Ngozi ya miguu yangu ni nyororo kuliko baadhi ya nyuso za watu

Mkuu kuosha kiungo kimoja kimoja unaoshaje.
Hebu anza kwa mtiririko na namna unaosha.

Na miguu kusugua unaingia na kigoda bafuni au inakuaje?
Yani kile kitendo cha kuinama bafuni tu huwa ni kero sasa unasuguaje miguu kila sikuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hii imenikumbusha bibi angu, alikua akiingia bafuni si chini ya masaa matatu anaoga tu....anakaa chini anaanza kujisugua hadi kucha😁.
 
Anti mambo
 
Miaka 40 bado unapiga nyeto bafuni na umeanza tangu ulipoanza kuoga mwenyew, vipi afya yako ya mwili haijadhorota sana?
Unapaswa kulambwa kisigino Bw.Mwigulu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…