Nguo za kiume za siku hizi zina viashiria vya ushoga

Nguo za kiume za siku hizi zina viashiria vya ushoga

Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.

Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana miguu eti wanasema kamatia chini.

Ukija kwenye Tshirts ndio kabisa zinabana mwili na ziko juu juu kama top za kike, mashirt nayo hali kadhalika eti wanaita modal ila nimekuja kujua asilimia kubwa ya designer wa nguo a kiume ni mashoga na wanaweka trend zao na watu wanavaa wengine kwa kujua na wengine kwa kuto kujua.

Suit zinazoshonwa siku hizi Tanzania suruali unakuta fupi au suit na pensi, ili tu ionekane kike ndio fashion.

Nadhani tunakoelekea sisi wazee wa busara tutakosa nguo kabisa huko madukani huu ni mfano tu wa nguo hizo.

Kama una picha za nguo hizo weka hapa wadau waziepuke kwani ndio tunafundisha watoto wetu kwa muonekano wetu.


View attachment 573126
Vyuo vikuu vya Kimagharibi navyo vinachochea sana ushoga maana mtu akihitimu anavalishwa gauni...
 
4b763de4c53b2d286b5ef467fe3aa25b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaishi nyakati za hatari Sana!
Tumrejee Mungu

sent from servant of God
 
Wallet zao siku hizi zina business cards tuu. Twende mbele turudi nyuma wazee wako na chapaa ndefu kuliko vijana. Na wazee wanawazidi vijana sanaaa hata kwenye nguvu za kiume.

This is very true. Nilikua kwenye kitu kimoja cha kuziba Pancha nikawa nafanya tafiti ya wanaokwenda kuziba Pancha yaan ktk kituo kimoja vijana wa kiume 20 waliokuja 6 kati yao wanahitaj huduma ya kupigwa jeki.na hao ni kati ya miaka 25-40

Wakati watu wazima wa kuanzia miaka 45-60 kati ya sampuli 50 ni mmoja tu alihitaj kupigwa jeki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ss unashangilia au unashauri?! Kuna tatizo kwenye kupigwa jeki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nalo ni janga lingine, afadhali Uganda wenzetu wameanza kushughulika nalo mapema.
 
Inabidi tujue na masuala ya wanaume kuvaa vyupi, kyupis. Huwa napata hisia kuna walakini ndani yke.
 
Kwa mwanaume anayejitambua ni lazima awe na mipaka hasa katika staili za mavazi. Ukiona mwanaume anavaa kila aina/staili ya nguo inayoingizwa sokoni jua hapo pana shida.
Mfano mimi vile visuruali vinavyobana chini nilishasema sivivai hata iweje...
Ni muhimu kuwa na mipaka katika mambo mbalimbali.

Watu wengi wasichokijua ni kuwa aina ya mavazi unayovaa inaweza kufanya jamii ikakupa 'identity' hii au ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha haha yule wajana nilimuangalia pale itv sikummaliza sababu yani kabinuka .. hadi nikatamani nimbadilishe flat yangu anipe ule mbinuko
Aisee siku hizi vijana wa kiume wana changamoto sana, unaweza kukuta huo mbinuko wake unatumiwa na watu,Kama wewe mdada ulimtizama kwa jicho la tofauti maana yake kuna wanaomuangalia kwa tamaa mbaya, si ajabu na yeye amevaa kama utambulisho au kivutio.
 
Siyo nguao tu hata maumbile ya vijana wengi wa kiume miaka hii ni ya kike,unakuta mkaka anatako hips paja lainiiiiii,hadi vimistari nyuma ya goti,km nanii alivyo duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.

Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana miguu eti wanasema kamatia chini.

Ukija kwenye Tshirts ndio kabisa zinabana mwili na ziko juu juu kama top za kike, mashirt nayo hali kadhalika eti wanaita modal ila nimekuja kujua asilimia kubwa ya designer wa nguo a kiume ni mashoga na wanaweka trend zao na watu wanavaa wengine kwa kujua na wengine kwa kuto kujua.

Suit zinazoshonwa siku hizi Tanzania suruali unakuta fupi au suit na pensi, ili tu ionekane kike ndio fashion.

Nadhani tunakoelekea sisi wazee wa busara tutakosa nguo kabisa huko madukani huu ni mfano tu wa nguo hizo.

Kama una picha za nguo hizo weka hapa wadau waziepuke kwani ndio tunafundisha watoto wetu kwa muonekano wetu.


View attachment 573126
Nakubaliana na wewe kwa100%.
Nilikia naangalia raba simple za kiume kwa jinsi zilivyochongoka kama za Kike. Nilikua napata shida sana.

Fani ya umodel na udizaina imevamiwa na Mashoga wengi sana. So sad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom