Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Nguvu inawezaje kutengeneza object?

Mpo salama waungwana?

Swali hili ningependa haswa kulipeleka katika pande mbili (2) kwenye sayansi na wanaoamini uwepo wa Mungu.

Katika sayansi ningependa kuhoji hivi je, ni kivipi nguvu inaweza kutengeneza/kutokeza object?

Katika upande wa Waumini wa Mungu naomba kuhoji hivi
kama ilivyoandika na vitabu vyake kwamba kwa kutumia uweza wake ama nguvu zake Mungu aliumba kila kitu. Swali hapa ni je, ni kivipi nguvu hiyo ya Mungu iliweza kuumba/kutokeza/kuunda objects kama dunia,nyota n.k?

Ni hivyo tu wakuu mnakaribishwa.
Kwanza kabisa,

Swali hili kuwapelekea wanaoamini uwepo wa mungu unawaonea. Imani haitaki maswali. Waumini wameambiwa kuamini tu, ukiuliza sana maswali kwenye imani yako unaweza kukufuru. Binafsi mimi sina matatizo na waumini hawa wanaoamini tu imani zao, nina matatizo na wale wanaosisitiza kwamba imani zao ndizo za kweli.

You will need to be specific on which force are you referring to.

The four major forces of the Standard Model of Physics are the weak nuclear force, the strong nuclear force, electromagnetism and gravity.

For more see Standard Model - Wikipedia, the free encyclopedia
forces-std-model.JPG


Kisayansi ukitaka kujua nguvu inavyoweza kutengeneza kitu angalia maji, uvutano na entropy zinavyoumba mto

DK Find Out! | Fun Facts for Kids on Animals, Earth, History and more!

Ona galaxy formation

DK Find Out! | Fun Facts for Kids on Animals, Earth, History and more!

Swali lako ni zuri sana, kwa sababu, kwa kawaida, kufuatilisha the second law of thermodynamics, in a closed system, entropy tends to increase, things move from order to disorder

The second law of thermodynamics states that the total entropy of an isolated system always increases over time, or remains constant in ideal cases where the system is in a steady state or undergoing a reversible process. The increase in entropy accounts for the irreversibility of natural processes, and the asymmetry between future and past.

Second law of thermodynamics - Wikipedia, the free encyclopedia

So how does something like life evolve from non living things if at all things are supposed to move only from order to chaos?

Does Life On Earth Violate the Second Law of Thermodynamics

The second law of thermodynamics (the law of increase of entropy) is sometimes used as an argument against evolution. Evolution, the argument goes, is a decrease of entropy, because it involves things getting more organized over time, while the second law says that things get more disordered over time. So evolution violates the second law.


There are many things wrong with this argument, and it has been discussed ad infinitum. A summary of the arguments on both sides can be found on the links atwww.talkorigins.org/faqs/thermo.html. These discussions never seem to involve any numerical calculations. This is unfortunate, since a very simple calculation shows that it is physically impossible for evolution to violate the second law of thermodynamics.


It is important to note that the earth is not an isolated system: it receives energy from the sun, and radiates energy back into space. The second law doesn't claim that the entropy of any part of a system increases: if it did, ice would never form and vapor would never condense, since both of those processes involve a decrease of entropy. Rather, the second law says that the total entropy of thewhole system must increase. Any decrease of entropy (like the water freezing into ice cubes in your freezer) must be compensated by an increase in entropy elsewhere (the heat released into your kitchen by the refrigerator).


A slightly more sophisticated form of the anti-evolution argument recognizes that the earth is not an isolated system; it receives energy from the sun. But, the argument goes on, the sun's energy onlyincreases disorder. It speeds the processes of breakdown and decay. Therefore, even with an energy source, evolution still violates the second law.


For the earth, though, we have to take into account the change of entropy involved with both the absorption of energy from the sun and the radiation of energy into space. Think of the sun as a heat reservoir that maintains a constant temperature T1 = 6000 K. (I am using the absolute, or Kelvin, temperature scale.) That's the temperature of the radiating surface of the sun, and so it's the effective temperature of the energy we receive from the sun. When the earth absorbs some amount of heat, Q, from this reservoir, the reservoir loses entropy:


image002.gif
.


On average, the earth's temperature is neither increasing nor decreasing. Therefore, in the same time that it absorbs heat energy Q from the sun's radiation, it must radiate the same amount of heat into space. This energy is radiated at a much lower temperature that is approximately equal to the average surface temperature of the earth, T2 = 280 K. We can think of space as a second heat reservoir that absorbs the heat Q and consequently undergoes an entropy increase

Continued on the link above

So even though the second law of thermodynamics is valid, the earth is not an isolated system and the law stands to be validated on the universe as a whole when enough time passes and the average entropy increases to the maximum possible level.
 
Big Bang - Eti ndiyo mwanzo wa yote. At the beginning there was nothing and then it exploded to create the whole universe (millions of galaxies, billions of stars, planets, black holes, dark energy, anti matter etc). Kuna mambo ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyaelewa kwa sababu ni ya kiwango cha juu mno. Ukiuliza na hiyo Big Bang ilitoka wapi na kabla yake kulikuwa na nini unaleta mfarakano.
 
Scientiic research ngapi zimefanywa kujua sisimizi anajua nini hasa kwa kumuingilia ubongoni mwake na kuona kama anavyoona yeye?

Umesoma ngapi na zinasemaje?

Are you an entomologist?
Tafiti nyingi sana zimefanyika kuhusiana na hawa wadudu hadi wengine imejulikana kuwa ndani ya jicho lao lile moja kuna macho mengi sana yenye lensi zinazojitegemea(mfano panzi) na mambo mengine mengi pia yamegundulika kuhusiana nao hadi wakawa classified kwenye classes,groups,e.t.c!!
 
