Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut

Utawala wa Beirut utaanguka kwa aibu na wote waliohusika kuua na kujaribu kuua lazima watakufa vifo vya mateso sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inapokuja kiongozi anaua raia, huyo hata kama angekuwa anagawa pesa kila siku kwa raia wake, kamwe hawezi kunishawishi kwa namna yoyote ile kuwa ni kiongozi. Huyo ni shetani.

Shetani hata angekupa mazuri ya namna gani, huendelea kuwa ni shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]pekeyake na chatu

Jr[emoji769]
 
Huko
Makanisan wanaenda kulialia nini wakati hawajatubu dhambi hiyo? Ipo siku watakua machizi wataokota makopo na kutoa siri zote.
 
Weastage of time provoking public feeling. Stupid Chadema, you only survive by feeding poison , this is public poisoning nothing more .
 
Hili SWALA LA BEN SAANANE ni bonge la kosa na doa kubwa, lkn kwa sababu waliona wamefanikiwa wakaongeza lingine kwa LISU.
WATETEZI WA MAOVU HAYA akina tumainel wao waendelee tuna mwachia MUNGU asiyefichwa jambo na mwanadamu yeye anajua nini atawafanya na lazima wataulipa ubaya huu. Kwa maana neno la Mungu linasema auae kwa upanga ataanguka kwa huo. Mateso mauaji wafanyayo yatawakuta muda simrefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kufikiria ki[puuzu inaelekea ulikuwa unawapa shida sana walimu wako kwa ubongo wako uliojaa makamasi
Unlike you, mimi niko bright na ubongo wangu upo vizuri na jamii na wallimu wangu hawakuwahi kupata tabu kunifundisha kapimwe akili, kisha soma tena uliyoandika halafu uniambiae kama ni kitu ambacho kinawezekana kwa mfumo wetu tulionao sasa hivi kama nchi na utawala...nonesense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…