Ngorongoro sio sehemu ya makazi ya binadamu bali ni hifadhi ya wanyamapori

Ngorongoro sio sehemu ya makazi ya binadamu bali ni hifadhi ya wanyamapori

Kwanini tusianze kuwahamisha watu wa Dar es Salaam wanaharibu mazingira ya mkoa wa Dar es Salaam na kuua kabisa hifadhi ya Dar es Salaam ?
Bean 1.jpg


Bean 1.jpg
 
#NGORONGORO SIO SEHEMU YA MAKAZI YA BINADAMU BALI NI HIFADHI YA WANYAMA POLI Naa Joseph #Yona

Mwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!

Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobaki duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.

Muhimu kuanza kuchukua hatua stahiki kuinusulu Hifadhi adimu Duniani kwa vivutio vya utalii.

MADAI YA WATU KUISHI HIFADHI YA NGORONGORO NA WANYAMA POLI KUWA NI KUVUTIA UTALII NI UJINGA NA UPUUZI

Hivi karibuni kumezuka mijadala mingi juu ya uwepo wa zaidi ya watu zaidi ya laki Moja kuishi hifadhi ya Ngorongoro kuwa ni njia Moja wapo ya KUVUTIA UTALII ni ujinga na upuuzi usio vumilika hata kidogo.

Tumeshudia Waandishi wa habari Maulid Kitenge na Oscar Oscar Mzee wa Kaliua wakiwa wanaripoti kutoka Hifadhi ya Ngorongoro na kueleza ualisia unaoendelea hapo Hifadhini kumejitokeza, kundi la wajinga flani kwa maslahi yao binafsi bila kuangalia hali ilivyo wameanza kampeni ya kuwashambulia waandishi hao, bali tuangalie uhalisia, taarifa ni kuwa kuna jamii ya watu wachache ni wanufaika na shida za watu walio wengi maskini, huko Ngorongoro Tuendako watoto wanakufa, hakuna barabara, hakuna huduma za kijamii nk ndo maana MECIRA tunasema hatua za haraka zichukuliwe kuondoa hali ya hatari zaidi baadaye na sasa.

Shida inayoonekana hapo ni wafugaji kuingilia hifadhi, kwa ajili ya malisho na Taifa linaweza kukosa watalii kwani watakuwa wanafika kwenye hifadhi badala ya kuona pundamilia, au Twiga wanakutana na Ng'ombe na Taifa kukosa mapato yatokanayo na utalii, lakini pia kizazi Cha Sasa kitaona mazingira rafiki kwa malisho ni kwenye hifadhi kwani kitaona hakuna katazo lolote kama wanahabari tunapaswa kuishauri serikali njia sahihi za kuepukana na hili tatizo, kazi iendelee.

Hakika mapendekezo ya Kitenge na Oscar* yanatakiwa kuchukuliwa haraka hatua za makusudi kwa ajili ya kuokoa kizazi ambacho kinaishi maisha hatarishi, na kuokoa hifadhi kuondokana na hatari ya kuwa jangwa.

#PazaSauti
#KataaMakaziYaWatuNgorongoro
View attachment 2111240View attachment 2111241
Naam
 
Hifadhi ipo ajiili ya mwanadamu...siyo mwanadamu ajili ya hifadhi hao wanao talii ni wanadamu wazunguweupe pee..ila weusi watoke ajili ya rangi yao nyeusi uchafu. Huo ni ubaguzi mbaya kuliko wa kuuza watumwa. Ndo mjuwe hivi ivi ndo babu zenu waliuzwaga ili wapate hela ya kula
.. Na leo masai wanauzwa nchini mwao ili wakubwa wale. Ni aibu sana huko vizazi vya mbele. Nasema tutapigana tu...au muwaue wote tujue moja....masai msikubali mkishindwa tuite sisi Mara mkoa
..
Mugumu hawagusi hata kutania tu
..moto utawaka usiozimika.
 
#NGORONGORO SIO SEHEMU YA MAKAZI YA BINADAMU BALI NI HIFADHI YA WANYAMA POLI Naa Joseph #Yona

Mwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!

Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobaki duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.

Muhimu kuanza kuchukua hatua stahiki kuinusulu Hifadhi adimu Duniani kwa vivutio vya utalii.

MADAI YA WATU KUISHI HIFADHI YA NGORONGORO NA WANYAMA POLI KUWA NI KUVUTIA UTALII NI UJINGA NA UPUUZI

Hivi karibuni kumezuka mijadala mingi juu ya uwepo wa zaidi ya watu zaidi ya laki Moja kuishi hifadhi ya Ngorongoro kuwa ni njia Moja wapo ya KUVUTIA UTALII ni ujinga na upuuzi usio vumilika hata kidogo.

