Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

Yani bro sioni hoja ata moja mkuu umepanic sana, punguza hasira edit hoja zako.
 
Tena kwa kuwa anapenda kusisitiza tuwe na imani,basi ipo haja ya kumkataza hasingie na bastola kwenye nyumba za ibada.
 
Tofautisha ujinga na imani.
 
Hapana Kalpana si mimi niliyeandika. Mimi nimeiweka tu hapa aliyeandika ni Ansbert Ngurumo.

Huyu anbert ngurumo alicheza km pele, alivyoona magu hasomeki mapema Tu! Akakimbia ni km akiona yakayojiri kwenye utawala wa huyu jamaa
 
Mumshauri Basi magufuli aachane na walinzi aanze kumtegemea Mungu jumla jumla Kama yule rais wa Uruguay ili tuelewe anachokisimamia
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
nakuambia tena na tena, utapata tabu sana kutetea mtu mjinga!!!.
 
Tumeisikiliza hotuba vizuri,hakuna mahala ambapo anawaswaga na kuwapelekesha mapadre na maaskofu katoliki. Rais ametoa tahadhali juu ya kutumia barakoa zinazostahili.

Mtoa mada huna lolote,endelea kuosha vgombo vya wazungu huko ughaibuni.
Mungu akusamehe sana aisee.Hivi kwanini Mh.Rais azungukwe na mitutu ya mabunduki wakati akijua kabisa Mungu yupo?
 
Jamaa ni Mshamba na limbukeni Sana. Hivi watuonee wivu kwa lipi hasa? Iwapo hata toothpick zinaagizwa nje..

CCM walimuokota wapi huyu Mgagagigikoko ambaye ameleta balaa kwa Nchi yetu?
 
Bak, mada yako ni nzuri ina hadhi ya kuwa mada ya mwezi. Wanafiki wataiponda
 
Heeeehh!

Mr, are you okay?

Kichwani uko sawa sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…