Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ni watanzania na wana haki zote za kiraia...dola lao halijawaacha...serikali yao adhimu iko nao....waendelee kueleweshwa juu ya UTAKATIFU wa JMT tulivu...Kufanya vita na nani? Kwa sababu gani?
Wamedhulumiwa, wakiongea mnasema washughulikiwe? Kweli?
Ni ukatili uliopitiliza!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app