Inapokuja kiongozi anaua raia, huyo hata kama angekuwa anagawa pesa kila siku kwa raia wake, kamwe hawezi kunishawishi kwa namna yoyote ile kuwa ni kiongozi. Huyo ni shetani.Utawala wa Beirut utaanguka kwa aibu na wote waliohusika kuua na kujaribu kuua lazima watakufa vifo vya mateso sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nguo na scaf zilionekana kwanini zisichuliwe zikapelekwa nje ya nchi kupima dna ili ukweli ujulikane
Nikumbushe hiyo kauliAliyejaaliwa aliwahi kutamka bila kujua ndani ya jumba la sheria kuwa Kijana hatunaye. Haraka alibadili kauli. Ni wachache waligundua alimaanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]pekeyake na chatuAliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,
Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,
Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,
Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,
Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,
R.I.P kamandaa
Hahahahah kweli aiseeeLeo umeamua kuja kivingine!! Wokovu wa imhotep unaweza kuzaa walokole wengi.
Nyie watu wabaya sana, mnaingia Makanisani huku mnanuka damu. Na hamtaki kutubuNdugu zangu naomba mjuwe Koso ila juwa kuna kikomo. Otherwise wengi mtakufa kwa sifa zakijinga.
Weastage of time provoking public feeling. Stupid Chadema, you only survive by feeding poison , this is public poisoning nothing more .
Na huyu wakati ukifika tutamfanyia kitu mbaya sana ikiwa ni pamoja na kumtembeza uchi lile wowowo lake kama la Snura sawa sawa na livyo tembezwa Doe Liberia. DAB hastahili huruma
We jamaa unakiburi na jeuli sana ...unapenda kutisha watu sana kwanini na wewe ni jiwe ?Ndugu zangu naomba mjuwe Koso ila juwa kuna kikomo. Otherwise wengi mtakufa kwa sifa zakijinga.
acha kufikiria ki[puuzu inaelekea ulikuwa unawapa shida sana walimu wako kwa ubongo wako uliojaa makamasiAcha kuuliza maswali ya kipuuzi, utampa shangazi yako apeleke huko nje ya nchi?poor thinking
Unlike you, mimi niko bright na ubongo wangu upo vizuri na jamii na wallimu wangu hawakuwahi kupata tabu kunifundisha kapimwe akili, kisha soma tena uliyoandika halafu uniambiae kama ni kitu ambacho kinawezekana kwa mfumo wetu tulionao sasa hivi kama nchi na utawala...nonesenseacha kufikiria ki[puuzu inaelekea ulikuwa unawapa shida sana walimu wako kwa ubongo wako uliojaa makamasi