hawa watu. Hizi NGOs nadhani kwa sasa waende usukumani kuwatetea badala ya kung'ang'ania NgorongoroHakika
Point. Mjini mipangoNgorongoro kuna wahuni wananufaika na uwepo wa wamasai. Kuna NGOs nyingi kwa ajili ya wamasai laki moja tu. Ni uhuni mtupu. NCAA huwa inatumia pesa nyingi sana kuhudumia hawa watu. Hizi NGOs nadhani kwa sasa waende usukumani kuwatetea badala ya kung'ang'ania Ngorongoro
Mandela Vs Mazombi?Mandela alikuwa hana hata fimbo.
Yaani unataka serikali iwe na wivu wa kutenda uovu??Wamasai wanadekezwa sasa. Ni muda wa dola kuwashughulikia kwa wivu mkubwa.
Huo uwendawazimu wa kuwaondoa watu toka maeneo yao asilia na kuwatupa mbali kabisa, haujafanyika hata mara moja. Huu ushenzi umefanyika kwa mara ya kwanza. Siku zote watu wanapoondpshwa eneo fulani kupisha mradi fulani, huwa hawahamishwi zaidi ya 20km. Lengo ni ili waendelee kuwepo kwenye maeneo waliyoyazoea, waendelee kutumia elimu yao waliyo nayo ya kuyamuda mazingira waliyoyazoea.Resistance na fimbo? Mkidhibitiwa hamchelewi kulia lia. Nendeni Msomera pale Ngorongoro pahifadhiwe kwa manufaa ya Taifa
Wewe ni kichwa embe. Hivi ukiulizwa wamasai wamevunja sheria gani, unaweza kutoa jibu?Masai wanadhani wapo juu ya sheria
Sitoi maoni ili kufurahisha mtu. Jipe muda utaona kitakachowapata hao masai wakiendelea kukaidi.
Karatu na Wamasaiwapi na wapi? acha ujinga,Jamii moja ya Masai inapatikana katika Wilaya tajwa ziunganishwe kuwaletea maendeleo kwa haraka