Unapokua unaongelea science ukichanganya na mambo ya Mungu utaanza kwenda chaka baadhi ya maeneo, kwa kua vitu vingi tu kwenye bible havijawahi kua proved, vinaenda kwa imani, kwa hiyo kama unaamini sawa, ambaye haamini naye vilevile.

Turudi kwenye mada, ukiwa unaongelea kubadilisha kitu kati ya energy na mass (maana mass ndiyo inatengeneza object) inabidi ukumbuke equation moja ya muhimu sana ya bwana Einstein
Code:
E = mc^2
Sasa ni rahisi kubadilisha mass kua energy, lakini unavyokuja kuirudisha nyuma yaani energy kua mass hapo ndipo kuna kasheshe, kama umeona hiyo speed of light squared, itahitajika energy kubwa sana kuweza kutengeneza mass ndogo mno, kwa hiyo ndiyo itakua inawezekana theoretically lakini hakuna experiment ambayo najua imefanyika hadi leo kuprove hilo. Wanasayansi wanalifanyia kazi
 
Tafiti nyingi sana zimefanyika kuhusiana na hawa wadudu hadi wengine imejulikana kuwa ndani ya jicho lao lile moja kuna macho mengi sana yenye lensi zinazojitegemea(mfano panzi) na mambo mengine mengi pia yamegundulika kuhusiana nao hadi wakawa classified kwenye classes,groups,e.t.c!!
Hiyo ya jicho si niliyoiulizia.

Nimeulizia ya kuingia kwenye ubongo wake na kuona anachofikiri.

Naomba unipatie link hapa.
 
Hakuna upumbavu mkubwa kama binadamu kuhoji juu ya uumbaji wa mungu!!....ni sawa na sisimizi atake kuuumiza kichwa na kuhoji juu ya ni jinsi gani binadamu ameweza kupeleka chombo kwenye sayari ya pluto,hakika hatapata jibu!!!!
kwako ni upumbavu lkn kwangu sio! lzm nihoji panapostahili..
 
Mpo salama waungwana?

Swali hili ningependa haswa kulipeleka katika pande mbili (2) kwenye sayansi na wanaoamini uwepo wa Mungu.

Katika sayansi ningependa kuhoji hivi je, ni kivipi nguvu inaweza kutengeneza/kutokeza object?

Katika upande wa Waumini wa Mungu naomba kuhoji hivi
kama ilivyoandika na vitabu vyake kwamba kwa kutumia uweza wake ama nguvu zake Mungu aliumba kila kitu. Swali hapa ni je, ni kivipi nguvu hiyo ya Mungu iliweza kuumba/kutokeza/kuunda objects kama dunia,nyota n.k?

Ni hivyo tu wakuu mnakaribishwa.
Mkuu hilo linawezekani! miaka ya 90 nikiwa nasoma std 1 shuleni kwetu tulitembelewa na mtu waajabu mtu wa mazinga ombwe akavuta Lori na unywele mmja/ alifungua chupa ya soda kwa kuiambia funguka/ Ali ita nyoka wa kila aina wakajaa ktk uwanja wa shule/
Kubwa zaidi aliotesha kichuguu mlima ambao mpaka Leo shuleni hapo kichuguu bado kipo.
Mwaka 2008 nilikiwa ktk pilikaipilika zangu Sikonge Tabora nilikutana na mtu niliye mfananisha na hilo jamaa nikamuuliza w
 
Mkuu Kiranga hiyo lugha mengine yananipiga chenga kama unaweza kutafsiri kwa lugha yetu pendwa kiswahili hata kwa uchache itakuwa gud gud...
 
Mkuu hilo linawezekani! miaka ya 90 nikiwa nasoma std 1 shuleni kwetu tulitembelewa na mtu waajabu mtu wa mazinga ombwe akavuta Lori na unywele mmja/ alifungua chupa ya soda kwa kuiambia funguka/ Ali ita nyoka wa kila aina wakajaa ktk uwanja wa shule/
Kubwa zaidi aliotesha kichuguu mlima ambao mpaka Leo shuleni hapo kichuguu bado kipo.
Mwaka 2008 nilikiwa ktk pilikaipilika zangu Sikonge Tabora nilikutana na mtu niliye mfananisha na hilo jamaa nikamuuliza w
Nadhani kama na humu wapo waje watueleze kinagaubaga inakuaje hapa nguvu kuzalisha object inafanyikaje..
 
Hakuna upumbavu mkubwa kama binadamu kuhoji juu ya uumbaji wa mungu!!....ni sawa na sisimizi atake kuuumiza kichwa na kuhoji juu ya ni jinsi gani binadamu ameweza kupeleka chombo kwenye sayari ya pluto,hakika hatapata jibu!!!!
Na ni upumbavu mkubwa sana kujifanya unamjua na kumtetea mungu ambae hata hayupo
 
Na ni upumbavu mkubwa sana kujifanya unamjua na kumtetea mungu ambae hata hayupo
Ni heri uamini kuwa mungu yupo halafu ukifa usimkute kuliko kuamini kuwa mungu hayupo halafu ukifa umkute!!!(Hakika utajuta kuletwa humu duniani kwa kuwa chakula chako kitakuwa moto!!)
 
Ni heri uamini kuwa mungu yupo na ukifa usimkute kuliko kuamini kuwa mungu hayupo halafu ukifa umkute!!!(Hakika utajuta kuletwa humu duniani kwa kuwa chakula chako kitakuwa moto!!)
Hakiwezekani kuwepo na Mungu kama huyo
 
Energy na object mkuu mm n mwana arts ila nahis object yenyewe imeundwa.
Na atom ambazo zimeumbwa na proton electron na neutron ambazo. Ni energy
 
Back
Top Bottom