Nguo za kiume za siku hizi zina viashiria vya ushoga

Nguo za kiume za siku hizi zina viashiria vya ushoga

Miaka 50 ijayo hakutakuwa na nguo ya kike wala ya kiume. Maduka yatakuwa ni unisex..teh teh wanaume bwana!
Nimekuelewa sana Dada...
Comment of the day...
Huwa nawaza sana baada ya miaka100 dunia itakuaje....kma leo ni maruweruwe hv
 
Lazima wizara inayohusika ifanye kazi yake ya kulinda tamaduni zetu za Kitanzania. kama wao wenyewe watoto wao wanavaa hovyo na wanaona sawa hiyo ni shida!
Nakumbuka wakati wa Hayati Mwalimu ilikuwa anayevaa nguo isiyofaa anasaidiwa kuwa uchi kwa kiwembe!
Rais Obama katika ziara yake nchini Ghana, Accra mwaka 2009 alisema kuwa "Tatizo kubwa la nchi zetu za Afrika lipo katika Taasisi". Maendeleo ya Afrika yanaanza kukwama Ofisini.

Sipo mbali naye sana. Nilimuunga mkono. Kwanini, kwasababu tuna Wizara hewa kibao, tuna Ofisi za X-Y Consultant, Jamii kama taasisi na kadhalika. Ni uzembe! uzembe! uzembe. Hakuna anayeguswa na u-sisi hata kidogo. Sana sana tunaendeleza falsafa ya kila mtu na lwake.

Ukiwaona viongozi wa kifrika katika picha ya pamoja utashangaa sana. Ukikata vichwa vyao na kuulizwa "Hawa ni watu wa Taifa gani"?, bila shaka huwezi kudhania kuwa ni Mwafrika. Yaani hatuguswi kabisa kuutangaza utamaduni wetu kupitia mavazi. Rais Ghadaffi (R.I.P) ambaye nasaba zake zilikuwa karibu na waarabu alikuwa akitangaza utamaduni wa Afrika kupitia mavazi kuliko sie weusi. Tatizo ni nini?, Utumwa Mamboleo.

Ipo haja ya Jamii nzima ya Watanzania kukaa chini na kuja na Objective truth ya jinsi ya kuondokana na Utumwa huu. Tumekosa Utamaduni uhuru kabisa. Tunavaa ujinga halafu tunajiona sahihi.

Haiwezekani kila mtu akawa mjenzi wa maadili katika Jamii. Sote tukae chini na tuje na Majibu ya jinsi jamii ya Kitanzania inapaswa kuwa. Kuwaachia wanasaisa hili suala si sahihi hata kidogo.

Mbona Korea kaskazini wameweza?, mbona China wameweza?. Canada na kadhalika?.

Hekima Ni uhuru.
 
Nimekuelewa sana Dada...
Comment of the day...
Huwa nawaza sana baada ya miaka100 dunia itakuaje....kma leo ni maruweruwe hv
Ni hatari. Namuomba Mungu aniweke miaka 100 ijayo ili nishuhudie vituko vya dunia hii, mavazi, technology etc
 
Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.

Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana miguu eti wanasema kamatia chini.

Ukija kwenye Tshirts ndio kabisa zinabana mwili na ziko juu juu kama top za kike, mashirt nayo hali kadhalika eti wanaita modal ila nimekuja kujua asilimia kubwa ya designer wa nguo a kiume ni mashoga na wanaweka trend zao na watu wanavaa wengine kwa kujua na wengine kwa kuto kujua.

Suit zinazoshonwa siku hizi Tanzania suruali unakuta fupi au suit na pensi, ili tu ionekane kike ndio fashion.

Nadhani tunakoelekea sisi wazee wa busara tutakosa nguo kabisa huko madukani huu ni mfano tu wa nguo hizo.

Kama una picha za nguo hizo weka hapa wadau waziepuke kwani ndio tunafundisha watoto wetu kwa muonekano wetu.


View attachment 573126
Ni shida sana madukani siku hizi kupata nguo. kuna wakati nilitoa pesa ya kutosha kununua nguo, jeans, kadet, na za vitambaa. Niliambulia za vitambaa kidogo zinavalika. Jeans na Kadet zote kata K ^_^
 
Kwasasa siwezi kufanya utafiti rasmi kutokana shughuli zangu itaniwia vigumu
Nimekuelewa.
Pia sina interest sana na mambo ya research
Nimekuelewa.
labda nipate elimu kidogo
Elimu tena wakati umesema huwezi kufanya tafiti rasmi?. Sijakuelewa.
Nawaachia watu wa academics maana wapo kwenye position nzuri
Siyo mpaka uwe kwenye ulikopaita academics ndipo ufanye tafiti rasmi. Kumradhi.
Kweli hakutakuwa na nguo ya kike au ya kiume tutakuwa tunavaa yoyote
Una ushahidi wa uyaseamayo?. Kwa kweli ndiyo kitu gani?. Naomba huo ukweli.
 
