Ngorongoro sio sehemu ya makazi ya binadamu bali ni hifadhi ya wanyamapori

Ngorongoro sio sehemu ya makazi ya binadamu bali ni hifadhi ya wanyamapori

Tunatakiwa tuwe na hifadhi za ambazo zenye wanyama ambao ni artificial siyo hii ya kufuga wanyama ambao hata hawana faida, baada ya miaka 40 ijayo hakuna mtu atakuja kuangalia fisi, sijui nyumba toka Ulaya, kutakuwa na wanyama ambao ni robot wenye tabia kama za wanyamapori, lazima tubadilike tuachane na hawa wanyama asili tujikije kwenye artificial
Kwahio faida ya Fisi ni Mtalii kuwaangalia ?!!! AU wewe / binadamu una faida zaidi kuliko wanyama wote ? ndio hapo tunakuja kwenye ecosystem kila kitu kina faida na impact yake mara nyingine huja kuonekana baada ya muda mrefu sana...., takupa mfano..., Australia walileta Sungura kutoka Europe; Huko Europe kulikuwa na Predators (Fox na Mwewe) waliokuwa wanawala hawa sungura hivyo ku-maitain population yao....

Kufika Australia hakuna predators walijaa kwa kuzaliana hadi kupelekea kumaliza vegetation zote (ili kuwa-maintain ilibidi waintroduce bacteria wa kuwauwa)

Ngoja nikupe hii hadithi pia; Mfalme mmoja ambae mwanae aliumwa na nyoka akafa alikasirika sana na kutoa dau la dhahabu kwa kila atakayeleta nyoka aliyemuua (watu wakaingia kazini na kuwaondoa nyoka wote kwenye ile nchi) baadae wakashangaa baada ya muda kukazuka tatizo la Panya hadi wakawa kero (little did they know kwamba wale nyoka walikuwa wanawa-put in check wale panya)
 
Fisi wanataka nao wawe kwenye conservation wanasema nao ni kivutio Cha utalii
 
Tuwe na jibu moja kuwa Wamasai wahamishwe ili kupisha Mamlaka ya Ngorongoro
 
Wala rushwa mmelipwa kuwashambulia wamasai
Masai ashambuliwe kwa lipi?.Maeneo ya asili ni muhimu yakahifadhiwa kwa namna yoyote.hii misitu tunaiona haina umuhimu ila mvua zikigoma kunyesha tunaanza kelele hadi kuomba.sasa itakua ujinga kumruhusu binadamu haaribu mazingira kwasababu ya ufugaji wa ngombe ambao anaweza kuwapeleka mahali pengine.Tatizo la wafugaji wakimasai wao hawataki kuumiza kichwa kuboresha mazingira ya malisho yao,ndo maana kote walikohamia wameishia kuvamia mashamba ya wakulima nakuleta mgogoro.Kwahiyo kuna haja yakuelimisha hii jamii ikajitambua na ikawa ni sehemu ya utunzaji wa mazingira.Hata wakiachwa hspo ngorongoro haita chukua muda wataanza kulumbana wenyewe kwa wenyewe sababu ya malisho.ni swala la muda tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tunatakiwa tuwe na hifadhi za ambazo zenye wanyama ambao ni artificial siyo hii ya kufuga wanyama ambao hata hawana faida, baada ya miaka 40 ijayo hakuna mtu atakuja kuangalia fisi, sijui nyumba toka Ulaya, kutakuwa na wanyama ambao ni robot wenye tabia kama za wanyamapori, lazima tubadilike tuachane na hawa wanyama asili tujikije kwenye artificial
Kwahiyo unaona ni sawa wanyama wa asili wakitoweka ili tuje tuangalie robot?.Punguza kiwewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mungu akujalie baba yetu Lowasa upone haraka usaidie wanangorongoro

Kawaida ya watz ni kuwa , panapokuwa na mtu mashuhuri eneo husika huheshiimika sana. Mifano ni mingi ila natoa tu mfano wa Lo.... Hapajawahi kuwa na misigano kama inayoendelea kuhusu ngorongoro kama hii inayoendlea sasa. Nakumbuka wamasai wamefaidi sana enzi za EL , walilipwa fidia ya ng'ombe baada ya ukame uliosababisha kufa ng'ombe wao. Haijawahi tokea sehemu nyingine nchini.
Sasa EL yuko kitandani pamoja na kuwa naye ni mmoja wa wanaomiliki mahotel huko Ngorongoro, dhahama zimeanza.
Namwombea heri apone haraka wamasai tutendewe haki.
 
#NGORONGORO SIO SEHEMU YA MAKAZI YA BINADAMU BALI NI HIFADHI YA WANYAMA POLI Naa Joseph #Yona

Mwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!

Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobaki duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.

Muhimu kuanza kuchukua hatua stahiki kuinusulu Hifadhi adimu Duniani kwa vivutio vya utalii.

MADAI YA WATU KUISHI HIFADHI YA NGORONGORO NA WANYAMA POLI KUWA NI KUVUTIA UTALII NI UJINGA NA UPUUZI

Hivi karibuni kumezuka mijadala mingi juu ya uwepo wa zaidi ya watu zaidi ya laki Moja kuishi hifadhi ya Ngorongoro kuwa ni njia Moja wapo ya KUVUTIA UTALII ni ujinga na upuuzi usio vumilika hata kidogo.

Tumeshudia Waandishi wa habari Maulid Kitenge na Oscar Oscar Mzee wa Kaliua wakiwa wanaripoti kutoka Hifadhi ya Ngorongoro na kueleza ualisia unaoendelea hapo Hifadhini kumejitokeza, kundi la wajinga flani kwa maslahi yao binafsi bila kuangalia hali ilivyo wameanza kampeni ya kuwashambulia waandishi hao, bali tuangalie uhalisia, taarifa ni kuwa kuna jamii ya watu wachache ni wanufaika na shida za watu walio wengi maskini, huko Ngorongoro Tuendako watoto wanakufa, hakuna barabara, hakuna huduma za kijamii nk ndo maana MECIRA tunasema hatua za haraka zichukuliwe kuondoa hali ya hatari zaidi baadaye na sasa.

Shida inayoonekana hapo ni wafugaji kuingilia hifadhi, kwa ajili ya malisho na Taifa linaweza kukosa watalii kwani watakuwa wanafika kwenye hifadhi badala ya kuona pundamilia, au Twiga wanakutana na Ng'ombe na Taifa kukosa mapato yatokanayo na utalii, lakini pia kizazi Cha Sasa kitaona mazingira rafiki kwa malisho ni kwenye hifadhi kwani kitaona hakuna katazo lolote kama wanahabari tunapaswa kuishauri serikali njia sahihi za kuepukana na hili tatizo, kazi iendelee.

Hakika mapendekezo ya Kitenge na Oscar* yanatakiwa kuchukuliwa haraka hatua za makusudi kwa ajili ya kuokoa kizazi ambacho kinaishi maisha hatarishi, na kuokoa hifadhi kuondokana na hatari ya kuwa jangwa.

#PazaSauti
#KataaMakaziYaWatuNgorongoro
View attachment 2111240View attachment 2111241
Tembo wa Ngorongoro wameenda wapi ?
 
Wakati Ngorongoro inaanzishwa kuwa hifadhi kulikuwepo na watu 8,500 hawakuwa wengi, na serikali ya kikoloni ikaamua NCA iwe na title maalum, yaani uchanganyaji wa hifadhi na watu na mifugo yao michache.

Ambacho hawachokikifahamu ni kuwa waafrika tuna mtindo wa kuhamia na kujenga popote pale bila ya kujali mazingira yanaharibika au la, mfano halisi katika nchi yetu karibu vyanzo vyote vya maji vimekauka! Sababu watu wamevamia na kujenga maeneo ya vyanzo vya maji vikiwemo chemichemi na vyanzo vya mito. Sijui waafrika akili zetu zipo wapi?

Wenzetu wa Ulaya na Amerika wamejali vyanzo vya maji na wameweka mazingira yao salama, sisi tunakata miti kwa kwenda mbele, serikali haijali wala wananchi hatujali....hatuangalii kesho.

Suala la Ngorongoro kwa sasa ni suala moto, Ngorongoro inaanza kuwa mji mkubwa na ule uoto wa asili na wanyama unapotea/wanapotea...KISA...Wanasiasa wanatafuta kura " at the expense of our wildlife"

Leo kuna watu zaidi ya laki moja kule Crater na idadi ya mifugo ya wamasai imepita idadi ya wanyama! Sasa watalii gani watakuja kuangalia mifugo? Watu wanauawa na wanyama, watoto wanaliwa na simba lakini bado binadamu hawaelewi, wanajazana ovyo humo ndani! Inachofanyika ni siasa tu.

Wakati wa Nyerere na conservator akiwa Solomon Ole Saibul, Ngorongoro ilipendeza, idadi ya Faru weusi ilikuwa kubwa na wanyama wengi huku idadi ya watu ikiwa wachache ambao hawakujenga "permanent structures" Ole Saibul alipokea Ngorongoro ikiwa bora kabisa kutoka kwa Mr. Foosbrooke.

Wanaokumbuka Nyerere Manifesto leo hii wakiona Ngorongoro ilivyo watatoka machozi, Nyerere alimaanisha alivyotoa hii manifesto"

Julius Nyerere and the Arusha Manifesto
"The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money and we look to other nations to cooperate in this important task - the success or failure of which not only affects the continent of Africa but the rest of the world as well."

Wany
ama wanatakiwa walindwe na jukumu la kuwalinda ni letu sote, kama tutashindwa kuwalinda wanyama, sisi binadamu hatutakuwa na tofauti na wanyama. Sasa leo sisi binadamu tuna uwezo wa kuishi katika mazingira yoyote yale LAKINI tunayavamia maeneo ya wanyama, je hao wanyama wataenda wapi? Tuone aibu!

