Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
Yani bro sioni hoja ata moja mkuu umepanic sana, punguza hasira edit hoja zako.
 
Naomba viongozi wa madhehebu ya dini wasikubali kuwakaribisha wanasiasa kwenye madhabahu ya Bwana. Najua kwa utaratibu wa kanisa katoliki salamu huwa zinatolewa wakati wa sherehe kuu kama Noeli na pasaka.

Hawa viongozi mnaowaruhusu kila siku kuhutubia wakati wa ibada iko siku watawaumbua na kuleta mkanganyiko katika jamii na hata kuleta maasi ndani ya kanisa. Askofu anajisikiaje pale padri wake anaposifiwa kwa kukiuka maelekezo yake na muumini wa kawaida?

Nafikiri hawa watu wasali kama watu wengine, wakimaliza kusali waondoke kimya kimya kama waumini- walei wa kawaida. Wanasiasa wanazo nafasi za kuongea nje ya kanisa, hivyo wasitumie nyumba za ibada kueleza misimamo yao ya kisiasa.
Tena kwa kuwa anapenda kusisitiza tuwe na imani,basi ipo haja ya kumkataza hasingie na bastola kwenye nyumba za ibada.
 
Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
Tofautisha ujinga na imani.
 
Hapana Kalpana si mimi niliyeandika. Mimi nimeiweka tu hapa aliyeandika ni Ansbert Ngurumo.

Huyu anbert ngurumo alicheza km pele, alivyoona magu hasomeki mapema Tu! Akakimbia ni km akiona yakayojiri kwenye utawala wa huyu jamaa
 
Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
Mumshauri Basi magufuli aachane na walinzi aanze kumtegemea Mungu jumla jumla Kama yule rais wa Uruguay ili tuelewe anachokisimamia
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
nakuambia tena na tena, utapata tabu sana kutetea mtu mjinga!!!.
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
Mungu akusamehe sana aisee.Hivi kwanini Mh.Rais azungukwe na mitutu ya mabunduki wakati akijua kabisa Mungu yupo?
 
Rais ana shida mahala ,mara aseme corona hamna ,mara ipo,mara barakoa zina virusi wakati nchi ina TBS,TISS na TFDA tayari mpaka hapo ameharibu biashara za watu walioagiza barakoa japo walilipia kodi ...hivi sisi Tanzania tuna kipi hasa kiasi cha watu kutonea wivu watufanyie figisu au ni huo mlima wa kilimanjaro? Tanzanite? Huyu mzee ni Muongo sana tena anongopa mbele ya madhabahu ya kanisa.
Jamaa ni Mshamba na limbukeni Sana. Hivi watuonee wivu kwa lipi hasa? Iwapo hata toothpick zinaagizwa nje..

CCM walimuokota wapi huyu Mgagagigikoko ambaye ameleta balaa kwa Nchi yetu?
 

Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu​


Ansbert Ngurumo | 21st February 2021

NIMEMSIKILIZA Rais John Magufuli akihutubia waamini leo katika Kanisa la Mt. Petro, Dar es Salaam, na nimebaini mambo machache ambayo ni muhimu kuyajadili kwa ufupi. Nitadokeza mambo 10 tu...
Bak, mada yako ni nzuri ina hadhi ya kuwa mada ya mwezi. Wanafiki wataiponda
 
Niko mfungo wa siku 40 siangalii mitandao wala kuangalia TV wala radio nasikiliza Mungu tu nimefuatwa nyumbani nasumbuliwa kuwa ingia jamii forums ujibu kuna mtu anatuhumu kanisa

Nasema hivi kwanza askofu Ruwaichi mpotofu hata Papa hatumii simu yenye android anatumia visimu vya Nokia Tochi na nina ushahidi asilimia 100 haaangalii TV wala mitandao ya kijamii wala haingii Watsap wala instagram nina ushahidi

Hivi Askofu Ruwaichi hana kazi za kufanya kiasi cha kushinda mitandaoni kuangalia watu wanasemaje badala ya kusikiliza Mungu anasemaje? Maaskofu Katoliki sasa hivi wanashinda mitandaoni wakiwa na simu za Android kusikiliza watu wanasemaje badala ya Mungu anasemaje? Askofu Ruwaichi mpagani aliyepewa uaskofu hongera paroko na masiista ambao hamkuvaa barakoa.

Ruwaichi alisema aliona Clip mitandaoni watu wamejaa daladala hawajali kuvaa barakoa wala social distance!!! nimjibu kuwa watu wa kawaida wanaamini Ulinzi wa Mungu kuliko yeye Askofu mtegemea sadaka asiyeenda kutafuta riziki asiye na mke wa kulala naye short distance wala familia ya close distance!!! Yeye hapandi daladala na anaishi single place !! asitukane wahangaikia riziki!!!

kifupi hata waumini anachoongea wanakiona hopeless sababu hawana private car waña private residence na hawategemei survival ya sadaka kama yeye hivyo lockdown na kutojaza abiria daladala kwao kuna effect kwao kuanzia dereva kondakta mumiliki hadi abiria.

Waumini na walei akiwemo Magufuli kipindi hiki cha Corona wana imani kubwa Kuliko Askofu Ruwaichi very sad Tanzania kuwa na walei wenye imani kubwa kuliko mifarisayo miaskofu Ruwaichi Loo

Namuomba Papa amtoe Askofu Ruwaichi Uaskofu anashinda mitandao ya kijamii badala ya kumsikiliza Mungu ushahidi video ya Mazishi ya Askofu Banzi

Magufuli songa mbele achana na mifarisayo inayojitia ooh tuneitwa na Mungu Corona ikitua inakimbilia kwa wanasayansi na kuvaa barakoa!!!

Nalog out let me finish my lent

Pope Francis mpe uaskofu wa Jimbo kuu La Dar es salaam na ukardinali Magufuli
in Tanzania currently we dont have bishops ho depend on God in Calamities!!

I am logging off
Heeeehh!

Mr, are you okay?

Kichwani uko sawa sawa?
 
Back
Top Bottom