britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #21
hao akina nani mkuu funguka tujueCcTumainiel na memba mmoja humu hakika watakuwa wanajua kilichompata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao akina nani mkuu funguka tujueCcTumainiel na memba mmoja humu hakika watakuwa wanajua kilichompata
Mimi nimeelewa ni stori inayomhusu kijana machachari aliyekuwa akimchalenji mfalme kuhusu elimu yake kwamba ni feki aliipata kwa kubebwa ndipo ikabidi kumpoteza na kazi hiyo ilifanywa na kagavana ka mji mkubwa wa hiyo nchi ambako kamekuwa kakianzisha kampeni mbali mbali za kumfurahisha mfalme lakini zinazokwama na kuleta taharuki mara kwa mara huko huko Islamabd Beiruti. Yaani ndio hivyo nilivyoelewa kuhusu mambo yaliiyomtokea huyo kamanda huko Beiruti. Yaani ndio kusema kamanda kijana ameRIPSijaelewa mkuu. Aliyeelewa anisaidie. Au nina chuki binafsi?
Utazika kilichomezwa??Kama wamemuua Ben si watupatie maiti yake tuizike?
SureMimi nimeelewa ni stori inayomhusu kijana machachari aliyekuwa akimchalenji mfalme kuhusu elimu yake kwamba ni feki aliipata kwa kubebwa ndipo ikabidi kumpoteza na kazi hiyo ilifanywa na kagavana ka mji mkubwa wa hiyo nchi ambako kamekuwa kakianzisha kampeni mbali mbali za kumfurahisha mfalme lakini zinazokwama na kuleta taharuki mara kwa mara huko huko Islamabd Beiruti. Yaani ndio hivyo nilivyoelewa kuhusu mambo yaliiyomtokea huyo kamanda huko Beiruti. Yaani ndio kusema kamanda kijana ameRIP
Mimi nimeelewa ni stori inayomhusu kijana machachari aliyekuwa akimchalenji mfalme kuhusu elimu yake kwamba ni feki aliipata kwa kubebwa ndipo ikabidi kumpoteza na kazi hiyo ilifanywa na kagavana ka mji mkubwa wa hiyo nchi ambako kamekuwa kakianzisha kampeni mbali mbali za kumfurahisha mfalme lakini zinazokwama na kuleta taharuki mara kwa mara huko huko Islamabd Beiruti. Yaani ndio hivyo nilivyoelewa kuhusu mambo yaliiyomtokea huyo kamanda huko Beiruti. Yaani ndio kusema kamanda kijana ameRIP
Haina haja kwa sbb hakuna kitakachofanyika. Cha msingi ufanyike msiba rasmi kuwa kijana kauawa basi.Inquest muhimu
Ndugu zangu naomba mjuwe Koso ila juwa kuna kikomo. Otherwise wengi mtakufa kwa sifa zakijinga.Aliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,
Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,
Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,
Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,
Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,
R.I.P kamandaa
Kwani amekosolewa nani?? Serikali ya Beirut itafikaje hapa nilipo??Ndugu zangu naomba mjuwe Koso ila juwa kuna kikomo. Otherwise wengi mtakufa kwa sifa zakijinga.
Kumbe wanaotaka sifa wanakufa??Ndugu zangu naomba mjuwe Koso ila juwa kuna kikomo. Otherwise wengi mtakufa kwa sifa zakijinga.
Amina..!Siamin na wala sitaki kuamin kama ben ameuwawa
eee mungu twakuomba kama dam ya ben iko ardhin bac kila aliehusika alipwe kadr utakavo
Kwanini Mkuu?britanicca unatuchanganya