Ngozi nyeusi ni laana?

Pole Mwekezaji Mzawa
Usikate tamaa,inwezekana katika ajira zako ulizotoa ulisahau Makundi Makuu Matatu.Kwa mtu anayetaka kufanya uwekezaji mkubwa asisahau kaujiri au kuweka Wafuatao
1.Extenal Auditors;Siku hizi kuna kampuni binafsi ambazo hutoa huduma za ukaguzi wa Hesabu na Raslimali watu,Kampuni hizi hutoa mwelekeo wa Shughuli unzofanya katika kipengele cha Going Concern(Principle of Accountinmg Term)Kwa kawaida hawa hutoa huduma kwa Malipo kidogo na wanatambulika kisheria
2.Business Consultancy hawa watakutengenezea Tools za Monitoring and Evaluation yaani watakupa nyenzo za kuwa unajipima na kujifanyia Tathmini kadri ya Mwezi,Nusu Mwaka hadi Miaka Mitano,kwa hili kama unaelekea Shimoni utajua mapemaaaaa
3.Solicitors:Watakutengenezea jinsi ya Kutengeneza Mikataba ya Wafanyakazi na Biashara wezeshi au Shiriki.Upande wa Wafanyakazi watapewa Terms ambazo wakienda kinyume Sheria itachukua mkomdo wake na si vinginevyo
KUMBUKA UKIENDA KISHERIA(BUSINESS LAW) Biashara ni mtu naili iende inatakiwa iendeshwe kisheria na sio kindugu.Ndo maana huwa inasajiriwa(Kupewa uhai) inapewa chakula yaani Financial & Human Resource na pia
k
 
Are you grown person ?. Hivi MOE anaweza simamia miradi mwenyewe ? Huyo mtu tayari ana miradi mingine.
Lakini kwa nini husomi habari kwa umakini.
Hii ni habari sensitive sana kwa sisi watu weusi.
Amesema alimuweka mtoto wake kisha akampeleka kwenye miradi mingine .
Hao wahitimu wa chuo si ndio hao hao wapo bank. Mbona hawaondoki na mahela pale bank ! Je mkabulu yupo kila bank ya NMB.
Kwani angekuwepo angeendesha yeye hayo matrekta ?
Tabia ya watanzania ni mbaya tu, kampuni ya Dangote madereva wa malori wanayatumia malori kuiba root ndogo ndogo, je Dangote anaweza simamia lori zaidi ya 200 . Profesa kakosea ndio ila watanzania ni MUFLISI.
Hakuna kitakacho ongoka kwa usimamizi wa watanzania wengi. Ni watu wa HOVYO sana.
 
Aisee ........ Hujaona wamiliki wa makampuni wanakuwa na watu wao,wako kama misukule ila ni waajiriwa na wanapata mshahara mdogo na kwa tabu? Boss kashawafunga wale, chochote kinachofanyika lazima wamueleze. Hata ukiwapa deal lazima waseme kwa boss. Boss anaweza kukaa hata mwaka bila kufika ofisini na Kila kitu shwari. Kampuni haziendeshwi kawaida boss wangu.
 
Huenda hayajawahi kukukuta haya
 
Inasikitisha wewe kuitwa binadamu!

Kwa nini? Kwa sababu wewe mwenyewe hujijui ni alama ya mambo gani!

Huwezi kuendelea au kupata maendeleo kama humjui Mungu.

Angalia unaosema hawamjui Mungu. Kiwango chao cha uadilifu kikoje? Na je, uwezo wao wa kufikiri na kufanya uchunguzi ukoje?

Wewe (Mwafrika) unafanya uchunguzi gani? Kwa nini uadilifu wa mwafrika ni zero? Ni kitu gani kingine kipya ambacho Mwafrika ameweza kuzalisha?
 
Usipoandaa watu kiakili na kimwili, kiroho na kimaadili; mtu asipotambua kwa akili lipi ni jambo jema na lipi ni jambo baya, upi ni ukweli na upi ni uongo, hakuna maendeleo hapo. Ni umasikini tu.

Waafrika hawaandai watu; hawafundishi watoto wao kujua ukweli. Wako kama wanyama wanazaa na kuacha hapo!

