Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tony Blair alimshauri alipe kodi na mpaka Sasa analipa kama sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact: ana Mme mwenye majibu ya karaha sana
Hiyo unafanya wewe yeye ana jisaidia tuu.Anakunya kweli?
Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.Mkuu,hebu Dadavua kidogo basi?
HahahahaMume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Australia, Aborigines wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Hajawahi ku mess Na Roberto wa ZimbabweMume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Australia, Aborigines wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
wacha vitisho na huyo mungu wako..mungu mwenye upendo kuchoma watu wake..?Halaf tukifa wote eti Mungu atuchome moto sawa na malkia Elizabeth,aiseeee!!!nitashangaaaaa
Ha ha ha ha safi sana!Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Australia, Aborigines wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Huyo naona anamuogopa maana mke wake alishapewa za usoHajawahi ku mess Na Roberto wa Zimbabwe
Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Australia, Aborigines wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Usishangae mkuu.Huyo atachomwa moto (ataingia motoni) kama walivyo binadamu wengine wanaoishi humu duniani kwa rai zao na elimu zao na si vile anavyotaka Muumbaji wao.Usitishike na hizo zinazoitwa nguvu,ni nguvu za mapito na jeuri ya muda tu.Kwa kuongezea huyu bibi ni 33 degree member wa freemason.This is highest degree in this satanic society.Halaf tukifa wote eti Mungu atuchome moto sawa na malkia Elizabeth,aiseeee!!!nitashangaaaaa
Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Australia, Aborigines wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Sorry nilikosea ilikuwa ni safari yake malkia walipokwenda Papua new Guinea. Nitajaribu ku editKwani walikua wanakula watu!!!?
Sorry nilikosea ilikuwa ni safari yake malkia walipokwenda Papua new Guinea. Nitajaribu ku edit
Kula watu au ya PrinceTusimulie basi
Kula watu au ya Prince
Ndio huwa wanakula watu tena mifupa wanahifadhi kama ushahidi. Kuna mwingereza mmoja alikwenda huko baada ya kufika kijijini wakawaambia wasipoondoka mpaka asubuhi wanakuwa kitoweo.Yaan huyo prince kwanini aliuliza wanakula watu,ni kweli walikua wanakula watu?