Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Asiye na uwezo afanyeje ?kinachotakiwa ni usafi wa hali ya juu , na uwe na za kutosha , hata mwaka inaonekana kama mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How are you, wish you a very happy and blessed weekendInategemea unazo ngapi. Wengine wana 50+ akirudi a ni baada ya zaidi ya mwezi. Ninavhofahamu ni kuwa nguo yeyote inayovaliwa next to the skin inatakiwa kubadilishwa kila siku.
Pichu
Socks
Vest
Sidiria
🙏How are you, wish you a very happy and blessed weekend
😂Too much talking about chupi and bra dick is hard now
Nina boxers 15. Kama unajua kujumlisha na kugawanya utajua kwa mwezi inavaliwa mara mbili, kwa miezi mitatu inavaliwa mara 6. Kwahio nitupe nguo baada ya kuivaa mara sita? Hapo sijazungumzia wenye underwear 50!Wakuu,
Kuna watu huwa wanatumia nguo za ndani kwa muda mrefu bila kununua mpya.
Kiafya, nguo ya ndani inabidi ivaliwe kwa miezi mitatu tu baada ya kuinunua, kisha itupwe au ichomwe moto.
Unapoitumia nguo ya ndani mwaka mzima kwanza ni aibu.
Vile vile nguo za ndani za mitumba siyo njema kuvaliwa. Hasa kina dada mnapenda sana kuvaa brazia za mitumba. Siyo nzuri kiafya na huweza kukuletea magonjwa ya ngozi.
Mjina Mrefu (M. M)
Za mitumba zilikuwa dukani kabla ya wewe kununua kama mtumba.Bra za mtumba ni the best, za dukani hazikai vizuri, hazibani nyonyo, zinakua mama nibebe yani huku mgongoni inapanda juu, mikanda imelegea, mi siziwezi.
Km unazo nyingi. SawaNina boxers 15. Kama unajua kujumlisha na kugawanya utajua kwa mwezi inavaliwa mara mbili, kwa miezi mitatu inavaliwa mara 6. Kwahio nitupe nguo baada ya kuivaa mara sita? Hapo sijazungumzia wenye underwear 50!
Yeye mwenyewe aliyeandika ana boxer ina 4yrsWatu tunatumia £30 kununua bra moja Marks and Spenser halafu unatwambia tutupe baada ya/// Zile Bra na chupi kama ni mtunzaji hata miaka 10 unavaa. Wewe ungewaambia wavaa mitumba lakini siwezi kwenda M&S ninunue chupi halafu nitupe!!!!! Sisemi zaidi.
Chupi nivae miezi 3 kisha niitupe?Wakuu,
Kuna watu huwa wanatumia nguo za ndani kwa muda mrefu bila kununua mpya.
Kiafya, nguo ya ndani inabidi ivaliwe kwa miezi mitatu tu baada ya kuinunua, kisha itupwe au ichomwe moto.
Unapoitumia nguo ya ndani mwaka mzima kwanza ni aibu.
Vile vile nguo za ndani za mitumba siyo njema kuvaliwa. Hasa kina dada mnapenda sana kuvaa brazia za mitumba. Siyo nzuri kiafya na huweza kukuletea magonjwa ya ngozi.
Mjina Mrefu (M. M)
Mimi kubadili socks ni mpaka dole gumba liniambie.Inategemea unazo ngapi. Wengine wana 50+ akirudi a ni baada ya zaidi ya mwezi. Ninavhofahamu ni kuwa nguo yeyote inayovaliwa next to the skin inatakiwa kubadilishwa kila siku.
Pichu
Socks
Vest
Sidiria