Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

Sijaelewa mkuu. Aliyeelewa anisaidie. Au nina chuki binafsi?
Mimi nimeelewa ni stori inayomhusu kijana machachari aliyekuwa akimchalenji mfalme kuhusu elimu yake kwamba ni feki aliipata kwa kubebwa ndipo ikabidi kumpoteza na kazi hiyo ilifanywa na kagavana ka mji mkubwa wa hiyo nchi ambako kamekuwa kakianzisha kampeni mbali mbali za kumfurahisha mfalme lakini zinazokwama na kuleta taharuki mara kwa mara huko huko Islamabd Beiruti. Yaani ndio hivyo nilivyoelewa kuhusu mambo yaliiyomtokea huyo kamanda huko Beiruti. Yaani ndio kusema kamanda kijana ameRIP
 
Mimi nimeelewa ni stori inayomhusu kijana machachari aliyekuwa akimchalenji mfalme kuhusu elimu yake kwamba ni feki aliipata kwa kubebwa ndipo ikabidi kumpoteza na kazi hiyo ilifanywa na kagavana ka mji mkubwa wa hiyo nchi ambako kamekuwa kakianzisha kampeni mbali mbali za kumfurahisha mfalme lakini zinazokwama na kuleta taharuki mara kwa mara huko huko Islamabd Beiruti. Yaani ndio hivyo nilivyoelewa kuhusu mambo yaliiyomtokea huyo kamanda huko Beiruti. Yaani ndio kusema kamanda kijana ameRIP
Sure
 
Mimi nimeelewa ni stori inayomhusu kijana machachari aliyekuwa akimchalenji mfalme kuhusu elimu yake kwamba ni feki aliipata kwa kubebwa ndipo ikabidi kumpoteza na kazi hiyo ilifanywa na kagavana ka mji mkubwa wa hiyo nchi ambako kamekuwa kakianzisha kampeni mbali mbali za kumfurahisha mfalme lakini zinazokwama na kuleta taharuki mara kwa mara huko huko Islamabd Beiruti. Yaani ndio hivyo nilivyoelewa kuhusu mambo yaliiyomtokea huyo kamanda huko Beiruti. Yaani ndio kusema kamanda kijana ameRIP

Islamabad, Beirut? labda ni indrect way ya kiongelea Tz.
 
Aliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,

Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,

Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,

Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,

Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,

R.I.P kamandaa
Ndugu zangu naomba mjuwe Koso ila juwa kuna kikomo. Otherwise wengi mtakufa kwa sifa zakijinga.
 
Back
Top Bottom