My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Na ndo maana nimeahidi dau kubwaHuyu jamaa katumwa kuja kututoa kwenye reli!
Wanajua hamna kitu kigumu mbele ya pesa hivyo anatuhadaa ili tusiendelee kuchanga pesa za kufanya wasalitiane
Amini nawaambia, tukichanga hela zikawa nyingi lazima wasalitiane tu na kutajana
Utawala wa Beirut utaanguka kwa aibu na wote waliohusika kuua na kujaribu kuua lazima watakufa vifo vya mateso sana.Damu ikimwagika huwa inadai kisasi.....Mungu aturehemu
Bila shaka unachuki kama za jiweSijaelewa mkuu. Aliyeelewa anisaidie. Au nina chuki binafsi?
Makamanda waliobaka Tangazeni siku tuanue matanga yaishe tue delee na mapambano yakudai uhuru wa Beiruthakika mkuu hatunaye tena
Usitafute kumezwa na Chatu kijana!! Unachotakiwa ni kujilazimisha kutabasamu na kupiga makofi huku unashangilia.
Na huyu wakati ukifika tutamfanyia kitu mbaya sana ikiwa ni pamoja na kumtembeza uchi lile wowowo lake kama la Snura sawa sawa na livyo tembezwa Doe Liberia. DAB hastahili hurumaYes tunajua mkuu kilichotokea,Bashite has done many evils for the sake of his master,the Devil that occupies a big house along the sea
Damu ya Abel inaendelea kumlilia Mungu ikidai kisasi zidi ya Kaini. Haitanyamaza mpaka kizazi cha kaini kimefutika kabisa katika dunia hii.Aliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,
Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,
Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,
Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,
Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,
R.I.P kamandaa