Lakini wanataka matokeo, wanatamani maendeleo ila hawajui maendeleo ni utaratubu na mpango wa kiakili.
 
Duuuu!

Nimerudia mara nyingi bado sijaelewa unaongelea nini hapa?

1)Labda unamaanisha kuwa mtu hawezi kuwa muadilifu bila kumjua Mungu!? (hata bado sielewi unaposema kumjua unamaanisha nini!)

2)Labda kuna sehemu unamaanisha kuwa waafrika sio waadilifu.

Kama 1) na 2) hapo juu ni sahihi, basi ni hoja mbili zenye muelekeo mmoja, na hivyo zinaweza kujibiwa kwa pamoja.

Ninachokiona kwako ni lack of exposure, inawezekana kabisa uelewa wako juu ya ulimwengu na wanadamu tamaduuni zao ni finyu.

Unaoanisha kumjua Mungu na uadilifu, ili hali anaezungumziwa kukosa uadilifu ni mchungaji!

This is ironic!

Unakili mwenyewe kuwa waafrika siyo waadilifu, je, unafahamu kuwa waafrika ni jamii (zinazomjua) huyo Mungu kuliko jamii nyingi?

Unafahamu kwa mfano, kwamba Japan ni nchi yenye watu waadilifu na wastaarabu zaidi?

Nikushangaze sasa, Japan hawajawahi kumjua huyo Mungu, hakuna makanisa na misikiti kule.kule.
 
Nianze na hili la exposure.

Sijui kama hiyo unayoita exposure imekusaidia kuelewa mambo!

Namaanisha huenda ukawa na exposure lakini usiweza kuchanganua na kuelewa mambo.

Kwa mfano, kwa nini wajapani ni waadilifu na wastaarabu?

Au swali la msingi: "uadilifu" ni nini? Na mtu anawezaje kuwa mwadilifu?

Kuhusu kwamba Japan hawamjui Mungu na kwamba hakuna Kanisa. Huo ni uongo.

Takiribani asilimia 0.4 ambayo ni sawa na watu zaidi ya laki tano (500,000) ya idadi ya watu wa Japani ni wakatoliki.

Hiki ulichoandika kinaonyesha kuna mambo mawili ambayo hujayajua. La kwanza: dini maana yake ni nini? Na la pili: Mungu maana yake ni nini?

Kumjua Mungu sio kuhudhuria Kanisani au msikitini. Kuwa padre au mchungaji au shehe hakumanishi ndio kumjua Mungu; au kwamba ni mwadilifu. Mapadre, mashehe au wachungaji wanatoka wapi? Huko wanakotoka kuna uadilifu?

Ndugu yangu.

Sisemi waafrika wote, lakini zaidi ya asilimia 98 ya waafrika "HAWAMJUI MUNGU".

Kwa nini? Angalia mambo wanayofanya! Je, hayo mambo ni yenye akili?

Watu ambao hawawezi kutambua kwa akili jambo jema na baya, uongo na ukweli, ambao hawawezi kutafuta ukweli wa mambo unawezaje kusema wanamjua Mungu?
 
Hapo nimekuelewa.

Nilidhani kumjua Mungu ni kuwa mfuasi wa imani za kidini kama vile ukristo na uislamu,

Kumbe kumjua Mungu unamaanisha kutambua jambo baya na jema, ukweli na uongo!

Kwa definition hiyo, nakubaliana na wewe kwamba ili kupata maendeleo au kuwa muadilifu, inatakiwa''kumjua Mungu''
 
Hakuna mzazi asiefundisha mtoto maadili mema. Shule zote zinafundisha maadili mema. Msikitini na kanisani napo wanafundisha maadili mema. Kwa hio ni tabia tu za watu kukiuka maadili.
 
Hakuna mzazi asiefundisha mtoto maadili mema. Shule zote zinafundisha maadili mema. Msikitini na kanisani napo wanafundisha maadili mema. Kwa hio ni tabia tu za watu kukiuka maadili.
Tabia ni nini?

Na kwa nini watu wanakiuka maadili?
 
Waafrika hasa hawa watnzania ni takataka kamwe usiwape kazi,inatakiwa uendeshe huo mradi kama kampuni ,kuwe na human resources Manager ili mambo yaende katika ipasavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…