Ngurumo amtahadhariha Lissu na sifa za wapambe (wabangaizaji), atolea mifano ya Mrema, Kikwete na Magufuli. Tusitishane, tuvumiliane

Hao ndio wale wachumia tumbo. Huwezi enda nao vitani lazima wakuchome hata kwa bei rahisi
Kabisa Mkuu

Ndiyo maana tunawashauri, Uchaguzi umepita kwahiyo wakubali matokeo na kumpa ushirikiano Mwenyekiti mpya ili wafanye kazi
 
Kabisa Mkuu

Ndiyo maana tunawashauri, Uchaguzi umepita kwahiyo wakubali matokeo na kumpa ushirikiano Mwenyekiti mpya ili wafanye kazi
Pia ni muhimu wachujwe! Kuna hatari ya kukaa nyumba moja na nyoka
 
Bila shaka ni Joyce Mukya au Irene Mbowe
 
Huyu kila siku haachi kumtaja Magufuli sijui huwa ana matatizo ya kisaikolojia? Mwenzake aliacha alama iliyotukuka kwa kazi zake nzuri na ubunifu wake ambao kwa sasa taifa linafaidi yeye kaishia kuumba maneno tu utadhani taifa linajengwa kwa porojo. Naona sasa anaanza kumuonea wivu Lissu kwa kuwa watu wengi wanamuamini.
 
Wewe ndo James MBOWE ambaye alidhani Cdm ni Mali ya familia
Maana sitarajii kwamba kwamba Chadema Ina Mwanachama wa hivi

MWANACHAMA wa kweli anaamini katika misingi sera na Mifumo ya chama sio kwa MTU

Hili ni kosa lingine kubwa la Mbowe kundaa machawa badala ya wanachama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…