Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Basi kama Hutaki Gdp wala Gni per capita basi kuna kipengele kingine ambacho kinatumika sana na NGOs na UN ila hakijajikita sana katika mambo ya uchumi. Kipengele hiki kinaitwa Human development Index (HDI). Kinazingatia kila kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu ikiwemo level of education na health care. Sasa unataka tulinganishe level ya HDI ya Kenya na Tanzania ili tujue ni mwananchi mgani anaishi maisha bora zaidi?
Kama unataka hio battle sema.
Halafu pia unaweza kusoma kuhusu HDI hapa:
Human Development Index - Wikipedia
Sawasawa kabisa HDI ni kigezo bora cha kupima ni kiasi gani nchi imeendelea, kawaida UNDP wanakusanya data kila baada ya miaka kumi kama sikosei, nina uhakika data zitakazo toka baada ya kujumuisha miaka mitano ya Magufuli, Tanzania itakua overall winner.

Tanzania imewekeza sana katika miradi ya maendeleo ya wananchi wa kawaida
1)Afya
2)Kusambaza umeme
3)Kusambaza maji
4)Kuimarisha miundombinu ya kilimo
5)Ujenzi wa shule na vyuo
6) Ujenzi wa barabara za wilaya na mikoa
7)Kupunguza unemployment rate
8)Uhakika wa upatikanaji wa chakula

Katika hivi vipengele, Tanzania ipo juu ya Kenya tena kwa mbali sana.
 
Kipangaspecial wacha kuchanganya utani na husda, utani na uhasidi, utani na hila, utani na udhalimu, utani na ubinafsi!

We angalia huyu Amina na Madam Ngozi waliptishwa wote na AU! Ila cha ajabu baada ya kupitishwa na AU kugombea kilichofuata zikaanza kashfa za uongo za kizandiki kwamba hatukuwapigia kura kwenye media yao mpaka kabudi akawajibu na Serikali yao ilikaa kimya! Hii ina maana gani?








GoK iliamini imeshaukwaa ukurugenzi WTO kutokana na kujisadikisha wako karibu zaidi na nchi za Magharibi na walikuwa wanaihofia influence ya Tanzania AU japokuwa tuliwaunga mkono! Na kwao kilichobaki ni shukrani za Punda kwa Tanzania hata baaada ya kuwaunga mkono tena kwenye Ujumbe wa muda wa Baraza la Umoja wa Mataifa, na kipindi hichohicho wakaenda mbali zaidi kuanzisha chokochoko za kumuondoa Mkurugenzi wa AfDB kwa kutumiwa na Trump!

EAC haikupigia kura kenya AU kwa vile makubaliano yalikuwa EAC i-support mgombea wa Uganda ila tamaa za majirani wakatuzunguka na kumuweka Amina! Ilichofanya Tanzania ni ku-abstain voting baada ya kuombwa na Uganda! Plain simple! saahii Uhuru anajipendekeza kwa JPM kujaribu ku-mend fences..na ndo maana kila akimpiga simu kwa JPM kesho yake anamwanika hadharani.

Aisee huu huwezi kuuita Utani hizi ni systematic hila za ku-deliberately breach bilateral relations! yaani ku-denigrate na ku-undermine a support by a good neighbor with genuine intentions on u but u react inapropriate as u habor sinister motives towards that neighbor! look at things like EPA Kenya went solo in disregard of EAC probably believing it might help their secret selfish cause (obvious sinister to the region and existence of EAC) or may be they already had WTO seat in mind!
Hakuna cha utani, Kenyans wanachuki na Tanzania kwasababu ni threat kwa Kenya dominance, wao wanataka kuwa superpower wakati hawana "leadership, intelligence and sustainable resources za kuwafanya wawe ni kiongozi katika EA, baada ya kutambua kwamba uwezo wao ni mdogo, waneanza kutumia njia ya kupiga kelele kuipakazia Tanzania ili kuitoa katika reli.
 
Hakuna cha utani, Kenyans wanachuki na Tanzania kwasababu ni threat kwa Kenya dominance, wao wanataka kuwa superpower wakati hawana "leadership, intelligence and sustainable resources za kuwafanya wawe ni kiongozi katika EA, baada ya kutambua kwamba uwezo wao ni mdogo, waneanza kutumia njia ya kupiga kelele kuipakazia Tanzania ili kuitoa katika reli.

Itabidi tumtume Tony254 awe balozi wa amani kule kwao kumtuliza Uhuru na genge lake!
 
Hakuna cha utani, Kenyans wanachuki na Tanzania kwasababu ni threat kwa Kenya dominance, wao wanataka kuwa superpower wakati hawana "leadership, intelligence and sustainable resources za kuwafanya wawe ni kiongozi katika EA, baada ya kutambua kwamba uwezo wao ni mdogo, waneanza kutumia njia ya kupiga kelele kuipakazia Tanzania ili kuitoa katika reli.
Tanzania mna resources nyingi sana kushinda Kenya. Sasa kama nyinyi mna intelligence kutushinda basi mbona mna uchumi mdogo kutushinda?
 
Sawasawa kabisa HDI ni kigezo bora cha kupima ni kiasi gani nchi imeendelea, kawaida UNDP wanakusanya data kila baada ya miaka kumi kama sikosei, nina uhakika data zitakazo toka baada ya kujumuisha miaka mitano ya Magufuli, Tanzania itakua overall winner.

