Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #121
Kumuhudumia mtoto wa kwanza ni muhimu (mr)Ngoja leo nikazifukue zilipo , ulezi unatutoa kwenye mstari wakati mwingine.Kunyonyesha na vinguo vile jamani ntajikuta nabeba mimba kila mwaka.[emoji3][emoji3][emoji3]
khakhaaa!Jaribu kulitumia, ila ndani usivae kitu; uje utupe mrejesho
Alaa kumbe!!! Basi sauwaaaHapana. Ile kumvua mtu huwa kunaniongezea midadi
Santo sanaBila picha haunogiView attachment 2170860View attachment 2170861
Yani kama mimi ndio mumeo unanivalia dera usiku.....nitakuwa nakucheat sana...Hili dera lipo comfortable zaidi
Nendeni kwa Paroko mkasuluhishwe!Tunaolala na suruali za jeans je?
Siku nyingine akizingua unaamua kabisa kuvaa hiviHili dera lipo comfortable zaidi
Kwa hiyo mzee baba. Yeye ni chubwiii wakati wowote anapojisikiaNa hili joto la daslaam..niachike tu na nilivyo sipendi kuvaa nguo🤭
Ndio maana yakeKwa hiyo mzee baba. Yeye ni chubwiii wakati wowote anapojisikia
Hiyo ndio yenyewe bwana.....missile ina search tuu target kiitu mpaka ndaniiiiiNdio maana yake
Halafu ndani unalivalia nini?Hili dera lipo comfortable zaidi
Kwanini sasa?Nendeni kwa Paroko mkasuluhishwe!
Hata mfanyweje mtacheat. Aendelee tu hata wasiwasi sina mpendwaYani kama mimi ndio mumeo unanivalia dera usiku.....nitakuwa nakucheat sana...
badala ya kutengeneza mazingira ya kunivuta (mvuto) ww unasukuma
Ha haaa hii nzuri nimeipenda
NothingHalafu ndani unalivalia nini?
Kwakweli.Inategemeana na umbo la muhusika lakini.
OMGNothing
Mm naona mizigo mingine haitoshei kwenye ivo vinight dressTunasubiri maoni yako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tunaovaa kitenge wax tucomment wapi