Nguo za kulalia zinazovutia 'Night Dresses' hunogesha mahusiano

Nguo za kulalia zinazovutia 'Night Dresses' hunogesha mahusiano

Tunakuwaga watulivu Kwa muda. Kuna za bahati mbaya Mara moja halafu tunarudi home kama hakijatokea kitu.
Mimi nilisharuhusu mtu afanye analotaka, chochote kinachompendeza afanye..sitatumia nguvu nyingi kumfurahisha mtu ambaye yeye hana mpango wa kunifurahisha..nitaishi kawaida na kufanya mambo kawaida bila kujistresisha. Kama dera linamkera akaniletee night dress nzuri...
Maamuzi ni yake.
Na kama nitatafuta night dress nzuri basi ni kwaajili yangu nijisikie vizuri lkn si kwaajili ya mtu mwingine.
Binadamu haridhiki ya nini kujichosha.
Hivyo ndivyo ninavyoishi na maisha yanasonga.
Wapo wanaojikwatua lkn kutwa kulia. I won't do that
 
Mimi nilisharuhusu mtu afanye analotaka, chochote kinachompendeza afanye..sitatumia nguvu nyingi kumfurahisha mtu ambaye yeye hana mpango wa kunifurahisha..nitaishi kawaida na kufanya mambo kawaida bila kujistresisha. Kama dera linamkera akaniletee night dress nzuri...
Maamuzi ni yake.
Na kama nitatafuta night dress nzuri basi ni kwaajili yangu nijisikie vizuri lkn si kwaajili ya mtu mwingine.
Binadamu haridhiki ya nini kujichosha.
Hivyo ndivyo ninavyoishi na maisha yanasonga.
Wapo wanaojikwatua lkn kutwa kulia. I won't do that
Ndoa ishakushinda ww
 
Wanawake huwa ndio wapiga kelele ndani, wanaume wanaopiga kelele ndani ni wa mkoa gani?
 
Kuvaa vazi la kulalia hasa kwa mwanamke, umuwezesha mwanaume aliyenaye chumbani kutokumchoka.

Mwanamke anayevaa vazi la kulalia (night dress), humuongezea thamani katika mahusiano yake. Kuvaa vazi hilo, lenye kuchora umbo la mvaaji, lenye matirio ya kuteleza, na liwe na rangi nzuri ya ushawishi; umchochea mwanaume kuendelea kumtamani mwanamke husika, pamoja na kuimarisha nguvu za kibaba.

Pia, hupunguza migogoro isiyokuwa ya lazima katika mahusiano. Kwa sababu, mwanaume akiliona tu hilo vazi namna lilivyositiri mwili wampenzi wake, anakuwa hana nguvu za kupiga makelele. kwa sababu, ubongo unakuwa umevurugwa.

Kuvaa vazi hilo usiku lina taratibu zake; hutakiwi kuwa na nguo nyingine kwenye mwili wako zaidi ya hilo vazi tu, na pia hilo vazi halipigwi pasi.

Ule utaratibu wa kutumia kanga au kitenge kama mbadala kwa nguo za kulalia usiku, tunatakiwa tuachane nao, ili kuboresha mahusiano katika uchumba, ndoa, pamoja na kuzeeka pamoja.

Usipofanya hivyo, jiandae kwa kuachika.
Picha iko wapi
 
Back
Top Bottom