Siwalaumu watu pekee yao ila pamoja na mipango mibovu ya serikali. Uhifadhi unalipatia Taifa hili pesa nyingi sana za kigeni, je serikali inashindwa kuwapatia mahali pazuri penye huduma zote hao wamasai, wakaishi vizuri kuliko kukaa humo Crater?

Jibu ni kuwa wanaweza ila serikali zetu zote zilikuwa na tabia ya u-selfishness, wanachuma pesa lakini kuwapeleka hao wananchi mahali pazuri na kuwawekea huduma zote wanazohitaji ikiwamo kuwajengea malambo hawataki..hivyo wananchi wanashindwa na wanaogopa kuondoka hapo.

Ombi kwa mama Samia Suluhu Hassan, wahamishe hao wananchi kwenye maeneo mengine kama ya Longido, Loliondo, Serrat, Kiteto au hata Handeni na muwawekee huduma bora! Kwa kufanya hivyo hakuna atakayekataa kuhama hapo Crater.
Watalii wataenda Burigi
 
Mungu akujalie baba yetu Lowasa upone haraka usaidie wanangorongoro

Kawaida ya watz ni kuwa , panapokuwa na mtu mashuhuri eneo husika huheshiimika sana. Mifano ni mingi ila natoa tu mfano wa Lo.... Hapajawahi kuwa na misigano kama inayoendelea kuhusu ngorongoro kama hii inayoendlea sasa. Nakumbuka wamasai wamefaidi sana enzi za EL , walilipwa fidia ya ng'ombe baada ya ukame uliosababisha kufa ng'ombe wao. Haijawahi tokea sehemu nyingine nchini.
Sasa EL yuko kitandani pamoja na kuwa naye ni mmoja wa wanaomiliki mahotel huko Ngorongoro, dhahama zimeanza.
Namwombea heri apone haraka wamasai tutendewe haki.
Loliondo land case
 
Masai ni wachafu naturally. Wanaume wa kimasai hawatumii vyoo wanakunya hovyo porini. Tuseme tu ukweli. Waondolewe haraka nasema. Hawa watu sio tu wezi wa mifugo bali pia waharibifu sana. SERIKALI HARAKA JAMANI NGORONGORO INAANGAMIA. Povu ruxa
 
#NGORONGORO SIO SEHEMU YA MAKAZI YA BINADAMU BALI NI HIFADHI YA WANYAMA POLI Naa Joseph #Yona

Mwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!

Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobaki duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.

Muhimu kuanza kuchukua hatua stahiki kuinusulu Hifadhi adimu Duniani kwa vivutio vya utalii.

MADAI YA WATU KUISHI HIFADHI YA NGORONGORO NA WANYAMA POLI KUWA NI KUVUTIA UTALII NI UJINGA NA UPUUZI

Hivi karibuni kumezuka mijadala mingi juu ya uwepo wa zaidi ya watu zaidi ya laki Moja kuishi hifadhi ya Ngorongoro kuwa ni njia Moja wapo ya KUVUTIA UTALII ni ujinga na upuuzi usio vumilika hata kidogo.

Tumeshudia Waandishi wa habari Maulid Kitenge na Oscar Oscar Mzee wa Kaliua wakiwa wanaripoti kutoka Hifadhi ya Ngorongoro na kueleza ualisia unaoendelea hapo Hifadhini kumejitokeza, kundi la wajinga flani kwa maslahi yao binafsi bila kuangalia hali ilivyo wameanza kampeni ya kuwashambulia waandishi hao, bali tuangalie uhalisia, taarifa ni kuwa kuna jamii ya watu wachache ni wanufaika na shida za watu walio wengi maskini, huko Ngorongoro Tuendako watoto wanakufa, hakuna barabara, hakuna huduma za kijamii nk ndo maana MECIRA tunasema hatua za haraka zichukuliwe kuondoa hali ya hatari zaidi baadaye na sasa.

Shida inayoonekana hapo ni wafugaji kuingilia hifadhi, kwa ajili ya malisho na Taifa linaweza kukosa watalii kwani watakuwa wanafika kwenye hifadhi badala ya kuona pundamilia, au Twiga wanakutana na Ng'ombe na Taifa kukosa mapato yatokanayo na utalii, lakini pia kizazi Cha Sasa kitaona mazingira rafiki kwa malisho ni kwenye hifadhi kwani kitaona hakuna katazo lolote kama wanahabari tunapaswa kuishauri serikali njia sahihi za kuepukana na hili tatizo, kazi iendelee.

Hakika mapendekezo ya Kitenge na Oscar* yanatakiwa kuchukuliwa haraka hatua za makusudi kwa ajili ya kuokoa kizazi ambacho kinaishi maisha hatarishi, na kuokoa hifadhi kuondokana na hatari ya kuwa jangwa.

#PazaSauti
#KataaMakaziYaWatuNgorongoro
View attachment 2111240View attachment 2111241
Soma tafiti kama hizi wacha kupayuka kama kalunguyeye.
20220208_141304.jpg
20220208_141307.jpg
 
Huko interaction ya binadamu na wanyama ni ya kitambo sana..
 
Back
Top Bottom