Ah wee hujapata mwanaume mwenye hofu na mungu ndio maana. Ukimpata anatulia na weye tulii. Ila ndio hivyo tena style ni moja tuu.....Hata mfanyweje mtacheat. Aendelee tu hata wasiwasi sina mpendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wee hujapata mwanaume mwenye hofu na mungu ndio maana. Ukimpata anatulia na weye tulii. Ila ndio hivyo tena style ni moja tuu.....Hata mfanyweje mtacheat. Aendelee tu hata wasiwasi sina mpendwa
Usiwe sababuHata mfanyweje mtacheat. Aendelee tu hata wasiwasi sina mpendwa
Mnakosaga sababu?Usiwe sababu
Tunakuwaga watulivu Kwa muda. Kuna za bahati mbaya Mara moja halafu tunarudi home kama hakijatokea kitu.Mnakosaga sababu?
Mimi nilisharuhusu mtu afanye analotaka, chochote kinachompendeza afanye..sitatumia nguvu nyingi kumfurahisha mtu ambaye yeye hana mpango wa kunifurahisha..nitaishi kawaida na kufanya mambo kawaida bila kujistresisha. Kama dera linamkera akaniletee night dress nzuri...Tunakuwaga watulivu Kwa muda. Kuna za bahati mbaya Mara moja halafu tunarudi home kama hakijatokea kitu.
Ndoa ishakushinda wwMimi nilisharuhusu mtu afanye analotaka, chochote kinachompendeza afanye..sitatumia nguvu nyingi kumfurahisha mtu ambaye yeye hana mpango wa kunifurahisha..nitaishi kawaida na kufanya mambo kawaida bila kujistresisha. Kama dera linamkera akaniletee night dress nzuri...
Maamuzi ni yake.
Na kama nitatafuta night dress nzuri basi ni kwaajili yangu nijisikie vizuri lkn si kwaajili ya mtu mwingine.
Binadamu haridhiki ya nini kujichosha.
Hivyo ndivyo ninavyoishi na maisha yanasonga.
Wapo wanaojikwatua lkn kutwa kulia. I won't do that
Njoo uolewe mke wa piliNdoa ishakushinda ww
[emoji44][emoji44][emoji44]Njoo uolewe mke wa pili
😂Udhungu Udhungu tuu Umewajaa!
Hivi mshaona mtu aliyetoka na Kanga Bafuni Nyiee.....
Hivyo Vidude Mnavyotaja hapo ni kwa Vimbaumbau Tu.
View attachment 2170866
Picha iko wapiKuvaa vazi la kulalia hasa kwa mwanamke, umuwezesha mwanaume aliyenaye chumbani kutokumchoka.
Mwanamke anayevaa vazi la kulalia (night dress), humuongezea thamani katika mahusiano yake. Kuvaa vazi hilo, lenye kuchora umbo la mvaaji, lenye matirio ya kuteleza, na liwe na rangi nzuri ya ushawishi; umchochea mwanaume kuendelea kumtamani mwanamke husika, pamoja na kuimarisha nguvu za kibaba.
Pia, hupunguza migogoro isiyokuwa ya lazima katika mahusiano. Kwa sababu, mwanaume akiliona tu hilo vazi namna lilivyositiri mwili wampenzi wake, anakuwa hana nguvu za kupiga makelele. kwa sababu, ubongo unakuwa umevurugwa.
Kuvaa vazi hilo usiku lina taratibu zake; hutakiwi kuwa na nguo nyingine kwenye mwili wako zaidi ya hilo vazi tu, na pia hilo vazi halipigwi pasi.
Ule utaratibu wa kutumia kanga au kitenge kama mbadala kwa nguo za kulalia usiku, tunatakiwa tuachane nao, ili kuboresha mahusiano katika uchumba, ndoa, pamoja na kuzeeka pamoja.
Usipofanya hivyo, jiandae kwa kuachika.