Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

isee nimecheka
 
Mkuu me nakubaliana na ww sana, kiongoz wa level ya rais anatakiwa awe kila kitu, tatizo sie waafrica viongozi wetu hawana nia njema, ndo tatizo liko hapo, hata system inayowachagua sio credible, me nasema ingekuwa tuna viongoz wasio na hila kulikuwa hakuna hata haja ya kupoteza mahela mnafanya uchaguz wa nn? wangebak hao hao as long as tuna peace, watu wanafanya shughul zao, na wao hawatuibii.

 
Hahhaaha! mmeacha kula watu??? Aisee jamaa katisha,akija bongo atauliza mmeacha kung'oa watu meno na bisisi?

Akiona wamasai atawauliza,vp hayo mashuka mchana umekimbia fumanizi??

Akienda kutembelea sumbawanga apo ndo balaa sasa,usishangae kuuliza vp mmeacha uchawi.
 
Wakati wao ndio wafalme wa uchawi? Mi nadhani atawapongeza wafipa kwa teknolojia yao.

Akienda kutembelea sumbawanga apo ndo balaa sasa,usishangae kuuliza vp mmeacha uchawi.
 
[emoji3] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kwa yoooote hayawazungu wanaona sawa tu! Ila Mfalme muswati kuchuma katika himaya yake roho zinawauma!

Kenge kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…