Ngurumo za radi kubwa Dar es Salaam

Ngurumo za radi kubwa Dar es Salaam

Watoto uliwavalisha nguo nyekundu?!! Ni hatari sana 😀 😀 😀
Umenikumbusha tulivyokuwa tunaambiwa back in the days. Basi kama umevaa/umebeba kitu cha red unaogopa balaa😁😁😁

Naah.. hawajavaa red ila nakosa tu amani vile hawapo nyumbani na hii hali 😒😒
 
Back
Top Bottom