MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Nguli la mitandao ya kijamii Afrika na balozi wa salama kondom Tanzania ametua jijini Nairobi.
Baada ya kufika tu Nairobi ameshangazwa sana na tabia ya wakenya ya kumshobokea huku wengine wakimuuliza maswali ya kiwack eti "kwanini mtu mzima kama yeye anavaa minyororo shingoni".
Baada ya kukasirishwa na maswali hayo, balozi huyo alitumia ukurasa wake wa instagram na kuweka picha na kuandika maneno haya
.
https://www.instagram.com/lemutuz_nation/
lemutuz_nation Downtown Nairobi Shopping kwanza U know hahaha and Relaxing back at the Poolside of where I am staying at the Nairobi Intercontinental Hotel ...I mean to me this is what life is all about...kufanya kazi kwa Nguvu and then ku enjoy your hard work and kuweka AKIBA KIDOGO YA MBELE YA SAFARI YA MAISHA... U know and I lov it! ....halafu nimeshangaa WaKenya kumbe nao ni Washobokeaji wanashangaa sana mnyororo shingoni hahaha I am just Super Humbled to be here U know! - le Mutuz
Baada ya kufika tu Nairobi ameshangazwa sana na tabia ya wakenya ya kumshobokea huku wengine wakimuuliza maswali ya kiwack eti "kwanini mtu mzima kama yeye anavaa minyororo shingoni".
Baada ya kukasirishwa na maswali hayo, balozi huyo alitumia ukurasa wake wa instagram na kuweka picha na kuandika maneno haya
https://www.instagram.com/lemutuz_nation/
lemutuz_nation Downtown Nairobi Shopping kwanza U know hahaha and Relaxing back at the Poolside of where I am staying at the Nairobi Intercontinental Hotel ...I mean to me this is what life is all about...kufanya kazi kwa Nguvu and then ku enjoy your hard work and kuweka AKIBA KIDOGO YA MBELE YA SAFARI YA MAISHA... U know and I lov it! ....halafu nimeshangaa WaKenya kumbe nao ni Washobokeaji wanashangaa sana mnyororo shingoni hahaha I am just Super Humbled to be here U know! - le Mutuz