Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

Samahani wadau,uzi huu kama inawezekana upandishwe juu ili uwekewe maelezo tena ya kina kidogo tu.Samahani lakini story imegusa moyo Sana
 
haya mambo yametokea Tanzania na kufanywa na watanzania?
 
Yes tunajua mkuu kilichotokea,Bashite has done many evils for the sake of his master,the Devil that occupies a big house along the sea
Na huyu wakati ukifika tutamfanyia kitu mbaya sana ikiwa ni pamoja na kumtembeza uchi lile wowowo lake kama la Snura sawa sawa na livyo tembezwa Doe Liberia. DAB hastahili huruma
 
Damu ya Abel inaendelea kumlilia Mungu ikidai kisasi zidi ya Kaini. Haitanyamaza mpaka kizazi cha kaini kimefutika kabisa katika dunia hii.
"The Book of Enoch"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…