Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Inatakiwa moto wake uwe wa gesi sisi wengne uwe wa mabua
 
Wazungu wanashida sasa wanataka tufanye mambo yanayowashinda wao kufanya,Iko wapi demokrasia hapo mamlka yote yapo chini ya mtu mmoja
 
 
Lakin anatombwa kama kawaida
Af akifa anazkwa chn km kawaida
 
Hana kinga ya kutoshitakiwa, na Hana uwezo wa kutolipa kodi, mtoa mada upo nchi gani? usikurupuke
 
Pia akiwa kwenye hafla akiweka mkoba/pochi yake juu ya meza hyo hafla lazima iishe ndani ya dakika 5
 
Msisahau na yenu pia,raisi wa Tanzania ndo anamiliki aridhi yote ya jamhuri
 
Uooooooooooooongoooooooo
Nani alikuambia huyu mshekuu anakula makande kama wewe[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Na umalikia aliupata akiwa holiday Kenya,ndio maana muingereza hana ujanja kwa mkenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…