101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,057
- 2,221
Lazima tuwajulishe watoto wetu wasichana kuwa, katika maisha yao kuna nguo kuu nne za kuvaa.
Nazo ni:
1) Sare ya shule
2) Joho la Graduation
3) Gauni la Harusi
4) Maternity dress (Nguo ya mjamzito)
Hata hivyo, kama ukiruka ya kwanza, hutapata nafasi ya kuvaa ya pili
Na pia Usikimbilie kuvaa ya nne, eti kwa sababu mtu amekuahidi ya tatu.
Nazo ni:
1) Sare ya shule
2) Joho la Graduation
3) Gauni la Harusi
4) Maternity dress (Nguo ya mjamzito)
Hata hivyo, kama ukiruka ya kwanza, hutapata nafasi ya kuvaa ya pili
Na pia Usikimbilie kuvaa ya nne, eti kwa sababu mtu amekuahidi ya tatu.