Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Kwani ulikuwa unadhani hataipata? Uliamini propaganda ya magazeti ya Kenya?
Trump hakuwa anamtaka. Trump is a racist na hawezi kubali Muafrika achukue usukani wa WTO. Trump ni white supremacist na hata kwake ni heri mtu kutoka Asia achukue hatamu kushinda mtu mweusi. Hata Trump alikataa kuchapisha picha ya Mwanamke mweusi kwenye pesa ya Marekani ilhali poll ilifanywa ya kuuliza mwanamke yupi anastahili kuwekwa kwenye noti na Wamarekani wengi wakamchagua Harriet Tubman.
Lakini Biden hana chuki kali sana dhidi ya watu weusi. Amemchagua vice president mwenye ana damu ya watu weusi. Amemchagua defence secretary Mweusi. So Biden ndio ameambia huyo Mgombea kutoka S. Korea kwamba ajitoe. Nadhani Trump ndiye alimlazimisha huyo mama kubaki kwenye kinyanganyiro, pengine mama mwenyewe hakuwa anataka kubaki kwenye mechi.
 
Trump hakuwa anamtaka. Trump is a racist na hawezi kubali Muafrika achukue usukani wa WTO. Trump ni white supremacist na hata kwake ni heri mtu kutoka Asia achukue hatamu kushinda mtu mweusi. Hata Trump alikataa kuchapisha picha ya Mwanamke mweusi kwenye pesa ya Marekani ilhali poll ilifanywa ya kuuliza mwanamke yupi anastahili kuwekwa kwenye noti na Wamarekani wengi wakamchagua Harriet Tubman.
Lakini Biden hana chuki kali sana dhidi ya watu weusi. Amemchagua vice president mwenye ana damu ya watu weusi. Amemchagua defence secretary Mweusi. So Biden ndio ameambia huyo Mgombea kutoka S. Korea kwamba ajitoe. Nadhani Trump ndiye alimlazimisha huyo mama kubaki kwenye kinyanganyiro, pengine mama mwenyewe hakuwa anataka kubaki kwenye mechi.
Ila mbona kuna waliokuwa wanadai Trump alikuwa anamtaka Amina Mohamed? Na Trump ni best wa Uhuru?
 
Ila mbona kuna waliokuwa wanadai Trump alikuwa anamtaka Amina Mohamed? Na Trump ni best wa Uhuru?
Hayo ni madai tu. Ukweli ni kwamba Marekani walisimama kidete na huyo Mwanamke kutoka Korea Kusini. Halafu Trump sio bestie wa Uhuru. Alialika rais wawili tu kutoka Sub saharan Afrika in four years. Rais wa Nigeria na wa Kenya. Uhuru huwa anajaribu kutengeneza urafiki na kila mtu. Rais wa France, Wa Marekani, Wa China e.t.c Uhuru hana best friends, yeye anapenda kuzunguka tu na kusafiri kila mahali.
 
Hayo ni madai tu. Ukweli ni kwamba Marekani walisimama kidete na huyo Mwanamke kutoka Korea Kusini. Halafu Trump sio bestie wa Uhuru. Alialika rais wawili tu kutoka Sub saharan Afrika in four years. Rais wa Nigeria na wa Kenya. Uhuru huwa anajaribu kutengeneza urafiki na kila mtu. Rais wa France, Wa Marekani, Wa China e.t.c Uhuru hana best friends, yeye anapenda kuzunguka tu na kusafiri kila mahali.
😆😆😆Anapenda kuzurura!
 
Hayo ni madai tu. Ukweli ni kwamba Marekani walisimama kidete na huyo Mwanamke kutoka Korea Kusini. Halafu Trump sio bestie wa Uhuru. Alialika rais wawili tu kutoka Sub saharan Afrika in four years. Rais wa Nigeria na wa Kenya. Uhuru huwa anajaribu kutengeneza urafiki na kila mtu. Rais wa France, Wa Marekani, Wa China e.t.c Uhuru hana best friends, yeye anapenda kuzunguka tu na kusafiri kila mahali.
Amina Mohammed hakutia mguu tena AU this time?
 
Lakini mbona ni mzee?? At 66 je hakuna vijana?
Daaa!!!hayo mambo ya umri mnayo nyie waafrika, wazungu wanachoangalia ni utendaji kazi wa mtu, huyu mama kwenye mambo ya fedha ni mtaalam hasa hasa!!ni USA, utawala wa trump ndio walikuwa wanazingua, kwani kuwa mkurugenzi wa mashirika makubwa ya UN, bila kuungwa mkono na USA, ni ngumu kupita, utawala wa biden ulipomuunga mkono tu, tayari!!hao wenye umri mdogo afrika wamesaidia nini kwenye uongozi?!!, eti mala zamu hii ni mwanamke, wamefanya nini, Mala kiongozi lazima awe na mke, yaani vigezo kibao lakini hakuna lolote wanalolifanya!!mfano, awamu hii mwanzoni akawawaweka vijana wengi kwenye uongozi, kuanzia uwaziri, unaibu, u dc, u Rc, wamefanya kitu gani chenye tija cha kuonekana?!!
 
Swali gani. Huyu mtu alipita unopposed. Hakuna mtu yeyote aliyeleta ushindani. Unajua jibu na bado unauliza. Uwache kujitia hamnazo.
Mi nimeuliza uchaguzi huu wa AU najua aliwahi kuangukia pua!
 
Back
Top Bottom