Nguvu inayomsukuma mwanamke kwenye mahusiano, ni umasikini

120% UKWELI mtupu
 
Jaman hata Adam aliumbwa kwanza , akapewa bustani then Mungu akaona anahtaji msaidizi, ndo akamuumba Eva

Vivyo hvyo kwa maisha ya Sasa , mwanaume anatakiwa ajiweze kwanza ndipo atafte mwanamke..
Mzee wangu alioa akiwa na 34 mimi nikazaliwa akiwa na 35
Na kila siku napata sababu mpya ya kuona mzee wangu aliamua kufanya ilo la kujiwekeza kwanza na kwakweli sijawai muona baba yangu au mama yangu hawatoshi maana kila shida aisee inamalizwa na wale makomandoo hakuna kutia tia huruma kwa watu
 
Hata mke wa ndoa anae kudharau kisa huna pesa siku ukizipata tu uanza kuwa mpole akiamini mda wowote ataporwa. Pesa na mwanamke ni nature
 
Ndio maana, Sasa hivi naona soko la mahusiano linahama toka kwa wanawake wazuri wenye tako kubwa na linahamia kwa mabinti wa kishua ambao kwao mambo safi. Inasemekana binti wa kishua akikupenda amekupenda kwelikweli. Je kuna ukweli?
Ndio ...akili ndogo sana
 
Mbombo ngafu fijo
 
Huo ni uongo bwana, hakunaaa
 
Ongeza na hii

Na ndio maana mwanamke anaweza kuwa na mwanaume wa kumtoa kimaisha na kuigiza anampenda wakati huo akawa na mwanaume anaempenda sasa, huyu anaweza kuwa hata kapuku tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…