Nguvu kubwa iliyotumika kumchafua Hayati Magufuli ndiyo imegeuka kuwa laana ya Kiuongozi kwa watu wanaomchafua

Nguvu kubwa iliyotumika kumchafua Hayati Magufuli ndiyo imegeuka kuwa laana ya Kiuongozi kwa watu wanaomchafua

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tumetukanwa mno na Kudhihakiwa sana hapa JamiiForums kwakuwa tu akina GENTAMYCINE walipenda aina ya Utawala (Uongozi) wa Hayati Magufuli.

Nakiri kama Binadamu Hayati Magufuli nae alikuwa na Mapungufu yake (ambayo hata Mimi na Wewe tunayo yetu) ila kwanini GENTAMYCINE nilimpenda na namkumbuka zaidi ni kwamba alikuwa si Mpumbavu na wala hakuwa Mnafiki.

Baada ya Kukubali Kutukanwa na Kushambuliwa kwa Kumpenda Hayati Magufuli na aina ya Uongozi wake tukaamua Kunyamaza na Kumshtakia Mwenyezi Mungu na kwa wenye Maono akina GENTAMYCINE sasa kwa mbaaaali tunaanza kuona Matokeo ya Mashtaka yetu kwa Maulana ( Mola ) kwa Dereva Kushindwa kuhimili Kuendesha vyema Basii lake.

R.I.P Hayati John Pombe Magufuli.
 
Wee waache wafu wazike wafu wenzao. Wanaomtukana marehemu nao ni marehemu japo wanapumua. Kwanini kuhangaishwa na kutaka kupambana mtu ambaye alishatoweka? Hawajui kuwa Magufuli wala Nyerere na Mkapa hawatarudi tena? Nadhani wengi wanaohangaishwa na wenda zao wana matatizo ya afya ya akili.
 
Mwaka wa pili sasa yupo kitandani anapigania afya yake,so huenda miaka minne ya mwisho yote rais wetu angekuwa anaongoza kutokea hospitali
Yule mkaka angetawala miaka mitano tu lkn angefanya makubwa Sana. Asingeonea Wala kuchinja MTU, Wala asingejifanya mungu mtu.
 
Yule mkaka angetawala miaka mitano tu lkn angefanya makubwa Sana. Asingeonea Wala kuchinja MTU, Wala asingejifanya mungu mtu.
Nna uhakika ww utakua umezaliwa kuanzia 2015 otherwise uu mnafiki...ila kwa sisi wakongwe tulimuona akiwa waziri mdogo, waziri kamili, na hatimae waziri mkuu tunajua aina ya utawala wake, ukiondoa mitandao yake ya kipigaji kwenye maamuzi wote walikua sawa.
 
Delila alifanya yake akatusababushia hasara ya Karne.
 

Attachments

  • IMG_0547.MP4
    3.4 MB
Yule mkaka angetawala miaka mitano tu lkn angefanya makubwa Sana. Asingeonea Wala kuchinja MTU, Wala asingejifanya mungu mtu.
Hata miaka mitano insigetimia kabla hajahamishia makazi yake hospitali na nchi ingeuzwa kipindi hicho kwa hiyo kwa sasa tungekuwa wapangaji kama ambavyo tutakuwa wapangaji kwenye nchi yetu hivi karibuni
 
Back
Top Bottom