Tanzania imewekeza sana katika miradi ya maendeleo ya wananchi wa kawaida
1)Afya
2)Kusambaza umeme
3)Kusambaza maji
4)Kuimarisha miundombinu ya kilimo
5)Ujenzi wa shule na vyuo
6) Ujenzi wa barabara za wilaya na mikoa
7)Kupunguza unemployment rate
8)Uhakika wa upatikanaji wa chakula

Katika hivi vipengele, Tanzania ipo juu ya Kenya tena kwa mbali sana.
Wacha nijaribu kutafuta HDI index kati ya TZ na KE tujue ni nchi gani kwa sasa iliyo juu
 
Chuki kati ya Kenya na TZ sio chuki ya ukweli. Ni rivalry tu kati ya ndugu wawili wanaotoshana nguvu.
Vipi, maombi dhidi ya Corona yanaendelea!?! Siku nyingine msiwacheke Watanzania pale wanapomwendea au kumgeukia Mungu kwa maombi...
 
Tanzania mna resources nyingi sana kushinda Kenya. Sasa kama nyinyi mna intelligence kutushinda basi mbona mna uchumi mdogo kutushinda?
Hilo ndio kosa mnalolifanya wakenya na ndilo linaliwagharimu, ninyi mnazungumzia uchumi mkubwa GDP/GNI, sisi tunazungumzia maendeleo ya watu (HDI).

Nigeria ina uchumi mkubwa hapa Afrika, lakini katika maendeleo ya watu (HDI), Mauritius is leading. Egypt ni namba tatu kwa uchumi mkubwa kati ya 1)Nigeria 2)South Africa 3)Egypt, lakini katika maendeleo ya watu 1)Egypt, 2)South Africa 3)Nigeria.
 
Tanzania mna resources nyingi sana kushinda Kenya. Sasa kama nyinyi mna intelligence kutushinda basi mbona mna uchumi mdogo kutushinda?
Tanzania thrives for development of its people. Kenya for GDP of its Economy, this is the difference.
 
Hilo ndio kosa mnalolifanya wakenya na ndilo linaliwagharimu, ninyi mnazungumzia uchumi mkubwa GDP/GNI, sisi tunazungumzia maendeleo ya watu (HDI).

Nigeria ina uchumi mkubwa hapa Afrika, lakini katika maendeleo ya watu (HDI), Mauritius is leading. Egypt ni namba tatu kwa uchumi mkubwa kati ya 1)Nigeria 2)South Africa 3)Egypt, lakini katika maendeleo ya watu 1)Egypt, 2)South Africa 3)Nigeria.
Mimi bado natafuta list. Nikipata nitaweka ili tujue wazi ni nchi gani kati ya KE na TZ ina HDI kubwa. Usianze kujisifu kwanza, bado ni mapema.
 
Hehe rais wenu eti ana Phd ya chemistry na huku kizungu kinamshinda. Maskini wa Mungu. Huwa anatia huruma akijaribu kuzungumza kwa kizungu.
Frankly speaking, he is simply an idiot. His PhD has been questioned on several fora. It is believed that 80 percent of the thesis was plagiarized and it was never aknowledged anywhere in the text . Shame to the awarding authority - UDSM SENATE and responsible organs including the university council and the Chancellor himself.
 
Frankly speaking, he is simply an idiot. His PhD has been questioned on several fora. It is believed that 80 percent of the thesis was plagiarized and it was never aknowledged anywhere in the text . Shame to the awarding authority - UDSM SENATE.
I tried looking for that thesis and didn't find it online. Did he ever teach at University of Dar es Salaam? And if he did, how many years did he teach there? The guy could be a fraud.
 
Mimi bado natafuta list. Nikipata nitaweka ili tujue wazi ni nchi gani kati ya KE na TZ ina HDI kubwa. Usianze kujisifu kwanza, bado ni mapema.
HDI ya mwisho ninadhani imetoka 2010 ambayo inaonyesha Kenya ipo mbele ya Tanzania, ila ripoti itakayojumuisha hii miaka mitano ya Magufuli lazima itaiweka Tanzania mbele ya Kenya, kwasababu ndani ya miaka mitano, Magufuli ameongeza "Electric connectivity toka 32% hadi 84%, water distribution from 20% to 74%, Health care accessibility from 40 to 95%, food production to 124%, security to 96%.

Kwa kifupi Tanzania imeizidi Kenya kwa mbali sana katika maendeleo ya watu, hilo ndio lengo letu, sio kuwa na GDP kubwa isiyosaidia kuleta maendeleo ya watu.
 
Hehe rais wenu eti ana Phd ya chemistry na huku kizungu kinamshinda. Maskini wa Mungu. Huwa anatia huruma akijaribu kuzungumza kwa kizungu.
Frankly speaking, he is simply an idiot. His PhD has been questioned on several fora. It is believed that 80 percent of the thesis was plagiarized and it was never aknowledged anywhere in the text . Shame to the same awarding authority.
I tried looking for that thesis and didn't find it online. Did he ever teach at University of Dar es Salaam? And if he did, how many years did he teach there? The guy could be a fraud.
You will never find it. He has never in his life been a lecturer in any university on earth.
 
Back
Top Bottom