Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Mimi ninachouzika na CCM ni huu mtindo wa kupita bila kupingwa! Utaleta machafuko si mzuri! Mambo ya kutaka Bungeni kuchukua over 80% ya viti haitusaidii! Kiukweli kwenye Wabunge kama si hizi hujma CCM na upinzani ungegonga 50-50! Imagine CCM wana Wabunge 30+ ready kuapishwa hata kabla ya 28/10!
Hata mimi ninaungana na wewe katika hilo, ila kiukweli ni kwamba CCM kinanguvu sana kiasi kwamba sio rahisi kwa upinzani nchi hii kuweza hata kupata idadi ya viti vingi bungeni.

Kama alivyosema, upinzani wa maana katika nchi hii lazima utokane na kusambaratika kwa CCM, nje ya CCM hakuna wana siasa wa maana, ndio sababu hata wao wenyewe wanasubiri atakayeachwa au kujitoa CCM ndio wanampa "ticket ya kugombea urais kwa tickets za vyama vyao", hii maana yake ni kwamba " rejected CCM candidate" is the best candidate in opposition, hujuma sio sana kama upinzani unavyotaka kutuaminisha, japo zipo kidogo.
 
@Tony254 tukiacha GDP na baadhi ya maeneo machache ya maendeleo, Tanzania iko mbele ya Kenya tena sana. Kigezo kimoja tu cha GDP ndio kinaifanya Kenya kuwa mbele ya Tanzania.
Lakini kumbuka wanauchumi sisi tunatumia Gdp na derivatives za Gdp kama vile Gni na Gni per capita kupima hali ya uchumi. Sasa ukisema kuwa tumewazidi kwa Gdp tu na usahau kuwa tumewazidi hata kwenye Gni na Gni per capita basi utakuwa umekosea. Gdp na Gni per capita ni muhimu kwa wanauchumi na ndio inatumika na World Bank, Imf na UN kurank countries.

Sasa mkitaka kutupita either mtupite katika Gdp yenyewe au mtupite katika Gni per capita (utajiri wa mwananchi mmoja), au vigezo vyote viwili. Lakini kwa sasa uchumi wa Kenya ni kubwa kushinda wenu (Gdp) na pia Mkenya mmoja ana utajiri kushinda Mtanzania mmoja (Gni per capita). Yaani haya ni statistics tu na haimaanishi kuwa kila Mkenya ana pesa kushinda kila Mtanzania ila on average based on the size of the economy vis a vis the population, basi Mkenya mmoja ana kipato cha juu kushinda Mtanzania.

Kama una mfumo bora zaidi ya kupima kipato cha mwananchi mmoja kushinda Gni per capita basi andika article katika acadenic journal na World Bank wanaweza kuitumia wakiona ipo sawa. Ila kwa sasa tunatumia Gni per capita na hapa tumewashinda pia.
 
Ni akili zilezile kama za ccm kuwalaumu chadema kwa flaws wanazozisababisha wao wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana let's be realistic Kuna kura ya usalama Djibouti ilishinda Kenya ikaanza kusingizia Tanzania na kulaumu, same applies kwa issue za corona huoni huo ni unaa na unafiki wao na chuki kwa jirani. Jirani mwenye chokochoko hafai
 
Hapana let's be realistic Kuna kura ya usalama Djibouti ilishinda Kenya ikaanza kusingizia Tanzania na kulaumu, same applies kwa issue za corona huoni huo ni unaa na unafiki wao na chuki kwa jirani. Jirani mwenye chokochoko hafai
Kenya ni watani zetu, many of the Kenyans are our distant relatives, tuwavumilie tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utani wao mubaya wanaona furaha jirani kuharibikiwa na wao waonekane wazuri nilipenda jinsi wamekutana na Magufuli kichwa ngumu akawanyoosha kwelikweli

Kipangaspecial wacha kuchanganya utani na husda, utani na uhasidi, utani na hila, utani na udhalimu, utani na ubinafsi!

We angalia huyu Amina na Madam Ngozi waliptishwa wote na AU! Ila cha ajabu baada ya kupitishwa na AU kugombea kilichofuata zikaanza kashfa za uongo za kizandiki kwamba hatukuwapigia kura kwenye media yao mpaka kabudi akawajibu na Serikali yao ilikaa kimya! Hii ina maana gani?








GoK iliamini imeshaukwaa ukurugenzi WTO kutokana na kujisadikisha wako karibu zaidi na nchi za Magharibi na walikuwa wanaihofia influence ya Tanzania AU japokuwa tuliwaunga mkono! Na kwao kilichobaki ni shukrani za Punda kwa Tanzania hata baaada ya kuwaunga mkono tena kwenye Ujumbe wa muda wa Baraza la Umoja wa Mataifa, na kipindi hichohicho wakaenda mbali zaidi kuanzisha chokochoko za kumuondoa Mkurugenzi wa AfDB kwa kutumiwa na Trump!

EAC haikupigia kura kenya AU kwa vile makubaliano yalikuwa EAC i-support mgombea wa Uganda ila tamaa za majirani wakatuzunguka na kumuweka Amina! Ilichofanya Tanzania ni ku-abstain voting baada ya kuombwa na Uganda! Plain simple! saahii Uhuru anajipendekeza kwa JPM kujaribu ku-mend fences..na ndo maana kila akimpiga simu kwa JPM kesho yake anamwanika hadharani.

Aisee huu huwezi kuuita Utani hizi ni systematic hila za ku-deliberately breach bilateral relations! yaani ku-denigrate na ku-undermine a support by a good neighbor with genuine intentions on u but u react inapropriate as u habor sinister motives towards that neighbor! look at things like EPA Kenya went solo in disregard of EAC probably believing it might help their secret selfish cause (obvious sinister to the region and existence of EAC) or may be they already had WTO seat in mind!
 
Lakini kumbuka wanauchumi sisi tunatumia Gdp na derivatives za Gdp kama vile Gni na Gni per capita kupima hali ya uchumi. Sasa ukisema kuwa tumewazidi kwa Gdp tu na usahau kuwa tumewazidi hata kwenye Gni na Gni per capita basi utakuwa umekosea. Gdp na Gni per capita ni muhimu kwa wanauchumi na ndio inatumika na World Bank, Imf na UN kurank countries. Sasa mkitaka kutupita either mtupite katika Gdp yenyewe au mtupite katika Gni per capita (utajiri wa mwananchi mmoja), au vigezo vyote viwili. Lakini kwa sasa uchumi wa Kenya ni kubwa kushinda wenu (Gdp) na pia Mkenya mmoja ana utajiri kushinda Mtanzania mmoja (Gni per capita). Yaani haya ni statistics tu na haimaanishi kuwa kila Mkenya ana pesa kushinda kila Mtanzania ila on average based on the size of the economy vis a vis the population, basi Mkenya mmoja ana kipato cha juu kushinda Mtanzania. Kama una mfumo bora zaidi ya kupima kipato cha mwananchi mmoja kushinda Gni per capita basi andika article katika acadenic journal na World Bank wanaweza kuitumia wakiona ipo sawa. Ila kwa sasa tunatumia Gni per capita na hapa tumewashinda pia.
Umezungumza vizuri sana, sisi tunalinganisha vitu viwili tofauti kabisa. Kenya inaizidi Tanzania katika kipengele cha uchumi, wakati Tanzania inaizidi Kenya katika maendeleo.

Kuwa na uchumi mkubwa haina mana kuna maendeleo makubwa, huo uchumi lazima kuwepo na usimamizi ulio bora katika kuhakikisha raia wengi wanafaidika au kushiriki katika huo uchumi.

Uchumi wa Kenya hauleti maendeleo kulingana na ukubwa wa uchumi wake, hii ni kutokana na kwamba, serikali ya Kenya, haina nguvu na weledi wa kuhakikisha kwamba uchumi unatumika kulenda maendeleo ya wananchi, hii ni kutokana na kwamba "Private sector + Corruption" ndivyo vyenye kuamua aina ya maendeleo ya Kenya.

Maendeleo ni upatikanaji wa
1)Chakula
2)Malazi
3)Afya
4)Maji
5)Elimu
6)Amani na Usalama
7)Uhuru na Demokrasia
10) Miundombinu inayolenga kuongeza uzalishaji wa raia wa kawaida
11)Ajira.
12)Umeme

Kama uchumi wa nchi hauongezi au kuwezesha upatikanaji wa hayo, basi hiyo nchi haina maendeleo ya watu, hata kama uchumi in terms of GDP na GNI ni mkubwa.
 
