Jaribu kuwatafuta wale jamaa wa ruvu wanao fuga samaki huwa wanatoa baadhi ya mafunzo kwenye ukurasa wao wa InstagramHakuna mwenye kujua kuhusu hili wakuu?
ruvu_fish_farm, wanatumia jina hilo ndugu jaribu kuwacheki.Wanatumia jina gani instagram
Lugha ya malikia nayo ni changamoto sana mkuuIngia google, tafuta nutritional content ya ngozi. Kisha soma kuhusu nuritional requirements za samaki kisha viwianishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
hongera mkuu ilo bwawa limegharimu bei gani?So far naona kambare wangu wanaendelea vizuri. Nawalisha ngozi za ngo'mbe kwa sana na dagaa mara moja moja sana
Imeweka uzio kuna kenge wa kutoshaView attachment 1392698
Hongera Mkuu umewezaje aise unaweza kutupa mawili matatu?So far naona kambare wangu wanaendelea vizuri. Nawalisha ngozi za ngo'mbe kwa sana na dagaa mara moja moja sana
Imeweka uzio kuna kenge wa kutoshaView attachment 1392698
Unaweza kutupa mwongozo inakuaje Mkuu mpaka unapata chakula cha kambale.Ngozi ya ng'ombe inafaa mkuu
Mkuu ninaomba msaada ngozi ya ngombe unaifanyaje mpaka kuwa chakula cha samaki.Ngozi ya ng'ombe inafaa mkuu
Mimi huwa nanunua ngozi naikata vipande vidogodogo na kuichemsha mpaka iive, then ikipoa nawatupia samaki.Mkuu ninaomba msaada ngozi ya ngombe unaifanyaje mpaka kuwa chakula cha samaki.
Samaki wanapendelea Sana hii kituMkuu ninaomba msaada ngozi ya ngombe unaifanyaje mpaka kuwa chakula cha samaki.
Asante sana Mkuu je ikiwa na manyoya au unayatoa kwanza kabla ya kuikata vipande vipande na unatumia muda gani kuichemsha.Mimi huwa nanunua ngozi naikata vipande vidogodogo na kuichemsha mpaka iive, then ikipoa nawatupia samaki.
Ikiwa na manyoya, na unaweza kuchemsha kwa saa moja na nusu au mbili.Asante sana Mkuu je ikiwa na manyoya au unayatoa kwanza kabla ya kuikata vipande vipande na unatumia muda gani kuichemsha.
Aise nashukuru sana kwa msaada je unaanza kuwalisha samaki wakiwa na umri gani yani kuanzia miezi mingapi?Samaki wanapendelea Sana hii kitu
Miezi miwili, sababu ngozi inakuwa laini.Aise nashukuru sana kwa msaada je unaanza kuwalisha samaki wakiwa na umri gani yani kuanzia miezi mingapi?