Nguo za kiume za siku hizi zina viashiria vya ushoga

Nguo za kiume za siku hizi zina viashiria vya ushoga

Ivi jamani wapi nitapata tshirt zile zenye mabaka ya kijeshi kwa dar
 
aibu sana halafu ukute nimfupi ha hah aha
Ha ha ha ha hata ukiwa tall kama kainye kapo utatingisha tu kama mkuu wa kamkoa kenye matangazo mEngi ya waganga wanaotibu upungufu wa nguvu kiume.naye kapo na anatinganga tumodo basi huku nyuma ni bugili bugili bugile
 
ahahah tunakoelekea ni kwamba kila mtu awe fundi make nguo izo ndi zimejaa madukani ni bora zipigwe marufuku
 
Shetani kazini. Alianza kuingia kwenye Rap huko US akiwafanya marapa wa siku hizi kuvaa nguo zinazoshabihiana kikike kike. Sababu vijana wa dunia ya 3 watageza tu kama.kawaida yao but watafunikwa na maneno kwamba ndio "kwenda na wakati aka fashion"
Ndio maana akina lil wayne wakaja na visuruali vya kubana mwili hasa matako ....vijana wetu wakageza
Now kuna marapa kama Young Thug anavaa hadi magauni and soon ndugu zetu watageza na now kuna fulana sijui singlend zile hata hazieleweki kama ni blauz au la!
Yote haya ni kupromote Ushoga dunia ya 3
 
ndo ivyo vjana wa dunia ya tatu tunaishi maisha ya kuigiza tu akienda south afrika akaona fashin flani nae anavaa najua mashiga ndo wanavaa eleni (vipusa) uko marekani lakin uku kila mwanamuziki ni eleni da
 
Ukiona una kitabia cha kuangalia makalio ya mwanaume mwenzio ujue unaelekea kuanza zalisha kisamvu ,



Cha msingi ww jiangalie fanya mitikasi yako basi

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
0f123e975753315c68ad90fdb7213257.jpg

Si bora tuvae hivo[emoji115] [emoji115] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu umenifanya nicheke peke yangu kama mwehu aisee [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mkuu umenifanya nicheke peke yangu kama mwehu aisee [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkuu si tunarudia kuvaa mavazi ya enzi za Adam na Hawa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Maduka yetu wazee wa busara yanajulikana yalipo...uliza tukwambie
 
Mkuu si tunarudia kuvaa mavazi ya enzi za Adam na Hawa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] duh aisee naingiza akilini hiyo picha naishia kupata taswira ya kucheka tu
 
Back
Top Bottom