Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

I tried looking for that thesis and didn't find it online. Did he ever teach at University of Dar es Salaam? And if he did, how many years did he teach there? The guy could be a fraud.
@Tony254 , Magufuli ana akili sana, anawazidi Professors wengi sana hapa Africa, ana akili za darasani na mtaani, in nutshell is very intelligent man and very hard working.

Amepata PhD yake akiwa ni waziri, kumbuka PhD yake ni pure science in Chemistry, hiyo PhD ni ngumu sana kuipata Chuo kikuu cha Dar es Salaam. Ukitaka kuipata nenda maktaba za chuo kikuu cha Dar es Utaipata, au mtume mtu akupigie Photo copy akutumie, sijui hata kama utaelewa alichoandika, the guy is super bright, hakumzidi mkapa kwa Akili, lakini jamaa yupo vizuri sana
 
Ninyi mnaothamini kiingereza bado mnashindwa kila nafasi kubwa mnazoomba, mnalazimisha dunia iwakubali wakati hamkubaliki.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Vyuma vilikazwa zile buku Saba hupati ndio maana unatumia kitecno Cha laki mbili? Kweli umesota . Pigia chadema 28 upangwe maisha haya maneno ya buku Saba naona sio ya faida kwako, ukitaka maisha mazuri chadema ipo kwa ajili yako.
 
The kind of diplomatic campaign that flattened Amina...






Meanwhile huku kwetu Kenya was busy to smear attack Tanzania




EbVzxjCUcAIBrGl




 

Congrats to Ngozi Okonjo-Iweala. Afrika won!!​


And Kenya learned a lesson "usitukane Mkunga ungali uzazi upo"!! Surprisingly Kenya could neither use EAC nor COMESA for support and demonstration of having no good rapport with her neighbours yet wanted a WTO seat!
 
And Kenya learned a lesson "usitukane Mkunga ungali uzazi upo"!!
Mkunga mgani alitukanwa? Ushindani ni muhimu. If Afrika had ganged up on one candidate the rest of the world would have retaliated and the position could have gone gone elsewhere maybe, nobody knows.
 
Mkunga mgani alitukanwa? Ushindani ni muhimu. If Afrika had ganged up on one candidate the rest of the world would have retaliated and the position could have gone gone elsewhere maybe, nobody knows.
Mliacha kutafuta support ya regional blocks mkaenda divisive shuttle diplomacy to individual countries as if WTO is an individual countries affair!

Kingine mkaanza kuitukana as if mshaukwaa ukurugenzi WTO mkiamini EU itawa-support nyie. I believe Kenya knows its rightful place now! Maana mmeufyata!
 
The kind of diplomatic campaign that flattened Amina...






Meanwhile huku kwetu Kenya was busy to smear attack Tanzania




EbVzxjCUcAIBrGl






Ile dhambi ya uzandiki ya kutuchafua, na sijui walifanya vile kwa faida ya nani, ndiyo iliyowatafuna.
 
And Kenya learned a lesson "usitukane Mkunga ungali uzazi upo"!! Surprisingly Kenya could neither use EAC nor COMESA for support and demonstration of having no good rapport with her neighbours yet wanted a WTO seat!
Hii obsession yako na nchi ya Kenya ni hatari kwa afya yako. Yaani kati ya candidates 8 walioshindwa, akiwemo mmisri Abdel Hamid wewe hadi leo hii umekomalia tu kwa Amina? Alafu EAC ilimpa endorsement Amb. Amina Mohammed kadanganye mapimbi wenzako kule kwenu Kolomije. East Africa: EAC Endorses Kenya's Amina Mohamed for WTO Director-General
 
Amina kaweka record ya kuangukia pua ndo maana nimemshikia bango! Mind u 3 times in a row!
Aah wapi, wivu na uchawi ndio unakusumbua. Kama ungekuwa unamshikia bango kwasababu tu ameshindwa hungekuwa unahadaa watu kwamba hakupata support ya EAC(ushahidi wa endorsement ya EAC nimekuekea hapo juu ila umeupuuza). Wala hungeibuka na longo longo zako ukijaribu kulazimisha kwamba Kenya ilikuwa na uadui na nchi zingine ambazo zilikuwa na wagombea wao. Infact baada ya Amina kukosa kufika fainali Kenya ilirusha 'weight' yao nyuma ya mnigeria Okonjo Eweala. >>> Kenya backs Nigeria's Okonjo for WTO job as CS Amina fails to make it to finals Amb. Amina Mohammed ambaye ni waziri kwa sasa ana rekodi ambayo aliacha alipokuwa WTO kwa miaka mingi. Alikuwa ndio mwanamke wa kwanza kushikilia nyathfa za juu za uongozi kwenye nafasi mbali mbali ndani ya WTO. Wewe hapo hata kupata uenyekiti wa nyumba kumi kijijini kwenu ni ndoto. 😀
 
Aah wapi, wivu na uchawi ndio unakusumbua. Kama ungekuwa unamshikia bango kwasababu tu ameshindwa hungekuwa unahadaa watu kwamba hakupata support ya EAC(ushahidi wa endorsement ya EAC nimekuekea hapo juu ila umeupuuza). Wala hungeibuka na longo longo zako ukijaribu kulazimisha kwamba Kenya ilikuwa na uadui na nchi zingine ambazo zilikuwa na wagombea wao. Infact baada ya Amina kukosa kufika fainali Kenya ilirusha 'weight' yao nyuma ya mnigeria Okonjo Eweala. >>> Kenya backs Nigeria's Okonjo for WTO job as CS Amina fails to make it to finals Amb. Amina Mohammed ambaye ni waziri kwa sasa ana rekodi ambayo aliacha alipokuwa WTO kwa miaka mingi. Alikuwa ndio mwanamke wa kwanza kushikilia nyathfa za juu za uongozi kwenye nafasi mbali mbali ndani ya WTO. Wewe hapo hata kupata uenyekiti wa nyumba kumi kijijini kwenu ni ndoto. 😀

BTW Mchawi aliyekuzaa wewe uliyebemendwa!
 
Back
Top Bottom