miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
ha haha bora viwanda vyetu vipate watejaUchoko huo kuvaa nguo za kipuuzi hizo, siku hizi hata jeans za kishoga tu ndio zimejaa madukani humo. Hadi cadet nazo et zinavutika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha haha bora viwanda vyetu vipate watejaUchoko huo kuvaa nguo za kipuuzi hizo, siku hizi hata jeans za kishoga tu ndio zimejaa madukani humo. Hadi cadet nazo et zinavutika
ha haha yule wajana nilimuangalia pale itv sikummaliza sababu yani kabinuka .. hadi nikatamani nimbadilishe flat yangu anipe ule mbinukoHahahahah, ubaya mi sio mzururaji yani af sivaagi ushenzi wowote tu toka kariakoo
hahahahahahahahaha unanichekesha ujue najengea pichaaibu sana halafu ukute nimfupi ha hah aha
mkuu ni ushoga tu na hawa wanamuziki wetu ndio nao wanacopy full sijui kama watoto watapona icUchoko huo kuvaa nguo za kipuuzi hizo, siku hizi hata jeans za kishoga tu ndio zimejaa madukani humo. Hadi cadet nazo et zinavutika
Hahahah ungemuomba tu mfanye chenji kota...ha haha yule wajana nilimuangalia pale itv sikummaliza sababu yani kabinuka .. hadi nikatamani nimbadilishe flat yangu anipe ule mbinuko
sina kitambi ila bado sana kuvaa nguo tight mkuu inakua hakuna tofauti na mke wanguKama una kitambi kama cha Mpoki wewe kashone tu Kaunda Suti.Hizo nguo waachie vijana.Muda wako umepita!
yani materials za nguo za kiume zimekua sawasawa na zakike saizi hakuna kuumiza kichwaUchoko huo kuvaa nguo za kipuuzi hizo, siku hizi hata jeans za kishoga tu ndio zimejaa madukani humo. Hadi cadet nazo et zinavutika
na nilivyo yani ningekuwa mcharo balaaHahahah ungemuomba tu mfanye chenji kota...
Mi nakula oldies, vijana wananisema et napiga bwanga ila ndio kali zangu hizo. Usenge wa kuvaa visuruali vyenye flaizi fupi kama kidole siuwezi, umebanwa mwili mzima kama umetundikwa bhana hapana.mkuu ni ushoga tu na hawa wanamuziki wetu ndio nao wanacopy full sijui kama watoto watapona ic
Na kama watu tusipomtafuta kumjua Yesu,kupotea ni lazima,maana katika kitabu cha daniel 12,neno lasema wakati wa mwisho maarifa yataongezeka ambayo ndo kma hayo ya kutengeneza nguo za kamatia chini,ukiuliza wanadai wanaenda na wakati!!!*Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.
Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana miguu eti wanasema kamatia chini.
Ukija kwenye Tshirts ndio kabisa zinabana mwili na ziko juu juu kama top za kike, mashirt nayo hali kadhalika eti wanaita modal ila nimekuja kujua asilimia kubwa ya designer wa nguo a kiume ni mashoga na wanaweka trend zao na watu wanavaa wengine kwa kujua na wengine kwa kuto kujua.
Suit zinazoshonwa siku hizi Tanzania suruali unakuta fupi au suit na pensi, ili tu ionekane kike ndio fashion.
Nadhani tunakoelekea sisi wazee wa busara tutakosa nguo kabisa huko madukani huu ni mfano tu wa nguo hizo.
Kama una picha za nguo hizo weka hapa wadau waziepuke kwani ndio tunafundisha watoto wetu kwa muonekano wetu.
View attachment 573126
Aibu sana, yani niingie shop ninunue bana nyoro? Ah wapi!yani materials za nguo za kiume zimekua sawasawa na zakike saizi hakuna kuumiza kichwa
hhahahahahahahahahah![]()
Si bora tuvae hivo[emoji115] [emoji115] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
Na hiki ndio haswa nilichokutana nacho dukani juzi kati..ubaya niliipenda cadet kuivaa ikawa hivyo...Usipo vaa hivi utaonekana mshamba... Ila hizi style hapana aisee duh...![]()
![]()
![]()