Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Uchafu ni kuvaa.unavaa chupi ya nini?Kuna uchafu furani siuwezi kabisa kuufanya ni kukaa na boxer siku mbili bila kuifua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchafu ni kuvaa.unavaa chupi ya nini?Kuna uchafu furani siuwezi kabisa kuufanya ni kukaa na boxer siku mbili bila kuifua
Huo muda wa kufatiliana hadi ukae vibaya unatoka wapLabda nikikaa vibaya mkaiona
Mkuu, nahisi utakuwa na "mguu wa mtoto" mbona huyo manzi anakimbia gemu chupi mkononi hapo kwenye avatar yako?[emoji87] [emoji87]Huo muda wa kufatiliana hadi ukae vibaya unatoka wap
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapna nina mkono wa mtoto mkuuMkuu, nahisi utakuwa na "mguu wa mtoto" mbona huyo manzi anakimbia gemu chupi mkononi hapo kwenye avatar yako?[emoji87] [emoji87]
[emoji125] [emoji125][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapna nina mkono wa mtoto mkuu
Km zipo nyingi, sawa kabisa haina neno. Hii ina wahusu walio nazo nne au tano tuInategemea unazo ngapi. Wengine wana 50+ akirudi a ni baada ya zaidi ya mwezi. Ninavhofahamu ni kuwa nguo yeyote inayovaliwa next to the skin inatakiwa kubadilishwa kila siku.
Pichu
Socks
Vest
Sidiria
Hata madhara ya ngozi piamkuu....madhara yake ni aibu tu?
Sasa unanunua brazia ilishavaliwa na mtu mwenye magonjwa ya ngozi, inakua nirahisi kuambukizwa piaBra za mtumba ni the best, za dukani hazikai vizuri, hazibani nyonyo, zinakua mama nibebe yani huku mgongoni inapanda juu, mikanda imelegea, mi siziwezi.
Boxer ukioga asubuhi, vaa safi, ukioga jioni vaa safiKuna uchafu furani siuwezi kabisa kuufanya ni kukaa na boxer siku mbili bila kuifua
Kwaiyo unaona ufahari au siyoMambo ya kubadilisha boxer kila siku tunawaachia wanaume wa daslam...sisi wa mikoani tunabadilisha baada ya wiki mbili
Inafuliwa vizuri, we hutumii mitumbaSasa unanunua brazia ilishavaliwa na mtu mwenye magonjwa ya ngozi, inakua nirahisi kuambukizwa pia
Mkuu, nguo ya ndani ndo hatari zaidi.Inafuliwa vizuri, we hutumii mitumba
Viatu? Ushawahi kupata magonjwa?
Mi binafsi sijawahi
Pichu = Chupi 😎Inategemea unazo ngapi. Wengine wana 50+ akirudi a ni baada ya zaidi ya mwezi. Ninavhofahamu ni kuwa nguo yeyote inayovaliwa next to the skin inatakiwa kubadilishwa kila siku.
Pichu
Socks
Vest
Sidiria
Hivi hizi nguo za ndani bado zaingia nchini!!?Mkuu, nguo ya ndani ndo hatari zaidi.
Kwaiyo chupi pia unanunua za mitumba?
Hii umeitoa wapi? nani aliwahi kufanya utafiti? Weka hapa methodology zake na findingsWakuu,
Kuna watu huwa wanatumia nguo za ndani kwa muda mrefu bila kununua mpya.
Kiafya, nguo ya ndani inabidi ivaliwe kwa miezi mitatu tu baada ya kuinunua, kisha itupwe au ichomwe moto.
Unapoitumia nguo ya ndani mwaka mzima kwanza ni aibu.
Vile vile nguo za ndani za mitumba siyo njema kuvaliwa. Hasa kina dada mnapenda sana kuvaa brazia za mitumba. Siyo nzuri kiafya na huweza kukuletea magonjwa ya ngozi.
Mjina Mrefu (M. M)
Hapana chupi sinunui ila bra siachiMkuu, nguo ya ndani ndo hatari zaidi.
Kwaiyo chupi pia unanunua za mitumba?