Tumeshudia Waandishi wa habari Maulid Kitenge na Oscar Oscar Mzee wa Kaliua wakiwa wanaripoti kutoka Hifadhi ya Ngorongoro na kueleza ualisia unaoendelea hapo Hifadhini kumejitokeza, kundi la wajinga flani kwa maslahi yao binafsi bila kuangalia hali ilivyo wameanza kampeni ya kuwashambulia waandishi hao, bali tuangalie uhalisia, taarifa ni kuwa kuna jamii ya watu wachache ni wanufaika na shida za watu walio wengi maskini, huko Ngorongoro Tuendako watoto wanakufa, hakuna barabara, hakuna huduma za kijamii nk ndo maana MECIRA tunasema hatua za haraka zichukuliwe kuondoa hali ya hatari zaidi baadaye na sasa.

Shida inayoonekana hapo ni wafugaji kuingilia hifadhi, kwa ajili ya malisho na Taifa linaweza kukosa watalii kwani watakuwa wanafika kwenye hifadhi badala ya kuona pundamilia, au Twiga wanakutana na Ng'ombe na Taifa kukosa mapato yatokanayo na utalii, lakini pia kizazi Cha Sasa kitaona mazingira rafiki kwa malisho ni kwenye hifadhi kwani kitaona hakuna katazo lolote kama wanahabari tunapaswa kuishauri serikali njia sahihi za kuepukana na hili tatizo, kazi iendelee.

Hakika mapendekezo ya Kitenge na Oscar* yanatakiwa kuchukuliwa haraka hatua za makusudi kwa ajili ya kuokoa kizazi ambacho kinaishi maisha hatarishi, na kuokoa hifadhi kuondokana na hatari ya kuwa jangwa.

#PazaSauti
#KataaMakaziYaWatuNgorongoro
View attachment 2111240View attachment 2111241
Naomba nikurekebishe kidogo.Wamasai hawakutokea sehemu ingine ndio wakavamia maeneo ya hifadhi ni kwamba wako kwenye crater miaka mamia kwa mamia iliyopita.Suala la wao kuongezeka idadi hiyo ni issue ingine.Pia nikuambie kitu suala kuwa wanavamiwa na wanyama na kufa sio kwa asilimia kubwa kiasi hicho huwa Simba wanawaogopa sana wamasai
 
Naomba nikurekebishe kidogo.Wamasai hawakutokea sehemu ingine ndio wakavamia maeneo ya hifadhi ni kwamba wako kwenye crater miaka mamia kwa mamia iliyopita.Suala la wao kuongezeka idadi hiyo ni issue ingine.Pia nikuambie kitu suala kuwa wanavamiwa na wanyama na kufa sio kwa asilimia kubwa kiasi hicho huwa Simba wanawaogopa sana wamasai
Tatizo si kuvamiwa tu ndugu, tatizo kubwa ni kuwa kumekuwa na idadi kubwa ya watu ambayo ni destructive kwa mazingira, pili hiyo sehemu pia kutokana na title yake ya kuwa Biosphere reserve inakataza uharibifu huo. Walio-gazette hilo eneo kama ni Multiple Land use walikosea sana, au hawaku-consider ongezeko la watu, ni suala la kusikitisha kuona watu wakihamishwa lakini hapo kuanzia Crater nenda hadi Empakai kuna namba kubwa ya watu na mifugo kwa hiyo hata suala la Livestock-Wildlife Interaction and disease transmission ni kubwa sana. Ngorongoro imeshashindwa kubeba idadi kubwa ya wanyama, mifugo na watu (Mimi siyo mwanasiasa, ni mtaalam wa mazingira). Kuna kitu kinaitwa "culling" kwenye uhifadhi na nia ni kupunguza idadi ya wanyama iendane na mazingira, tunafanya kila mahali, kuanzia Selous na sehemu zingine ambazo hazina "corridor" ya wanyama kutoka. Sasa Ngorongoro kumejaa mifugo ambao wamechukua nafasi ya wanyama...TUFANYAJE? Tufanye culling? Ndugu shida ya Ngorongoro ni kubwa kuliko wanasiasa wanavyofanya, wasioelewa kama akina Lissu na Lema wanapiga midomo, lakini suala si kuwaonea wamaasai hata kidogo, after all tunajua Wamaasai ni wahifadhi wazuri lakini tatizo ni "Carrying capacity' ya Ngorongoro ni ndogo na haitoshelezi, wanyama, mifugo na watu wamebanana.
Tatizo ni kuwa serikali zetu zilikuwa haziwajali Wamaasai, wangewajengea uwezo, wapeleke mahali pazuri, wapewe elimu nzuri na waache kutegemea mifugo tu, kuna nafasi nyingi na serikali ingetumia angalau 10% ya mapato ya watalii kusaidia jamii zinazoishi karibu na hifadhi, wananchi wetu wangenufaika na hizo conflict zisingekuwepo.
 
Back
Top Bottom