Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Hapana,mi naharaka ya kupeleka mchango kikobaHahaaaaaa, unakuwa na haraka ya Nini Sasa. Taratibu ndipo tutafurahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,mi naharaka ya kupeleka mchango kikobaHahaaaaaa, unakuwa na haraka ya Nini Sasa. Taratibu ndipo tutafurahi
Watu tunavaa hadi jezi ya simba mkuuKuvaa dela ni sawa na kuvaa soksi za kitenge; ingawa zote ni soksi
Kukunwa kwio"Nikune ninapo washwa"
Tunaovaa kitenge wax tucomment wapi
Hahaaaaaa. Vijana mnafaidimfano wa manz anayekwambia nimeshapanda nishukie wapi
Hatari Sana.Hapana,mi naharaka ya kupeleka mchango kikoba
Fanya mambo kwa kweliNgoja nifungue thread yangu uje ucomment
Maandalizi huanzia mbali sana na sio kwa vazi tu wakati wa kulala,saikolojia inajengwa kuanzia mbali sana,mfano kutoka out,wakati wa kupata Dinner,maongezi mazuri...Hela itatumika kununua hilo vazi
Inabidi kuhudhuria mafunzo ya unyagoWatu tunavaa hadi jezi ya simba mkuu
Mkwe wewe wa kunipigia ramli chonganishi kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtaachwa
Night dress nzuri...Niache shem [emoji3]
Sema wewe ndo unavutiwa. Huyu mwenzako hataki kuona umevaa nguo kitandani hata iwe winterNight dress nzuri...
Unalala mtu unaona morphology ya mwanamke !
You see the beauty of a woman!
Mnatuvutia sana mkiwa dressed!
Swadakta, wale vimbaumbau vaeni hata vibikini au mjwe chukuchuku huwa mnanoga zaidi[emoji23][emoji1787]Inategemeana na umbo la muhusika lakini.
Tunasubiri maoni yakoHabari za asubuhi.mmefikia wap?