Rais Obama katika ziara yake nchini Ghana, Accra mwaka 2009 alisema kuwa "Tatizo kubwa la nchi zetu za Afrika lipo katika Taasisi". Maendeleo ya Afrika yanaanza kukwama Ofisini.

Sipo mbali naye sana. Nilimuunga mkono. Kwanini, kwasababu tuna Wizara hewa kibao, tuna Ofisi za X-Y Consultant, Jamii kama taasisi na kadhalika. Ni uzembe! uzembe! uzembe. Hakuna anayeguswa na u-sisi hata kidogo. Sana sana tunaendeleza falsafa ya kila mtu na lwake.

Ukiwaona viongozi wa kifrika katika picha ya pamoja utashangaa sana. Ukikata vichwa vyao na kuulizwa "Hawa ni watu wa Taifa gani"?, bila shaka huwezi kudhania kuwa ni Mwafrika. Yaani hatuguswi kabisa kuutangaza utamaduni wetu kupitia mavazi. Rais Ghadaffi (R.I.P) ambaye nasaba zake zilikuwa karibu na waarabu alikuwa akitangaza utamaduni wa Afrika kupitia mavazi kuliko sie weusi. Tatizo ni nini?, Utumwa Mamboleo.

Ipo haja ya Jamii nzima ya Watanzania kukaa chini na kuja na Objective truth ya jinsi ya kuondokana na Utumwa huu. Tumekosa Utamaduni uhuru kabisa. Tunavaa ujinga halafu tunajiona sahihi.

Haiwezekani kila mtu akawa mjenzi wa maadili katika Jamii. Sote tukae chini na tuje na Majibu ya jinsi jamii ya Kitanzania inapaswa kuwa. Kuwaachia wanasaisa hili suala si sahihi hata kidogo.

Mbona Korea kaskazini wameweza?, mbona China wameweza?. Canada na kadhalika?.

Hekima Ni uhuru.
I concur with you chief, mabadiliko yoyote huanza kwa mtu mmoja mmoja. Inabidi wahenga wenzangu tuungane ili kukomesha hili la mavazi yasiyo taswirisha tamaduni zetu.

Sio mtu ni muhenga wala sio "mhenga", unakuta nae kavaa kata nini sijui. Tuvae kuonyesha mfano kwa vijana ambao ni wazazi wa kesho.
 
Nimekuelewa.

Nimekuelewa.

Elimu tena wakati umesema huwezi kufanya tafiti rasmi?. Sijakuelewa.

Siyo mpaka uwe kwenye ulikopaita academics ndipo ufanye tafiti rasmi. Kumradhi.

Una ushahidi wa uyaseamayo?. Kwa kweli ndiyo kitu gani?. Naomba huo ukweli.
Duh umeniganda na maswali...naomba poo! Ha haa... Huo ni mtazamo wangu tu mkuu kwa jinsi ninavyoona hali ilivyo.
Nimesema watu wa academics wafanye coz mara nyingi reseach nyingi hufanywa na wao.
Mimi sina ujuzi mzuri wa hayo mambo ndo maana nikasema itabidi nipate elimu nzuri zaidi ili kukamilisha research. Na kwasasa sifanyi kitu kama hakina faida labda niambiwe nitalipwa kufanya research.
Kwa ufupi sina utaalamu wa research za makaratasi. Kuna swali lingine mpendwa?
 
images-jpg.573126


Usemayo ni kweli sasa mwanaume rijali anavaa hivi ndo nini nmaana yake?!
Nikivaa kama huyo jamaa kwa picha hata nje sitoki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.

Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana miguu eti wanasema kamatia chini.

Ukija kwenye Tshirts ndio kabisa zinabana mwili na ziko juu juu kama top za kike, mashirt nayo hali kadhalika eti wanaita modal ila nimekuja kujua asilimia kubwa ya designer wa nguo a kiume ni mashoga na wanaweka trend zao na watu wanavaa wengine kwa kujua na wengine kwa kuto kujua.

Suit zinazoshonwa siku hizi Tanzania suruali unakuta fupi au suit na pensi, ili tu ionekane kike ndio fashion.

Nadhani tunakoelekea sisi wazee wa busara tutakosa nguo kabisa huko madukani huu ni mfano tu wa nguo hizo.

Kama una picha za nguo hizo weka hapa wadau waziepuke kwani ndio tunafundisha watoto wetu kwa muonekano wetu.


View attachment 573126
Mkuu umenena, hivi inakuwaje Mwanamume uvae nguo inayobana makalio kama ke?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usharobaro wa Kisenge tuu kuna siku nilienda kariakoo na mchiz wang nikaona jamaa anachagua kijinz kdogoo nikamuuliza oyaa hyo jinz unamchukulia Mtoto au Akaniambia ya kwake nilichoka kubabaake... nguo kuvua mpaka ukae ktandaniii..#&☆♤*&#

Sent using Jamii Forums mobile app
wanatia ukakasi hawa machok.....
 
Back
Top Bottom