Umezungumza vizuri sana, sisi tunalinganisha vitu viwili tofauti kabisa. Kenya inaizidi Tanzania katika kipengele cha uchumi, wakati Tanzania inaizidi Kenya katika maendeleo.

Kuwa na uchumi mkubwa haina mana kuna maendeleo makubwa, huo uchumi lazima kuwepo na usimamizi ulio bora katika kuhakikisha raia wengi wanafaidika au kushiriki katika huo uchumi.

Uchumi wa Kenya hauleti maendeleo kulingana na ukubwa wa uchumi wake, hii ni kutokana na kwamba, serikali ya Kenya, haina nguvu na weledi wa kuhakikisha kwamba uchumi unatumika kulenda maendeleo ya wananchi, hii ni kutokana na kwamba "Private sector + Corruption" ndivyo vyenye kuamua aina ya maendeleo ya Kenya.

Maendeleo ni upatikanaji wa
1)Chakula
2)Malazi
3)Afya
4)Maji
5)Elimu
6)Amani na Usalama
7)Uhuru na Demokrasia
10) Miundombinu inayolenga kuongeza uzalishaji wa raia wa kawaida
11)Ajira.
12)Umeme

Kama uchumi wa nchi hauongezi au kuwezesha upatikanaji wa hayo, basi hiyo nchi haina maendeleo ya watu, hata kama uchumi in terms of GDP na GNI ni mkubwa.
Basi kama Hutaki Gdp wala Gni per capita basi kuna kipengele kingine ambacho kinatumika sana na NGOs na UN ila hakijajikita sana katika mambo ya uchumi. Kipengele hiki kinaitwa Human development Index (HDI). Kinazingatia kila kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu ikiwemo level of education na health care. Sasa unataka tulinganishe level ya HDI ya Kenya na Tanzania ili tujue ni mwananchi mgani anaishi maisha bora zaidi?

Kama unataka hio battle sema.

Halafu pia unaweza kusoma kuhusu HDI hapa:
Human Development Index - Wikipedia
 
Kipangaspecial wacha kuchanganya utani na husda, utani na uhasidi, utani na hila, utani na udhalimu, utani na ubinafsi!

We angalia huyu Amina na Madam Ngozi waliptishwa wote na AU! Ila cha ajabu baada ya kupitishwa na AU kugombea kilichofuata zikaanza kashfa za uongo za kizandiki kwamba hatukuwapigia kura kwenye media yao mpaka kabudi akawajibu na Serikali yao ilikaa kimya! Hii ina maana gani?








GoK iliamini imeshaukwaa ukurugenzi WTO kutokana na kujisadikisha wako karibu zaidi na nchi za Magharibi na walikuwa wanaihofia influence ya Tanzania AU japokuwa tuliwaunga mkono! Na kwao kilichobaki ni shukrani za Punda kwa Tanzania hata baaada ya kuwaunga mkono tena kwenye Ujumbe wa muda wa Baraza la Umoja wa Mataifa, na kipindi hichohicho wakaenda mbali zaidi kuanzisha chokochoko za kumuondoa Mkurugenzi wa AfDB kwa kutumiwa na Trump!

EAC haikupigia kura kenya AU kwa vile makubaliano yalikuwa EAC i-support mgombea wa Uganda ila tamaa za majirani wakatuzunguka na kumuweka Amina! Ilichofanya Tanzania ni ku-abstain voting baada ya kuombwa na Uganda! Plain simple! saahii Uhuru anajipendekeza kwa JPM kujaribu ku-mend fences..na ndo maana kila akimpiga simu kwa JPM kesho yake anamwanika hadharani.

Aisee huu huwezi kuuita Utani hizi ni systematic hila za ku-deliberately breach bilateral relations! yaani ku-denigrate na ku-undermine a support by a good neighbor with genuine intentions on u but u react inapropriate as u habor sinister motives towards that neighbor! look at things like EPA Kenya went solo in disregard of EAC probably believing it might help their secret selfish cause (obvious sinister to the region and existence of EAC) or may be they already had WTO seat in mind!
Wakenya wamevuna walichokipanga kwa kweli ni ndumilakuwili wao EAC ndo hawaaminiki, I'm happy Magufuli anawanyoosha kweli kweli, kwanini wapokelewe simu baada ya hujuma za waziwazi
 
Back
Top Bottom