Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Nimeisikiliza, maelezo ya Ngurumo yanawakilisha kila alichokuwa akichokisema pamoja na anachokifikiri Jiwe hata jioni hii.Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.
Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.