joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
@Tony254, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi WTO na WHO zinaongozwa na Waafrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Tony254, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi WTO na WHO zinaongozwa na Waafrika.
Mbona bado haibadiliki rangi?Wewe jifunze kumention mtu kirasmi kwa kuweka @ mbele ya jina la mtu. Jina lake likiwa na rangi ya samawati ndio unajua kuwa amepata habari. Vipi umeposti message zaidi ya elfu kumi na saba na bado hujaelewa jinsi ya kumention mtu? Joto wacha kuniangusha.
Kama ningekua mimi nisingezungumza kiingereza hata siku moja, hakuna kitu ninachukia kama mwafrika kuitwa John, Joseph, Wilium, Tony, Tyson, utumwa gani huu?.Hehe rais wenu eti ana Phd ya chemistry na huku kizungu kinamshinda. Maskini wa Mungu. Huwa anatia huruma akijaribu kuzungumza kwa kizungu.
Mbona magazeti na serikali yenyu imekaa kimya? Hamna pongezi!Hii ni habari njema Geza, hata kwa Wakenya. Najua unangojea Wakenya wakasirike ila hii ni habari njema kwa Waafrika wote. Hapa hakuna battle. Hongera kwake. Nimefurahi kama mwafrika.
@Tony254Ondoa hiyo komma au weka space kati ya Tony254 na ,
Tanzania ni kitovu cha Kiswahili bora, tusikubali kuwapa nafasi hawa jamaa kukichafua, wakiona mtanzania anatumia maneno yao mabovu, watadhani ndio kiswahili sanifu, hili neno "yenyu sio sawa tafadhali tusilitumie ili lifutike ktk vichwa vyao.Mbona magazeti na serikali yenyu imekaa kimya? Hamna pongezi!
joto la jiwe [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona bado haibadiliki rangi?
Hebu jaribu tena. This time usiweke comma baada ya jina Tony254Mbona bado haibadiliki rangi?
Hahaha. joto la jiwe anajua mambo mengi ila hajui kumention mtu kwenye JF. Maajabu ya Musa.joto la jiwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona hiyo Techno yako imebuma uliza Mchina nini tatizo!Mbona bado sifanikiwi?
Hebu basi mention Geza Ulole pengine this time utafanikiwa@Tony254
Unatumia app ya jamiiforums na hapo ndipo kuna tatizo,Tanzania ni kitovu cha Kiswahili bora, tusikubali kuwapa nafasi hawa jamaa kukichafua, wakiona mtanzania anatumia maneno yao mabovu, watadhani ndio kiswahili sanifu, hili neno "yenyu sio sawa tafadhali tusilitumie ili lifutike ktk vichwa vyao.
@ Tony254
Inakaa tatizo ni Techno anayotumia!Hebu jaribu tena. This time usiweke comma baada ya jina Tony254
Ni Sunday. Hakuna mtu yeyote wa Serikali anayefanya kazi leo. Ngoja hadi Kesho. Ila president Uhuru nategemea atatoa hongera zake leo kupitia twitter.Mbona magazeti na serikali yenyu imekaa kimya? Hamna pongezi!
Mimi sio mzuri kabisa katika eneo zima la "IT", huwa ninashindwa hata kupost tweets zaidi ya moja katika post moja, lazima kila "tweets niibandike "separately".Hahaha. joto la jiwe anajua mambo mengi ila hajui kumention mtu kwenye JF. Maajabu ya Musa.
Wow. Hongera sana mzee. Angalau sasa umefanikiwa kumention mtu. HahahaMimi sio mzuri kabisa katika eneo zima la "IT", huwa ninashindwa hata kupost tweets zaidi ya moja katika post moja, lazima kila "tweets niibandike "separately".
Ninawaona wenzangu wanakusanya tweets nyingi na kuzibandika katika post moja, wanawezaje?.
Tony254
Sasa ukinimention nitakuwa napata habari hata nisipoingia JF kwa wiki nzima bado nitapata habari uliyotaka kuniarifu.Mimi sio mzuri kabisa katika eneo zima la "IT", huwa ninashindwa hata kupost tweets zaidi ya moja katika post moja, lazima kila "tweets niibandike "separately".
Ninawaona wenzangu wanakusanya tweets nyingi na kuzibandika katika post moja, wanawezaje?.
Tony254