Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Ila akifa anazikwa ardhini na sio angani
 
Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.
Kabisaaa...ni wajinga ndio wanaoamini ujinga.
 
T

Jengo lao pale karibu na hotel ile ni la nini mkuu..?
Ni la propaganda za kifreemason

Freemason ni idea kama ilivyo habari za Alliens, Vampire, Dragons n.k
 
Rais Mugabe was zimbambwe Msomi mwenye Degree zaid ya tatu na zisizozid saba alitunukiwa cheo cha NIGHT of templer yan shani kwa mashujaa wanaoheshimika kule England na bibie huyu Elizabeth baada ya mda kupita Bibie huyu elizabeth akamvua ile shani sijui kwa nn, na pia kuna sehem nilisoma bibie huyu alikuwa na mahusiano kidogo na MUGABE pia utawala wa kiarabu ulitaka kuweka damu yao pale kwenye hekalu lakin wajuaji wa mambo wakafanya tukio la kuweza kunusuru England isiwe ARAB state.....
najua wajua ila naomba kujuzwa zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…