Nguvu inayomsukuma mwanamke kwenye mahusiano, ni umasikini

Nguvu inayomsukuma mwanamke kwenye mahusiano, ni umasikini

Ndio maana, Sasa hivi naona soko la mahusiano linahama toka kwa wanawake wazuri wenye tako kubwa na linahamia kwa mabinti wa kishua ambao kwao mambo safi. Inasemekana binti wa kishua akikupenda amekupenda kwelikweli. Je kuna ukweli?
 
Nguvu inayomsukuma mwanamke, kuingia kwenye mahusiano, kwa asilimia kubwa huwa ni umasikini.

Wengi wanaingia kwenye mahusiano, ili kupata uhakika wa kula, kuvaa, kumiliki majengo, magari, kumiliki miradi, kupanda vyeo n.k

Hawaingii kwenye mahusiano, kwa sababu ya mapenzi ya kutoka moyoni; ndio maana hela ya mwanaume inakuwa ni ya wote, na hela ya mwanamke inakuwa ni ya kwake.

Ndio maana mwanaume fukara, asiyekuwa na kipato au ramani ya maisha; huwa anakimbiwa na wanawake, kwa sababu anakuwa hana vitu ambavyo humvutia mwanamke.

Kama itatokea mwanaume akapendwa na mwanamke aliyejitosheleza kiuchumi, na mwanamke ndio akawa analipa 'bill' bila kugusa hela ya mwanaume; hapo ndipo kutakuwa na mapenzi ya kweli; kwa sababu kilichomvutia mwanamke kwenye hayo mahusiano sio pesa, bali ni upendo tu.​
Hii post ifanyiwe lamination kabisa
 
Tunaibiwa Sana Sasa tufanyaje pesa zetu tusifanye maendeleo tunywee bia tu na marafiki
 
Kama huna pesa hakuna mwanamke
WA sasa atakubali kuvumilia shida na ww
Umeiweka sawia, 'mwanamke wa sasa'! Maana wengine tukingalia jinsi wazee wetu walivyoishi, maswali hayaishi kuwa nini kiliwafanya wadumu zaidi ya nusu Karne na pia ukweli kuwa, kama isingekuwa kuwepo Kwa Mama, na usomi na kazi yake, sijui tungeishia wapi kama familia!
 
Jiwe la gizani...

Sasaivi utasikia yalaaa...
Wanawake 90% wakiwa na pesa za maana hawawezi kamwe kua wife material.

Mwanaume unaejielewa tafuta pesa uoe mwanamke wa hadhi yako. Mimi siwezi kuolewa na fukara mwenzangu wakati kuna mtu ana maisha anataka kunionyesha dunia upande wa pili ipoje.

Hakuna mtu hapendi pesa hata wanaume wanapenda maisha mazuri ila ndo hawawez kuchagua mtu mwenye hela awaoe..mwanaume haolewi anahangaika mbaka kufa kwake apate pesa ake aoe.

Kwanini umpende mtu asie na maisha wakati wewe mwenyewe huna maisha? Huo ni ufal*.
Yaan binti mrembo alafu kwenu hohe hahe bado uolewe na hohehahe mwenzio????
Wanaume tupeni break.
 
Ndoa ni hitaji la kila mwanaume na mwanamke. Kuolewa kwa mwanamke siyo umasikini bali ni hitaji la kibinadamu ndiyo maana babu zetu waliweza kuoa wakiwa wanaishi maporini.
Kutokana na nyakati kubadilika na maadili kushuka kumekuwepo na kundi kubwa la wanawake wenye tamaa ya mali.
Mwanamke ameumbwa kumtegemea mwanaume hata ndoto za mwanamke zinakamilishwa na mwanaume.
Mwanamke ni mbinafsi toka enzi za Adamu na Eva

Wewe leta story za mababu kwenye mambo ya msingi. Hii ni 2022 na sio 1947.
 
Wengi wanaingia kwenye mahusiano, ili kupata uhakika wa kula, kuvaa, kumiliki majengo, magari, kumiliki miradi, kupanda vyeo n.k
Bila ngekewa ya mwanamke huwezi pata hayo yoooote ukampatia matumizi yote hayo!! kwani hujaona Matajiri wa Mtaani kwenu wamefilisika mbaya baada ya kumuacha mke wa Kwanza? aliye chuma nae?

siyo uchawi ule!! ndo mambo yalivyo mke mwema mtu hupewa na Bwana!! ukikurupuka hupati hela sasa utampatia nini?? kurupuka uone unaoa lkn ndo kwaaanza unapewa notis uhame na kazi unafukuzwa atakula nini sasa??

hasa wanawake ambao hawaja tulia ndo wanaongoza kuleta mikosi ndani!! wanafanywa na maskini, wauza genge, sokoni huko mijitu ilishalaaniwa kitambo hukooo, mke anafanya nao, wauza nyama,,matokeo ana leta manii yenye mikosi ya watu km hao ndani!

na weye mwenye mke bila kujua unaunganisha humo humo! una-mbato! sasa nionee mikosi yake hapo!..... ...cha dalili ya kwanza utaanza muona km ana sura ya kima hivi!.....

.taatibu chuki inaanza then humtaki tena, utamwambia arudi kwao mpaka mambo yawe mazuri saabu huna kitu lkn palianzia hapo!....akitoka tuuu utashangaa kuona unavopata hela km mwenda wazimu!

ukijroga ukamrudia kamwe hunyanyuki…..chunguza uone………… wanawake wooote humu Duniani ni Lango la hela/Maisha mazuri au Mabaya/umaskini!.....hii pia kwa me ipo sana!

Lkn ke wengi hawajui wanajiinuaga sana mabega juu! wakisha pata hela! wanamuacha MUme aliye muweka pazuri ki ngekewa! sasa hao nao wana shukaga mbaya sana!...

utakuta mke ofisini kapandishwa mpaka ngazi ya umeneja ajili ya Jamaa yake home! safari km zoote!....mk anajisahahu anajiona Matawi anamuacha jamaa ake solemba!

basi huyooo ke meneja atachakaa/shuka mpaka atakuwa km anaumwa ukimwi!......wenye akili watamshauri akainamie!! lkn sasa utamuinamia nani na yeye kesha sepa HUKooo! Australia na number zake hujui??

Kwanza atakuelewa???
 
Back
Top Bottom