Ngurumo amtahadhariha Lissu na sifa za wapambe (wabangaizaji), atolea mifano ya Mrema, Kikwete na Magufuli. Tusitishane, tuvumiliane

Ngurumo amtahadhariha Lissu na sifa za wapambe (wabangaizaji), atolea mifano ya Mrema, Kikwete na Magufuli. Tusitishane, tuvumiliane

Hao ndio wale wachumia tumbo. Huwezi enda nao vitani lazima wakuchome hata kwa bei rahisi
Kabisa Mkuu

Ndiyo maana tunawashauri, Uchaguzi umepita kwahiyo wakubali matokeo na kumpa ushirikiano Mwenyekiti mpya ili wafanye kazi
 
Kabisa Mkuu

Ndiyo maana tunawashauri, Uchaguzi umepita kwahiyo wakubali matokeo na kumpa ushirikiano Mwenyekiti mpya ili wafanye kazi
Pia ni muhimu wachujwe! Kuna hatari ya kukaa nyumba moja na nyoka
 
Retired kama wewe ndiyo Mbowe mwenyewe nitaelewa lakini kama siyo, basi wewe ni mchochezi unayetamani uone uhasama binafsi kati ya Mbowe na Lissu.

Wewe unaona maridhiano kati ya CCM na CHADEMA ni jambo zuri na linalowezekana. Ila maridhiano kati ya Lissu na Mbowe haiwezekani. Kwa nini?
Bila shaka ni Joyce Mukya au Irene Mbowe
 
Huyu kila siku haachi kumtaja Magufuli sijui huwa ana matatizo ya kisaikolojia? Mwenzake aliacha alama iliyotukuka kwa kazi zake nzuri na ubunifu wake ambao kwa sasa taifa linafaidi yeye kaishia kuumba maneno tu utadhani taifa linajengwa kwa porojo. Naona sasa anaanza kumuonea wivu Lissu kwa kuwa watu wengi wanamuamini.
 
This is very much acknowledged! Na diyo maana Mbowe hakuja! akijua fika kuwa siyo M/Kiti tena.

Allen Kilewella naomba unielewe. And I will stand for that! Sina tatizo na Lisu kushinda. Tatizo langu ni namna Lisu alivyoshinda! Akiwa mtu aliyetegemewa kuwa mfano bora kama alivyojitanabaisha huko nyuma.

Unawaaminisha wenzako, UMMA wa watanzania na dunia kuwa paticularly Mbowe kuwa ni MWIZI WA FEDHA ZA JOIN THE CHAIN, KALAMBA ASALI TOKA KWA SAMIA, ANASHIRIKI NUSU MKATE KUUZA CHADEMA, MLA RUSHWA MKUBWA WA FEDHA ZA ABDUL... uongo WA character assassination halafu useme yameisha tusonge mbele>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>> Fine, lazima history iandikwe matendo mabaya ya Lisu kwa Mbowe et al kwenye kampeini za uchaguzi

Kashifa zote hizo, Leo useme kuwa uchaguzi umeisha tusonge mbele? Kma una akili timamu huwezi kukubali kuwa pamoja na mtu huyo. Nitajitenga naye milele
Wewe ndo James MBOWE ambaye alidhani Cdm ni Mali ya familia
Maana sitarajii kwamba kwamba Chadema Ina Mwanachama wa hivi

MWANACHAMA wa kweli anaamini katika misingi sera na Mifumo ya chama sio kwa MTU

Hili ni kosa lingine kubwa la Mbowe kundaa machawa badala ya wanachama
 
Back
Top Bottom