hahahah yani we jamaa kunawakati huwa unaudhi na wakati mwingine unafurahisha nasoma comments zako humu naona unawapa vijana makavu laivuWadau mmeona sasa??? Zuzu anasema nimejitaga.
Mkuu habari za JumapiliPamoja sana chief...
Nakuongeza kwa taglist
Haters! Jamaa anapiga hela ma.ninaStory zake nying anatoa mindaon sema kipaji chake ni uwezo wa kuchambua na kufanya presentation katika namna ambayo inakuwa rahis hata mwenye kichwa kigumu kuelewa
Unatakiwa kuonana na mimi kabla ya The bold, mimi ni msemaji wake.The bold mm naomba kuonana na ww ana kwa ana. Seriously
Mtu yyte anayeponda forex ni mvivu wa kusoma, na pia hana uwezo wa kusoma na kufundishika.Watu wamewahi kuconclude na kumwaga povu hila hii stori haiendi kuponda forex kama mnavyodhani
Ni kweli kuwa jamaa anakipaji kikubwa sio tu cha kufanya presentation vizuri bali pia ana kipaji cha kukusanya taarifa zinazohusu kitu fulani.Story zake nying anatoa mindaon sema kipaji chake ni uwezo wa kuchambua na kufanya presentation katika namna ambayo inakuwa rahis hata mwenye kichwa kigumu kuelewa
I totally agree!Ni kweli kuwa jamaa anakipaji kikubwa sio tu cha kufanya presentation vizuri bali pia ana kipaji cha kukusanya taarifa zinazohusu kitu fulani.
Pia anakipaji cha kuchomekea maneno ili kuifanya habari ifurahishe kama vile alivyochomekea habari za polisi oyesterbay, kuombwa amuelezee kigogo fulani kuhusu forex. Hivi vitu hata kama vimetokea kweli lakini sio kama vile alivyo vikuza. Mfano huyo mzee wa taasisi aliemuita sio mtu mkubwa hivyo, na kama huyo ni mtu mkubwa basi hajui vizuri kazi yake, au kama anajua kazi yake basi huyu The Bold ni mfanyakazi wa hiyo taasisi.
Mastori ya kuazima koti kwa Meja ni mbwembwe tu ktk kukujenga uone jamaa ni mtu fulani ambae ni an inside man ktk mifumo yetu ya kiusalama na ulinzi.
UKWELI NI KWAMBA The bold ANA AKILI NYINGI NA KIPAJI KIKUBWA CHA UANDISHI NA CHA KUKUSANYA TAARIFA, NA KUZIWASILISHA KTK LUGHA RAISI.
Hivi kama FOREX ni biashara kubwa, nzuri, inayolipa na kujenga uchumi wa watu. Ni kwanini mtumie nguvu nyingi sana kuaminisha watu kuhusu kupata pesa za FOREX kwa kufanya biashara hiyo badala ya KUENDELEA KUIFANYA TU NINYI WENYEWE ILI MUWE MABILIONEA kama watu hawataki kwanini mnawalazimisha ?
Kuna aliekataa kuhusu kipaji cha jamaa?Haters! Jamaa anapiga hela ma.nina