Nguruwe hafugiki jangwani iweje mseme haramu wakati ngamia kwetu hafugiki sehemu zisizo na jangwa

Nguruwe hafugiki jangwani iweje mseme haramu wakati ngamia kwetu hafugiki sehemu zisizo na jangwa

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Tukiseme dini tumletewa ila kuna watu watakimbilia sijui kimeshushwa sijui kimeleta sayansi wataki hiko kitabu kimekuta sayansi teyari na mapiramidi yashajengwa.

Jambo lilonileta hapa kila mnyama aliyepo duniani anaishi kulingana na eneo la kijografia alipotoka tokea dunia kuanza ndio maana simba ajatokea barani ulaya.

Sasa waliokuja kutuletea dini ndio walikuja na kila walichotoka nancho kulingana wanavotumia.sawa ni mimi mtanzania nipeleke mnyama anayapatikana hapa kama kitoweo wakale sehemu ambako hakuna hiko kitoweo.
mfano senene
 
Ukijua maana ya neno dini basi utajua kwamba tunasafari ndefu sana ....ww jiulize tu kwa akili yako ya kawaida kabisa tangu lini Mungu akahitaji baunsa wa kumtetea tena kwa binadam alie waumba mwenyewe wakati anauwezo wa kuwafuta mara moja tu.

Sasa nguruwe ni haram lakini katika watu wanao tafuna huyo mdudu ni wachina wako bilion 1.5 huyo Mungu kawapa akili na kula kwao nguruwe anakuja mtu anakuambia huyo haram ..wakati huo huyo mtu maisha yamempiga hadi huruma kichwani mweupe.
 
Mkiseme dini tumletewa ila kuna watu watakimbilia sijui kimeshushwa sijui kimeleta sayansi wataki hiko kitabu kimekuta sayansi teyari na mapiramidi yashajengwa.
jambo lilonileta hapa kila mnyama aliyepo duniani anaishi kulingana na eneo la kijografia alipotoka tokea dunia kuanza ndio maana simba ajatokea barani ulaya...
Mbona hueleweki unazungumzia nini!?.. kakwambia nani ulaya hapakuwahi kuwa na Simba!?
 
Mkiseme dini tumletewa ila kuna watu watakimbilia sijui kimeshushwa sijui kimeleta sayansi wataki hiko kitabu kimekuta sayansi teyari na mapiramidi yashajengwa.

Mbona hueleweki unazungumzia nini!?.. kakwambia nani ulaya hapakuwahi kuwa na Simba!?
ushasikia mnyama bear anapatikana mbuga ya serengeti?.mimi na wewe unaeleweka wewe
 
Umesema ulaya hapakuwahi kuwa na Simba, kakwambia nani ulaya hapakuwahi kuwa na Simba!?..na kakwambia nani arabuni hapakua na nguruwe!?
umesama nini ? embu maliza kutetea dini yako
 
Ukijua maana ya neno dini basi utajua kwamba tunasafari ndefu sana ....ww jiulize tu kwa akili yako ya kawaida kabisa tangu lini Mungu akahitaji baunsa wa kumtetea tena kwa binadam alie waumba mwenyewe wakati anauwezo wa kuwafuta mara moja tu.Sasa nguruwe ni haram lakini katika watu wanao tafuna huyo mdudu ni wachina wako bilion 1.5 huyo Mungu kawapa akili na kula kwao nguruwe anakuja mtu anakuambia huyo haram ..wakati huo huyo mtu maisha yamempiga hadi huruma kichwani mweupe.
😅😅😅
 
tukiseme dini tumletewa ila kuna watu watakimbilia sijui kimeshushwa sijui kimeleta sayansi wataki hiko kitabu kimekuta sayansi teyari na mapiramidi yashajengwa...
Luka 8:29-33
Hawa nguruwe walioingiwa na mapepo,kupitia Yesu,walikuwa wapi?Kama sio nchi ya Israel,mashariki ya kati,kwenye jangwa.

Kuweni na elimu, hata kidogo,muelewe dunia,iko vipi.
 
Uko shallow Sana...weka mada za Simba na yanga ndiyo size yako
Mwambie asome Luka 8:29-33
Yesu,mapepo aliwaingiza kwa nguruwe,hawa nguruwe walikuwa Israel,nchi ya mashariki ya kati,jangwani.
 
Mwambie asome Luka 8:29-33
Yesu,mapepo aliwaingiza kwa nguruwe,hawa nguruwe walikuwa Israel,nchi ya mashariki ya kati,jangwani.
Chizi huyo,Hawa watoto uwezo wa kufikiri uko chini Sana,shule haziwasaidii
 
mimi na wewe nani chizi umeshaambiwa kuhusu wanyama na walipotokea.kijografia basi ngamia angepatikana congo
Umejifunza wapi nguruwe hakuwepo mashariki ya kati!?...yaani hujiulizi watu kukatazwa kula nguruwe ni kielelezo kwamba nguruwe alikuwepo!!?..
 
Dini ni neno la kiarabu lenye maana ya njia,kwa muktadha wa uislam dini ni mfumo wa maisha,unataka tuongelee dini kwa muktadha upi!?
Embu nenda ukachukue point tatu wakati ushafika mda wa swala.maswala haya tuache unachoulizwa ujibu.

na rudia tena mnyama dubu ulishamkuta serengeti?
 
Back
Top Bottom