leyb
Senior Member
- Mar 23, 2013
- 111
- 64
Ni kama siku nne zimepita, ilikuwa jumanne this week usiku nilikunywa dawa za mafua za chenga chenga sijui trof zileee. Asubuhi niliamka ngozi inayofunika korodani imechubuka na niligundua baada ya kwenda bafuni kuoga. Sikujali nikajua labda boxer imenichubua.
Nimekaa siku 3 panazidi kuuma na mapaja yanakuwa na viupele vinawasha nikivikuna. Niliamua kwenda kufanya check up hospitali nikapimwa magonjwa ya zinaa nimeambiwa non reactive. Nikapewa ampiclox na panadol wakasema labda kuna mdudu kanitambaa.
Leo siku ya nne hali haibadiliki, nimekuja hapa kuomba msaada wa mawazo nifanyeje ili nipate uvumbuzi wa jambo hili.
Ahsanteni.
Nimekaa siku 3 panazidi kuuma na mapaja yanakuwa na viupele vinawasha nikivikuna. Niliamua kwenda kufanya check up hospitali nikapimwa magonjwa ya zinaa nimeambiwa non reactive. Nikapewa ampiclox na panadol wakasema labda kuna mdudu kanitambaa.
Leo siku ya nne hali haibadiliki, nimekuja hapa kuomba msaada wa mawazo nifanyeje ili nipate uvumbuzi wa jambo hili.
Ahsanteni.